Waziri Mkuu Ufaransa amteua aliyekuwa mume wake kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Umenukuu biblia ipi ?? mbona nyengine zimeandikwa vyengine ??

Una uhakika gani paulo aliandika hayo uliyoyanukuu ??

mbona Biblia imeandika vyengine huku

View attachment 2897713
Wewe ndiyo mwongo mfano hapo Ruth 1:14 haisemi hicho ulichoambiwa hapo; badala yake imeamdika;
“Again they wept loudly, after which Orʹpah kissed her mother-in-law and departed. But Ruth stuck with her.”
 
Wewe ndiyo mwongo mfano hapo Ruth 1:14 haisemi hicho ulichoambiwa hapo; badala yake imeamdika;
“Again they wept loudly, after which Orʹpah kissed her mother-in-law and departed. But Ruth stuck with her.”
Umenukuu biblia ipi kati ya biblia zaidi ya elfu zilizo tofauti?
 
Eunuch anakuwa vipi eunuch au towashi , towa maelezo please
Shoga ni mwanaume aliyeamua kuingiliwa.
Towashi ni mwanaume aliyeamua kutooa au kuzini na wanawake Ili awe bize na KAZI ya Mungu mfano mapadre,au walio zaliwa hivyo au waliofanywa hivyo na wanadamu mfano watumwa nchi za uarabuni waliwaasi wanaume ili wasizae na wake au mabinti za mabosa zao.
Hata Kamuzu Banda alifanywa towashi akiwa daktari wa malikia ili asimzalishe ikawa aibu.
 
Mke wa M7 ni Waziri wa Elimu 🤪🤪
 
Huu utowashi sijui unini ndio unafanya mpaka mnaambiwa mubarikiane huko makanisa
Mwanaume kamili kujihusisha na mwanamke au wanawake ni ibada pia mhim tu ufuate taratibu na sheria
Eti usijihusishe na wanawake kwa kazi ya Mungu
Dini yenu ina matatizo makubwa sanaaaaaaaa
 
Ngono sio hitaji la mwili Bali ni akili huwez tumikia mabwana wawili kwa pamoja
 
Ngono sio hitaji la mwili Bali ni akili huwez tumikia mabwana wawili kwa pamoja
Kakwambia nani mke au mume ni hitaji la mwili na akili ya ke au me yeyote alojamilika
Yaani kama ndio akili zenu hizi papa atawapelekesha sanaaaaaaaa
 
Hawa watu wanacheza na mavi sana. Yaani ni balaa. Mungu hatawaacha salama.
 
Kakwambia nani mke au mume ni hitaji la mwili na akili ya ke au me yeyote alojamilika
Yaani kama ndio akili zenu hizi papa atawapelekesha sanaaaaaaaa
Mwili unao namna yake ya kujicontrol hata usipofanya ngono,ni uamuzi TU kama matowashi wanavyoamua kutofanya ngono Hadi kifo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…