hakuna atakaeandamana kuhusu biblia kuchanwa, waisilamu ni punguani wanajikuta wafia dini, dini zenyewe tumezikuta tuHuko Ulimwenguni kuna mambo, yaani wao shida yao waandamane na waichome tu? Sasa ni zamu ya Waislam nao waanze kuichoma biblia, hakuna atakaye jali...
Huna haki ya kuwapangia watu wengine wawe na haki gani katika nchi yao.Uchomaji wa Msahafu ni kitendo si cha kiungwana na hakipendezi, kama watu wameshindwa kustahamiliana bora watumie njia nyingine na si kucheza na hisia za watu. Msahafu ni kitabu kitukufu kwa waislamu wa madhehebu yote, hivyo kukidharau au kukikejeli ni hatari kubwa kwani kuna baadhi wa waumini wapo tayari kufanya chochote kwa kulinda heshima ya imani yao, tunaomba huu ushabiki usije ukaleta khasara kubwa kwa waliyokuwemo na wasiyokuwemo. Hivi mbona sijawahi kusikia waislamu wakichoma vitabu vya imani nyingine! Hakuna mtu anayelazimishwa kuwa muislamu, kama kuna mtu ameona uislamu haumfai basi na aachane nao na kama kuna mtu ameona uislamu unamfaa basi ajiunge nao.
😅😅😅😅 dr shabani? ushakua ustadhHili halikubaliki siyo sawa na hatujajuwa wasweden wamefanywa nn na waisilamu
Hizo ni janja janja tu,Hii tunayozungumzia ni Qur'an ambayo nina uhakika wewe hujui.Tafsiri unayoangalia ama ni ya Kiswahili au kiiengereza ambazo unaweza ukapata maana isiyokusudiwa.Hapo kwenye aya imetumika maana kwa mujibu wa akili za watu wanavyoweza kufahamu.ibn Kathir kaitafsiri aya hiyo kama hivi
وَجَدَهَا تَغۡرُبُ فِى عَيۡنٍ حَمِئَةٍ۬
(he found it setting in a spring of Hami'ah) meaning, he saw the sun as if it were setting in the ocean. This is something which everyone who goes to the coast can see: it looks as if the sun is setting into the sea but in fact it never leaves its path in which it is fixed. Hami'ah is, according to one of the two views, derived from the word Hama'ah, which means mud. This is like the Ayah:
Sasa kwanini tufuate tafsiri yako ambaye hujui kiarabu na wala Qur'an
Tuambie ninani aliwahi kufa kifo kizuri?Kifo chako kitakuwa kibaya sana, na mbaya zaidi hautakuwa tena na muda wa kuomba msamaha kwa ujinga uliofanya.
Muujiza wa kwanza wa Qur'an, ni kitabu pekee duniani kimehifadhiwa na watu wengi zaidi wa makabila na lugha tofauti lakini wamekihifadhi kwa lugha yake ya asili kwa miaka zaidi ya 1,400 sasa.quran haina miujiza yoyote, dini ni mapokeo tu na janja janja. wafia dini hamta nielewa
Wana wabeep waislam, wakiwapigia, wasipige kelele.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
kwanini waisilamu wanajikutaga waarabu?Muujiza wa kwanza wa Qur'an, ni kitabu pekee duniani kimehifadhiwa na watu wengi zaidi wa wamakabila na lugha tofauti lakini wamekihifadhi kwa lugha yake ya asili kwa miaka zaidi ya 1,400 sasa.
Kama si muujiza nini hiyo?
Kwahiyo unataka kutuambia ukitaka kuprint kuluani inakataa acheni sifa zakijinga kile nikitabu cha hadithi kama vilivyo vitabu vya Erick Shigongo acheni kuvipamba sanaNgoja nikujibu kijinga kama ulivyo uliza kijinga.....
Hizo bendera ziwe za majeshi, raisi ama taifa husika si mavitambara tu? Vipi ukilichoma hadharani (say) tambara la Tanzania??
Ingekuwa Qur an ni makaratasi basi kuna viwanda vingi sana vya karatasi wangenunua karatasi wakachoma kama lengo lao ni kuchoma karatasi! Lengo lao ni devalue uislam!
Unajua kitu kinachowauma wamagharibi na they got nothing to do with it ni uislam kushamili au kuongezeka kwa kasi duniani na kuwa dini nambari moja ya ushawishi kwa sasa duniani!
Mwenyezi mungu mwenyewe kajaalia kila kitu kimezaliwa kikiwa ni kiislam what a dini!
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kabla ya kusema Mwenyezi Mungu hivi, mwenyenzi Mungu vile.Una akili ndogo mno, mwenyezi Mungu hayupo kiushindani na viumbe vyake alivyoviumba mwenyew umeletwa duniani bure ,ukaletewa manabii bure na manabii wakaja na vitabu viwe muongozo kwa binadamu, ukifanya kiburi bc Kuna kabla yako walikua kiburi zaidi yako Ila hawajaangamizwa maramoja mpaka pale walipopelekewa muonyaji na kuendelea kuleta kiburi kama chako lakin mwisho wa cku wako wapi ? Mwenyezi Mungu kashasema yeye ndio alietuleta na kwake wote tutalejea kwahiyo hapana shaka juu ya hilo sasa haraka ya nini ? Ukiwa kiburi utasema mengi kuna watu washasema kwanini huyo mwenyezi Mungu asingekuja mwenyewe mfano wa maneno kama hayo unayosema wewe ila hawakuangamizwa mpaka pale mwenyezi Mungu alipotaka. Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema.
Hayupo kiiushindaniKabla ya kusema Mwenyezi Mungu hivi, mwenyenzi Mungu vile.
Thibitisha yupo kwanza.
Inawezekana upo sahihi hayupo kiushindani.
Kwa sababu hayupo.
Hizo ni fikra zako tu, wewe siyo mstaarabu?kwanini waisilamu wanajikutaga waarabu?
Kiislam hatuendi hivyo. Kiislam inatakiwa wewe unaepinga ndiyo uthibitishe hayupo.Huna haki ya kuwapangia watu wengine wawe na haki gani katika nchi yao.
Ukishaanza kuwapangia watu wasichome moto vitabu nchini mwao, wakati utamaduni wao unaruhusu, huo nao si uungwana.
Unataka kuwapangia watu jinsi ya kuishi nchini mwao?
Quran si kitabu kitukufu, kina contradictions nyingi sana nimeziweka hapa.
Acha kukikuza.
Kichomwe moto tu.
Kwani kikichomwa Allah atakufa?
Kama ala mwenyewe yupo hivyo ninyi waishilamu mnayaingilia yAnini kama yupo ipo siku atajitetea muachieni mipango yake aipambanieAllah sio mpuuzi kama binadam Allah anasubira hana pupa lau kama angekua analipa papo hapo sidhani kama mpaka leo ulimwengu wenyewe ungali kuepo
Kumbe unachokusudia kusema kuhusu hiyo aya ni kuwa waislamu wanaamini dunia ni kama mkeka.Ndio maana nimekwambia lazima ujifunze na uwasililize waislamu wenyewe ndipo utaelewa.Hebu sikiliza jawabu hapo halafu urudi tena.Vistari vyako hivyo huwezi kufika pahala.Hizo ni janja janja tu,
Hamchelewi kusema kuwa siyo gazeti lile.
Hapo umeleta mstari wa kiarabu, kuna neno "as if" hapo wala "ocean" ?
Je kuna sehem ambayo jua huwa linazama mpaka huyo Dhul-Qarnaini awakute watu hiyo sehemu?
Nimesindikiza na hadithi ya Abu dawood hapo,
Hauchelewi kusema kuwa ni hadithi ya uongo kisa inamaujinga ya watu wenu wa kale na hamuwezi kuwatetea.
🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️🛰️
Ukweli ni kwamba mwandishi alikuwa ni flat earther,
Soma hata 18:90 utaona
90. Hata alipo fika matokeo ya jua (Mawio) aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo.
Haya ni maandiko ya illiterate person
Na sio huyo tunaambiwa ni Mola mjuzi wa yote!
Huyo Mungu hayupo.
Mtu kanunua kitabu chake mwenyewe kwa pesa yake kaenda kukichoma kuna ubaya gani kwani Allah anaishi kwenye kitabu kwamba kikochomwa atakufa?Uchomaji wa Msahafu ni kitendo si cha kiungwana na hakipendezi, kama watu wameshindwa kustahamiliana bora watumie njia nyingine na si kucheza na hisia za watu. Msahafu ni kitabu kitukufu kwa waislamu wa madhehebu yote, hivyo kukidharau au kukikejeli ni hatari kubwa kwani kuna baadhi wa waumini wapo tayari kufanya chochote kwa kulinda heshima ya imani yao, tunaomba huu ushabiki usije ukaleta khasara kubwa kwa waliyokuwemo na wasiyokuwemo. Hivi mbona sijawahi kusikia waislamu wakichoma vitabu vya imani nyingine! Hakuna mtu anayelazimishwa kuwa muislamu, kama kuna mtu ameona uislamu haumfai basi na aachane nao na kama kuna mtu ameona uislamu unamfaa basi ajiunge nao.
Mfano mdogo tu, kwani we mtu akikutukania mamaako huwa anakufa? akili ndogo tabu sana! U are mocking the emotional reaction instead of condemning the provocation leading to those reactions! shame on u!Kwani wakichoma Quran Allah anakufa?
pesa inaonekana nainajitetea yenyewe kupitia hixo serikali hebu kuluani ijitetee kama inavyfanya pesaMbona huko huko Sweden huruhusiwi kuchoma Bendera?..na unafungwa jela Kwa kuchoma Bendera...
Hata hapa Tanzania kukanyaga Tu pesa ni kosa kisheria
Wallahi nyie jamaa zetu chuki zinawadogosha akili sana!Acha vitabu vijitetee vyenyewe,
Acha Allah ajitetee mwenyewe si ana uwezo yule,
We Kaa utulie
Sisi hatuwezi kujaribu kufanya kitu kama hicho na yeye hana haja na misaada yetu.Tunachofanya sisi tunatafuta radhi zake kwa kuwajibu watu wajinga wajinga ambao bado hawajamjua.Na kipi tutakachopata kwa kufanya hivyo ni matarajio tu kupata rehema zake na kuingia kwenye pepo.Hiyo ndio akili kwa mtu anayejijua kuwa kwa uhakika atakufa na atakutana naye.Kama ala mwenyewe yupo hivyo ninyi waishilamu mnayaingilia yAnini kama yupo ipo siku atajitetea muachieni mipango yake aipambanie