ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Haya mambo mbona hayakuwa makubwa kama leo hata huko ulaya miaka 100,50 iliyopita.Sio kweli.
Ngono ni maamuzi ya akili na sio mwili,mbona jela watu wanakaa hata miaka bila ngono Wala kujichua.
Ni vile TU akili ulivyoiseti.
Maana mwili unayo namna yake ya kujicontrol bila kuingiza.
Unauhakika wanakaa bila ke wala kujichuaSio kweli.
Ngono ni maamuzi ya akili na sio mwili,mbona jela watu wanakaa hata miaka bila ngono Wala kujichua.
Ni vile TU akili ulivyoiseti.
Maana mwili unayo namna yake ya kujicontrol bila kuingiza.
Ni promotion hiyo mkuu,Mayahudi hao,Sababu kuu mashoga wa ulaya wengi ni genius.
Wote wanatiwa mimba?Unauhakika wanakaa bila ke wala kujichua
Masiku kibao tumesikia askari wanawatia mimba wafungwa wanawake
Tumesikia wafungwa wanalana wao kwa waob
Kwahio lile jicho ni mkunduw au sio πππNi ajenda ya freemason wanatoa pesa nyingi sana kufadhili ushoga.
Ushoga kwao ni kafara ndo maana ya Ile alama ya jicho kwenye nembo yao,asili ya haya mambo ni Babeli
Naaam ndio ubarikio wenyeweKwahio lile jicho ni mkunduw au sio πππ
Papa atakuwa afilwi kweli yule maana inataka moyo kwa rijali kutetea MendeSerikali ya Mashoga sasa hawa ndio wanaomshauri Papa mashoga wabarikiwe,
Yaan hapo kuna ukakasi sana maana km itakua basi ni kwa usiri mkubwa sana clip isivuje, ikivuja yatakua menginePapa atakuwa afilwi kweli yule maana inataka moyo kwa rijali kutetea Mende
Atakayevujisha watamuua chapYaan hapo kuna ukakasi sana maana km itakua basi ni kwa usiri mkubwa sana clip isivuje, ikivuja yatakua mengine
Papa asipoangalia watavujisha ili kuthibitisha yeye yupo upande gani,Atakayevujisha watamuua chap
Bora wamwage maji tu πPapa asipoangalia watavujisha ili kuthibitisha yeye yupo upande gani,
Hio clip itasimamisha DuniaBora wamwage maji tu π
Atakuwa Bachelor mtoto si riziki na akiwa anatikisa mikono , wazee wa kanisa ndio huvamiaTowashi ni kuishi maisha ya ubachela
Sio Kila mtu ana hobby na ngono.Atakuwa Bachelor mtoto si riziki na akiwa anatikisa mikono , wazee wa kanisa ndio huvamia
Tunawaona hao watawa wakitauwa masister baada ya kupiga nyama choma na zile baridi na moto kwa ma crate wanayoletewa, πππSio Kila mtu ana hobby na ngono.
Wengine ngono kwao ni uchafu,najisi.
Hasa wale wanaoishi maisha matakatifu ya kitawa.
Hayo ni maisha binafsiTunawaona hao watawa wakitauwa masister baada ya kupiga nyama choma na zile baridi na moto kwa ma crate wanayoletewa, πππ