Waziri Mkuu Ufaransa amteua aliyekuwa mume wake kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Waziri Mkuu Ufaransa amteua aliyekuwa mume wake kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Unasoma halafu unashindwa kuelewa, how old are you?
Wewe ulisoma si nieleweshe ,unaona aibu gani ??

Mbona unakimbiaaaaaaaaa ???? Nimekuwekea maswali kwa wino mwekundu

nimesoma

eunuch is used historically and in scripture to refer to castrated men

jee waliwacastrate vipi kwa kuwatoa korodani ??

Unakimbia kitu gani hapo ??
 

Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa Gabriel Attal ambaye ni shoga amemteua mume wake Stephane Sejourne kuwa waziri wa mambo ya nje, siku chache tu baada ya yeye kuwa shoga wa kwanza aliyejinadi hadharani kushikilia wadhifa wa uwaziri mkuu wa nchi hiyo.

Sejourne, ambaye pia anaongoza chama cha siasa cha Rais Emmanuel Macron cha Renaissance na kundi la Renew katika Bunge la Ulaya, anachukua nafasi ya Catherine Colonna katika mabadiliko ya baraza la mawaziri yaliyofuatia kujiuzulu kwa waziri mkuu wa zamani Elisabeth Borne siku ya Jumatatu.

Waziri huyo mpya wa mambo ya nje mwenye umri wa miaka 38 alikuwa mshauri wa Macron tangu akiwa Waziri wa Uchumi na Fedha, kisha akajiunga na timu yake mwaka 2014 na kubaki naye katika katika kampeni za uchaguzi wa Rais mwaka 2017.

Macron alimteua Attal kuchukua nafasi ya Borne siku ya Jumanne, na kumfanya kuwa waziri mkuu mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kutokea nchini Ufaransa na aliyejitangaza hadharani pia kuwa anajihusisha na maingiliano ya kimwili ya watu wa jinsia moja. Kabla ya kuteuliwa kuwa waziri mkuu, Attal aliwahi kuwa Waziri wa Elimu.

Itakumbukwa kuwa baada tu ya kuteuliwa kushika wadhifa huo, alichukua hatua ya kupiga marufuku wanafunzi wasichana Waislamu kuvaa vazi la Abaya maskulini.

Attal na Sejourne walianzisha rasmi mahusiano yao ya kingono mwaka 2017 kupitia 'ufungishaji ndoa' wa kiraia na kuyatangaza hadharani mwaka uliofuata, wakati Attal alipojitokeza hadharani na kujitangaza kuwa ni 'shoga'.

Hata hivyo, mnamo mwezi Oktoba, Attal alidai katika tamko rasmi juu ya migongano ya masilahi kwa Mamlaka ya Juu ya Uwazi katika Maisha ya Umma kwamba hakuwa na mshirika rasmi katika mahusiano ya kingono, ingawa yeye na Sejourne hawajawahi kutangaza hadharani kuwa wametengana kisheria.

Huko nyuma mnamo mwaka 2018, Attal aliwahi kuwa msemaji wa chama cha Macron kwa muda wa miezi 10, wakati huo kikiitwa La Republique en Marche baada ya kukihama Chama cha Kisoshalisti miaka miwili mapema ili kumuunga mkono Macron katika kinyang'anyiro cha kuwania urais.

Mabadiliko ya baraza la mawaziri aliyofanya Emmanul macron siku ya Alhamisi ya wiki iliyopita, yameelezewa kama juhudi za rais huyo wa Ufaransa za kuokoa umashuhuri unaodidimia wa serikali yake.


yaani leo mtu aende nyumbani kwake , askari wa mlangoni akwambie Waziri Mkuu yumo ndani anafirwa na Basha wake sasa hivi , Hivi kweli dunia imeshafika hali hii ??😳😳😳 😛 😛 😛
 
How do you see it?

Google yako inasema

Dr. Robert Gagnon, tenured Professor of Greek and New Testament Exegesis at Pittsburg Theological Seminary evangelical Christian author, admits on his website, that “born eunuchs” in the ancient world were gay.


 
Have you read it?

The word eunuch, in the New Testament, is from the Greek word eunouchos, eun, for bed, and echein, to keep.

A eunuch is literally ‘a keeper of the bed.’ Eunouchos conveys the idea of superintendent of the bedchamber, bed keeper,
 
Have you got an answer?


eunuch wanakuwa hawana hamu na wanawake na ndivyo wangese walivyo

kama eunuch wanakuwa castrated hiyo si kweli kwani biblia inasema


1707377176994.png
 
Hata huyo Emmauel Macron ni shoga. Ndio maana hadi leo hana mtoto.

Na ndio maana ameamua kujaza mashoga wenzie hapo serikalini.
Emmanuel Macron ana mke wa jinsia ya kike, ila mke ni mkubwa kwa umri kuliko yeye
 
Back
Top Bottom