Waziri mkuu wa India asherehekea na kufanya ibada kuzaliwa kwa ndama katika makazi yake

Waziri mkuu wa India asherehekea na kufanya ibada kuzaliwa kwa ndama katika makazi yake

Wanakula mali maharage.

Unajitoa akili
Nauliza hivyo sababu nazifahamu nguzo za Hija ..Je wewe unazifahamu ..?! Kama unafahamu kubusu sijui jiwe ni moja kati ya nguzo za Hija?! Je kitendo akifanya mtu fulani nje wa muongozo wa Dini na taratibu kinageuka kuwa ni muhimili wa hiyo dini ilhali muongozo wa hija na vitendo vyote vinavyohitajika kufanywa wakati wa Hija vipo well documented...
Ushauri acha mihemko kijana uislamu una principle zake na kila kitu kina maelekezo yake kwa ufupi unajitosheleza... Kwa kukusaidia tu kubusu jiwe si moja kati ya nguzo ya Hija .. kaa usomeshwe dini ya Haki huenda ikawa ndio uongofu kwako na kuachana na ukafiri na ushirikina
 
Nauliza hivyo sababu nazifahamu nguzo za Hija ..Je wewe unazifahamu ..?! Kama unafahamu kubusu sijui jiwe ni moja kati ya nguzo za Hija?! Je kitendo akifanya mtu fulani nje wa muongozo wa Dini na taratibu kinageuka kuwa ni muhimili wa hiyo dini ilhali muongozo wa hija na vitendo vyote vinavyohitajika kufanywa wakati wa Hija vipo well documented...
Ushauri acha mihemko kijana uislamu una principle zake na kila kitu kina maelekezo yake kwa ufupi unajitosheleza... Kwa kukusaidia tu kubusu jiwe si moja kati ya nguzo ya Hija .. kaa usomeshwe dini ya Haki huenda ikawa ndio uongofu kwako na kuachana na ukafiri na ushirikina
Kwa hiyo hao hapo kwenye picha mamilioni kwa milioni kutoka pande mbalimbali za dunia wana muabudu shetani ?
 
Kina nani hao ..?!
Hawa hapa picha ya kwanza hapo chini mkuu. Na maelezo ya ziada yako kwenye picha murua zinazofuata.
images (8).jpeg

Wailsam wakijitahidi kulifikia jiwe jeusi ili kulibusu huko Makkah👆🏿


images (9).jpeg

👆🏿👆🏿Picha hapa ni nzuri zaidi kukusaidia muonekano bora


Nukuu ya hadith kuhusu utukufu wa jiwe jeusi👇🏾
images (10).jpeg


Maelezo ya ziada👇🏾👇🏾
images (11).jpeg
 
Bora hao wanaweza wakakuonyesha wanachoabudu, je wewe usiyejua unaabudu nini? Siku ukija kuonyeshwa utakuta kumbe huyo Allah ni kitimoto ndiyo maana na nyie mmekatazwa msile kama wahindu walivyokstazwa kula ng'ombe.
📌🔨🔨🔨💊💉
 
Habari hii iifikie misukule ya waarabu na wazungu popote walipo wakibinua makalio huku wameelekeza vichwa mwelekeo wa mji wa mabwana zao na wengine wakipiga magoti mbele ya rundo la sementi na gypsum powder iliyochongwa kwa mfano wa mabwana zao wa ulaya.

Ujumbe: Waache kuabudu mizimu ya wazungu na waarabu na kudharau ya kwao waliyodanganywa ni ya kishenzi.
 
Unazifahu nguzo za Hija ?! Kama ndio je kubusu jiwe ni moja ya kitendo katika hizo nguzo za Hija?! Kama hujui sema usomeshwe..usikaririri bwana mdogo ...kwamba kitendo akifanya fulani basi ndio utaratibu wa dini yao huo ... Uislamu haupo hivyo sio kama ukafiri .. uislamu una principles na mafunzo yake ..
Ushawahi fika hijja?
 
Hawa hapa picha ya kwanza hapo chini mkuu. Na maelezo ya ziada yako kwenye picha murua zinazofuata.
View attachment 3096131
Wailsam wakijitahidi kulifikia jiwe jeusi ili kulibusu huko Makkah👆🏿


View attachment 3096132
👆🏿👆🏿Picha hapa ni nzuri zaidi kukusaidia muonekano bora


Nukuu ya hadith kuhusu utukufu wa jiwe jeusi👇🏾
View attachment 3096137

Maelezo ya ziada👇🏾👇🏾
View attachment 3096138
Umejitahidi sheikh Google , ndio maana nikasema uislamu inabidi ukae usomeshwe lakini umeacha maelezo muhimu ya wema waliotangulia ambao walikaa na Mtume Mohamad Rehema na amani ziwe juu yake na ndio maana katika nguzo za Hija kuhusu hilo jiwe sio part of it ...
 
Sisi tukubaliane tu katika kila imani kuna mambo tunayofanya ambayo kwa mtu asie wa imani hiyo ukimuambia lazima akuone wewe ni mwehu.
 
Sisi tukubaliane tu katika kila imani kuna mambo tunayofanya ambayo kwa mtu asie wa imani hiyo ukimuambia lazima akuone wewe ni mwehu.
Sahihi, japo kuna kuzidiana katika mambo ya kuonekana mwehu
 
Sahihi, japo kuna kuzidiana katika mambo ya kuonekana mwehu
Yote yaleyale tuu. We inawezekana ya dini yako unayaona ya kawaida maana umeyazoea. Ila akija mtu asiejua lazima akuone mwenda wazimu.
 
Waziri mkuu wa India, Narendra Modi amesherehekea pamoja na kufanya ibada baada ya kuzaliwa ndama wa ng'ombe mwenye alama nyeupe kichwani katika makazi yake ya 7, Lok Kalyan Marg. Modi alisema makazi hayo yamebarikiwa kwa ujio wa ndama huyo aliyempa jina la Deepjyoti(mwali wa moto).

Katika dini ya Kihindu ambayo Modi ni mfuasi wake kindakindaki ng'ombe anachakuliwa kama mama wa dunia na ubinadamu na anapewa hadhi ya juu pamoja na heshima kubwa ikiewemo pamoja na marufuku ya kuliwa.

View attachment 3096044
Waabudu Ng'ombe hao...
 
Back
Top Bottom