Waziri Mkuu Ufaransa amteua aliyekuwa mume wake kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Waziri Mkuu Ufaransa amteua aliyekuwa mume wake kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Sio kweli.
Ngono ni maamuzi ya akili na sio mwili,mbona jela watu wanakaa hata miaka bila ngono Wala kujichua.
Ni vile TU akili ulivyoiseti.
Maana mwili unayo namna yake ya kujicontrol bila kuingiza.
Haya mambo mbona hayakuwa makubwa kama leo hata huko ulaya miaka 100,50 iliyopita.

Nafikiri shida ni mitandao, internet, imesaidia sana kukuza haya mambo.
 
Sio kweli.
Ngono ni maamuzi ya akili na sio mwili,mbona jela watu wanakaa hata miaka bila ngono Wala kujichua.
Ni vile TU akili ulivyoiseti.
Maana mwili unayo namna yake ya kujicontrol bila kuingiza.
Unauhakika wanakaa bila ke wala kujichua
Masiku kibao tumesikia askari wanawatia mimba wafungwa wanawake
Tumesikia wafungwa wanalana wao kwa waob
 
Atakuwa Bachelor mtoto si riziki na akiwa anatikisa mikono , wazee wa kanisa ndio huvamia
Sio Kila mtu ana hobby na ngono.
Wengine ngono kwao ni uchafu,najisi.
Hasa wale wanaoishi maisha matakatifu ya kitawa.
 
Sio Kila mtu ana hobby na ngono.
Wengine ngono kwao ni uchafu,najisi.
Hasa wale wanaoishi maisha matakatifu ya kitawa.
Tunawaona hao watawa wakitauwa masister baada ya kupiga nyama choma na zile baridi na moto kwa ma crate wanayoletewa, 😛😛😛
 
Back
Top Bottom