Huwa hata mnaelewa basi. Huyo Kitimoto mnamsingizia vitu vingi sana.Bahati nzuri hilo halinisumbui kwani najua halitakuja kutokea Mwenyewe Allah keshasema hafanani na kitu chochote .. so just take a chill pill bwana mdogo
Surat Al-Ikhlas (112:1-4): "Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. Mwenyezi Mungu ndiye anayejitosheleza. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hana anayefanana naye hata mmoja."
Ingia YouTube kama huwezi fika uone wenzako wanavyotimiza nguzo ya kubusu jiwe.
Sanamu lipiHizo ni ibada za sanamu full stop.
Na ndio maana kila siku munaibiwa kila siku,Hana tofauti na waabudu na wabusu jiwe wa Makkah
Kulizunguka jiwe huku unalitwanga na kuliambia manenomaneno.Sanamu lipi
Unajua Muhindi anakunywa mkojo wa Ngo'ombe .. akiitakidi ni blessingsWahindi wanamuheshimu ng'ombe sio Mungu wao Mungu wao wanaomuabudu ni huyu huyu yehova
Niliwahi kuishi kwenye apartment moja na mjamaa pindi hicho nikiwa Canada, ambaye ni wa hii dini yaani ilikuwa shidaaa sana.Waziri mkuu wa India Narendra Modi amesherehekea pamoja na kufanya ibada baada ya kuzaliwa ndama wa ng'ombe mwenye alama nyeupe kichwani katika makazi yake ya 7, Lok Kalyan Marg. Modi alisema makazi hayo yamebarikiwa kwa ujio wa ndama huyo aliyempa jina la Deepjyoti(mwali wa moto).
Katika dini ya Kihindu ambayo Modi ni mfuasi wake kindakindaki ng'ombe anachakuliwa kama mama wa dunia na ubinadamu na anapewa hadhi ya juu pamoja na heshima kubwa ikiewemo pamoja na marufuku ya kuliwa.
View attachment 3096044
Unaona sasa akili zenu zilivyo ndogo kwa akili zenu zilivyo hizi Mtaibiwa hadi basi, rejea maana ya kubusu, sisi tumefundishwa kubusu wazi wazi, huna hoja weweHujanijibu swali .. Unazifahamu Nguzo za Hija kama ndio Je kubusu jiwe ni moja ya Nguzo za Hija ?! Dini ya kiislamu ipo well documented na imekamilika sasa unaponipa refference ni yotube video sikuelewi .. kwa Ufupi watu wa aina yako ambao ni wavivu kusoma ni tatizo kwa Nchi hii ukishaona yotube fulani kasema hivi basi khalas ni ushahidi tosha kwako mihemko inaanza ..
NYINYI makafiri mnaabudu masanamu na mfu yeshuUnaona sasa akili zenu zilivyo ndogo kwa akili zenu zilivyo hizi Mtaibiwa hadi basi, rejea maana ya kubusu, sisi tumefundishwa kubusu wazi wazi, huna hoja wewe
Haifuti kuwa hyo ni nyamaIndia majimbo mengi ikiwemo mji mkuu wake wa Delhi wamepiga marufuku kabisa biashara ya nyama ya ng'ombe, ukipita na nyama ya ng'ombe ni zaidi na umepita na kitimoto msikitini.
Unajua Muhindi anakunywa mkojo wa Ngo'ombe .. akiitakidi ni blessingss
Sawa, sasa hebu jiulize hivi kweli mbuzi ana weza kumuokoa Mtu?, au kumpa baraka mtu?, hapo ni big no, acha hyo hebu fikiria wewe unaweza ku muingilia mama yako mzazi?, jibu huwezi na kwa nini huwezi?, jibu yule amekuzaa, sasa rejea ktk Quran inasemaje kuhusu mama, mama Katukuzwa (kapewa utukufu/daraja lajuu) , sasa njoo kwa hao mbuzi, ng'ombe na Wanyama wengine wote wanaingiliano wao kwa wao, sasa hao ndio wawe bora?,Unajua Muhindi anakunywa mkojo wa Ngo'ombe .. akiitakidi ni blessings
Namuomba mungu kisisimame kiama mpaka anikutanishe nawe then na kukuuliza hili swali siku ya kiama " je anayekisimamisha kiama hiki au siku hii ya leo ya mwisho ni nguruwe?"Bora hao wanaweza wakakuonyesha wanachoabudu, je wewe usiyejua unaabudu nini? Siku ukija kuonyeshwa utakuta kumbe huyo Allah ni kitimoto ndiyo maana na nyie mmekatazwa msile kama wahindu walivyokstazwa kula ng'ombe.
Watanzania unafiki mwingi.Huku kuna wakati Hamis Kigwangalla alionekana anafanyiwa matambiko ya Kinyamwezi wabantu wenzake walimshukia kama mwewe!