Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
- Thread starter
-
- #21
Ishu hapa sio wanajeshi kufa, ishu ni idadi kiduchu inayoripotiwa na Ukraine na vyombo vya magharibi ambayo haiakisi kile tunachokiona kikiendelea (kuomba msaada wa raia wa nchi husika na duniani kote wasio na ujuzi wa mapambano wakapewe bunduki wasaidie jeshi la Ukraine)Kwenye vita lazima wanajeshi watakufa hakuna ajabu apo, swali la kujiuliza Lengo la Putin limetimia jibu ni kwamba halijatimia
Hata urusi wanareport wanajeshi waliokufa ni wachache point kwamba kila mmoja hawez sema ukweliIshu hapa sio wanajeshi kufa, ishu ni idadi kiduchu inayoripotiwa na Ukraine na vyombo vya magharibi ambayo haiakisi kile tunachokiona kikiendelea (kuomba msaada wa raia wa nchi husika na duniani kote wasio na ujuzi wa mapambano wakapewe bunduki wasaidie jeshi la Ukraine
Ujinga mtupu.Wewe utakuwa ni mzito sana kuelewa aisee, huwezi kuchambua vitu mwenyewe ila mpaka utafuniwe kila kitu (spoon feeding).
Ngoja nikutafunie kila kitu sasa ili upate faida kulingana na upeo wako wa akili.
Ni hivi kwa mujibu wa Ukraine na vyombo vya magharibi wao wanadai kuwa wanajeshi wa Ukraine waliouawa ni kiduchu kwa maana hawafiki hata 500 (kama wewe mjuvi una data zozote zinazoripoti tofauti na hivyo ziweke hapa chini).
Izo stori za wanajeshi wa Russia waliokufa sio lengo langu kuleta huu uzi (rudia tena kusoma topic ya uzi huu), kwani vyombo vya magharibi na Ukraine vimedai kuwa ni zaidi ya wanajeshi 5000 wa Russia wamekufa (sitaki kujadili hizo data za kupika). Ila wakati huo huo rais wa Ukraine alitaka msaada wa raia wa kawaida waingie kusaidia jeshi kupambana na majeshi ya Russia. Si hivyo tu akawaomba raia wa nchi hadi za duniani kote hadi Afrika wafafiri wakapewe bunduki wapigane na Russia (hapa napo kwa akili yako ilivyo mpaka nikutafunie i.e. nikuchambulie kuwa hali hiyo yaonesha majeshi ya Ukraine yalizidiwa nguvu).
Nyie ni wazito sana kuelewa maandiko, nachelea kuwaita vilaza. Yaani mnashindwa kuelewa maandishi hata topic ya mada husika!Mkuu ukisema hiyo quotation aliyonukuu ni wazi askari wa pande zote mbili wamefakiri,yeye alichokieleza sijui kakikwapua wapi. Jamii forums kuna wakati mtu unapaswa kupotezea baadhi ya watu, unaweza kuta unabishana na vijana wa MEMKWA.
Sawa tufanye wanajeshi wa Urusi wamekufa weengi, ni wapi umeona wamelalama na kuomba msaada kwa raia wake wakasaidie au washirika wake wakasaidie?Hata urusi wanareport wanajeshi waliokufa ni wachache point kwamba kila mmoja hawez sema ukweli
Mim sijasema kwamba wanajeshi wa urusi wamekufa wengi kwa hiyo acha kunlisha maneno hiyo umesema, kwenye vita wanajeshi wa pande zote wamefariki kujua idadi ni ngumu na kila hawez sema ukweli tatizo lako kila habari unaiokotaSawa tufanye wanajeshi wa Urusi wamekufa weengi, ni wapi umeona wamelalama na kuomba msaada kwa raia wake wakasaidie au washirika wake wakasaidie?
Jitahidi kusoma matukio na kuyatafakari ili uelewe ukweli wa kinachosemwa/kuripotiwa
Ubongo wako umelala mno, nitajitahidi kukufunda uwe waweza kung'amua nukta za msingi zilizojificha ktk mada zangu ili tuweze kwenda sambamba nisikuache nyuma.Ujinga mtupu.
Ukisikia udumavu wa akili, ndio huu.Ubongo wako umelala mno, nitajitahidi kukufunda uwe waweza kung'amua nukta za msingi zilizojificha ktk mada zangu ili tuweze kwenda sambamba nisikuache nyuma.
Alisikika akijigamba mUkraine mmoja wa Tandahimba kwa kuwa tu yeye ajulikana huko UkraineJamaa unavyojipendekeza utafikiri kuna mrusi hata mmoja anaekujua, kweli ujinga ni kazi
Zelensky anataka vijana wa Afrika wasafiri wakapewe silaha na kuwa MERCENARIES😳😳Pamoja na jitihada kubwa za makusudi zinazofanywa na Ukraine, NATO na US kudogesha idadi ya wanajeshi wa Ukraine waliouawa na majeshi ya Russia nchini Ukraine, Waziri Mkuu wa Bulgaria kaamua kusema ukweli kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wameuawa mpaka sasa.
Ufafanuzi huo wa idadi ya vifo toka kwa Waziri huyo wa nchi mwanachama wa NATO, Bulgaria umejiri baada ya waziri wa Ulinzi wa Bulgaria kutumia neno 'oparesheni ya kivita' akielezea mapigano ya Russia nchini Ukraine ambapo Waziri Mkuu ameng'aka kuwa hilo si neno sahihi kutumika kwani maelfu ya wanajeshi wa pande zote mbili (wanajeshi wa Ukraine na wa Russia) wameuawa na hivyo hiyo ni vita kamili sio operesheni ya kijeshi.
Kauli ya Waziri Mkuu huyo juu ya maelfu ya wanajeshi wa Ukraine kuuawa kwenye vita hivyo inatiwa nguvu na kile Rais wa Ukraine, Ze Comedian Zelensky, alichokifanya kuwapa silaha raia wa kawaida wa Ukraine wasio na ujuzi wowote wa mapigano ya vitani na kuwataka wasaidie jeshi la nchi hiyo kupambana na majeshi ya Russia huku raia hao wakijificha kwenye mavazi ya kiraia. Rais huyo akaenda mbali zaidi kwa kuwaomba hata raia kwenye nchi nyinginezo duniani, ikiwemo Afrika, wasafiri kwenda kupewa bunduki wasaidie jeshi la nchi hiyo llilozidiwa nguvu na majeshi ya Urusi.
======
Bulgarian defence minister sacked over Ukraine rhetoric
Bulgarian Prime Minister Kiril Petkov on Monday fired Defence Minister Stefan Yanev for his reluctance to describe the Russian invasion of Ukraine as a war, reiterating that Sofia would speak in one voice with the European Union.www.reuters.com
"My defence minister cannot use the word operation instead of the word war. You cannot call it an operation when thousands of soldiers from the one and the other side are already killed," Petkov said in a televised statement.
View attachment 2134769View attachment 2134770
Huyu jamaa Zelensky anashangaza sana 🤣🤣Muda ni kila kitu. Jana Ukraine wamepewa muda kuondoa raia kiev. Kitakachofuata sisi hatumo.
Aendelee na comedy zake ku.
Kwenye vita lazima wanajeshi watakufa hakuna ajabu apo, swali la kujiuliza Lengo la Putin limetimia jibu ni kwamba halijatimia
Jamaa unavyojipendekeza utafikiri kuna mrusi hata mmoja anaekujua, kweli ujinga ni kazi
kwa tanzania bila kuambiwa mshachochora tanzania hii mnaogopa hata kuandamana mkihofia mabomu ya machozi ndo uone mzinga useme utabakii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Source ya hii habari sababu hakuna sehemu yeyote imeripotiwa, Ukraine waondoke waende wapi Ile ni nchi yao
Mtu aje Tanzania atuambie ondoken Tanzania kirahisi rahisi tumtii maisha sio marahisi hivyo
Mshabiki wa Putin huyo!Wewe una tatizo la kuelewa Kiingereza na ndio maana huelewi kinachosemwa. Alichokisema ni kuwa, "You cannot call it an operation when thousands of soldiers from the ONE side and the OTHER side are already killed". Maana yake ni maelfu ya askari kutoka pande zote wamekufa, hii ya kusema ni askari wa Ukraine pekee ndio waliokufa imetoka wapi?
Tumia muda wako kujifunza zaidi kuliko kusema vitu usivyovijua.
Zelensky anataka vijana wa Afrika wasafiri wakapewe silaha na kuwa MERCENARIES[emoji15][emoji15]
Daah kweli hatari sana...
Bora Tanzania yetu iendelee hivihivi na amani yake!
#Siempre JMT[emoji120]