Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Iko hivi:

Ili waende kufaudu mabikra 72 wasiomaliza ubikra na kufakamia pombe kutoka katika mito ya pombe isiyokauka huko Akhera, ni lazima matendo yao yamdhihirishe Allah. Na hakuna heshima na utukufu kama kumpambania huyo Allah hata kama ni mpaka kupoteza maisha yako kwa kujiripua mabomu au kuua watu wengine wasio na hatia wakiwemo wanawake na watoto. Yaani ukifa ukimpigania Allah, Uislamu, Mudi au Korani basi wewe ni moja kwa moja kwenye high table siti ya mbele kabisa karibu na huyo Allah huku umezungukwa na pisi kali ajabu tena zilizo sealed; na mipombe ya kila aina.

Hakuna kifo cha heshima kwa mvaa kobazi kama cha kufa akimpigania Allah na makandokando yake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji706]

Tafuta clips za mzee wa mizigo Sheikh Kipozeo akifafanua hizi raha za akhera. Unaweza ukasilimu usipojikaza [emoji16][emoji16][emoji16]
Huko kuchoma makaratasi ndio ujinga .Unachoma vitabu Sweden,wakati dunia nzima vimeenea n vinachapishwa kila siku.Wao na wawabeep wauslam,wakijibu mapigo,wasipige kelele.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Quran haihifadhiwi kwenye vitabu inahifadhiwa kwenye vichwa vya watu, hata wachome vyote hakuna kitakacho potea

njia pekee ya kuiteketeza labda ni kuua waislam wote maana wameihifadhi kichwani kuthibitisha hilo kwenye ibada zao zote wanaisoma Quran bila kuangalia kwenye kitabu

wanapoteza muda tu.
Huu ndio ukweli

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mfano mdogo tu, kwani we mtu akikutukania mamaako huwa anakufa? akili ndogo tabu sana! U are mocking the emotional reaction instead of condemning the provocation leading to those reactions! shame on u!

Na hao wanaofanya hivo ni LGBT, sasa kutokana na chuki zako kwa uislamu upo tayari kuwa pamoja na mapunga katika lolote lile, au sio? au na wewe ndie?
Kwa hivyo Allah ni sawa na Mama yangu?

Unaweza kuthibitisha huyo Allah yupo?
 
Kwani Allah mwenyewe ana kilema mpaka apiganiwe?
Hivyo kuchoma makaratasi,ndio wameshatiwa kichaa na Allah.Mwenye akili timamu hachomi vitabu,ambavyo viko mamilioni duniani,na kila dakika vinachapishwa vipya.Ni kuwaongezea kipato waislamu,-kila wakinunua vitabu hivyo na kuvichoma,wanachapisha na kuuza wanapata faida.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
quran haina miujiza yoyote, dini ni mapokeo tu na janja janja. wafia dini hamta nielewa
Nyote wenye chuki na uislamu mkiongea hamna isipokuwa ni kashfa na matusi, mfano wa hiyo comment yako ilivyo. Upande wengine waislamu wakiongelea juu yenu siku zote huwa na hoja zenye mashiko na zenye mantiki.

Mwenye hoja hatukani, mwenye akili hatukani.
 
Hivyo kuchoma makaratasi,ndio wameshatiwa kichaa na Allah.Mwenye akili timamu hachomi vitabu,ambavyo viko mamilioni duniani,na kila dakika vinachapishwa vipya.Ni kuwaongezea kipato waislamu,-kila wakinunua vitabu hivyo na kuvichoma,wanachapisha na kuuza wanapata faida.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Allah hayupo. Habari za kuwepo kwake ni hadithi za watu tu.

Ukibisha, thibitisha Allah yupo.
 
Nyote wenye chuki na uislamu mkiongea hamna isipokuwa ni kashfa na matusi, mfano wa hiyo comment yako ilivyo. Upande wengine waislamu wakiongelea juu yenu siku zote huwa na hoja zenye mashiko na zenye mantiki.

Mwenye hoja hatukani, mwenye akili hatukani.
Allah/Mungu hayupo. Habari za kuwepo kwake ni hadithi za watu tu.

Ukibisha, thibitisha yupo.
 
Zab 127:1 -2

BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure.

ALIYEIANDIKA QURAN AILINDE MWENYEWE.

Allah (shatani)
Asipoilinda Quran atajinua mwenyewe....
Wewe ndio utakuwa shetani,tumia akili,hao hivyo vitabu wananunua kwa pesa,sio wamevipata bure,sasa hapo wanachoma pesa zao,walizonunua hivyo vitabu.Na pia wanawapa biashara zaidi,waislamu wanaofanya biashara ya kuuza hivyo vitabu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hivyo Allah ni sawa na Mama yangu?

Unaweza kuthibitisha huyo Allah yupo?
Ndo maana nikasema akili ndogo hapa ndo tatizo! similarity iliyopo kwenye hoja yangu ni emotional provocation na sio kumfananisha Allah na chochote.

Sio jukumu langu kukuthibitishia kama Allah yupo ama laa.
 
Hayo ni makosa ya kibinadamu tu.
Biblia kuwa na makosa ya uchapishaji haiondoi ukweli kuwa ni kitabu kitakatifu
Kumbuka hicho kitabu kimeandikawa na wa
Huna uwezo wa kusahihisha wakati mapadre wako na papa hawajaweza.
Hebu jaribu kusahihisha angalau 2 za mwanzo hapo chini.Eti wanajidai ni makosa ya uchapishaji.Kumbe kila mtu akichapa anaongeza chake

The 10 Most Shocking Bible Errors​

10 Most Shocking Bible Errors

Counting down the 10 worst typographical errors in Bible that you should be aware of​

Christian devotees read the Bible with a lot of care and attention. Even harmless errors due to typographical mistakes have become an integral part of the content. Since its source materials date back to thousands of years and have been translated in several foreign languages; both misprints and mistranslations are serious issues.
In 1631, Robert Barker and Martin Lucas published a version of the Bible that was so terribly bad that it cost Barker his life. He lost his printing license, was fined, and died in jail.
David Shariatmadari of The Guardian, with some help from the International Society of Bible Collectors, is counting down the Top 10 Worst Bible Typos:
Some of the most prominent typos are as follows:
1. “Let the children first be killed” – Mark 7:27
This line is indeed awkward as it was supposed to mean “filled” instead of “killed”.
2. “If the latter husband ate her”
This is a typo from a printing that was done in 1682 and changes the original passage completely. The word “hate” has been mistakenly typed as “ate”
3. “Sin on more”
The phrase appears in an edition of 1716 and is also referred to as the “Party Bible’. Here the phrase “Sin no more” has been replaced by “Sin on more”. About eight thousand copies of the edition were printed before someone could actually spot the typo.
4. “Printers have persecuted me”
The phrase appears in an edition that was published in 1612 where the word “princes” have been mistakenly replaced with “Printers”.
5. “Jesus”
It seems as if the original word was “Joshua” that originates from the Hebrew word “Yeshua”.
6. “Out of thy lions”
Though, Bible has plenty of lions, this phrase appeared in an edition published in 1804.
7. “Holy ghost”
It is a perfect example of the pitfalls involved while translating the Bible. Pneuma in Greek means spirit or breath. While translating in a version by King James, it was wrongly translated as “ghost”. So while translating the notion of Holy Spirit becomes chaotic.
8. “Owl husband”
An edition published in 1944 by King James actually altered the commandment “…submit yourselves to your own husbands” to “…Submit yourselves to your owl husbands”.
9. “To remain”
A term needs to be invented by us for this particular phenomenon. This is whenever there are words that are meant as advice; persuade themselves as flattery within the text.
10. Peace on Earth and good will toward men”
According to a version by the King James, this phrase was addressed to some shepherds by an angel near Bethlehem. However, the correct translation would have been “Peace on Earth to people he favors”.

nadamu ambao nao pia wanaweza kukosea
 
Kuamini si kitu muhimu katika kutafuta ukweli, kwa sababu unaweza kuamini hata uongo.

Suala la muhimu zaidi ni je, unaweza kuthibitisha?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Kila kinachotajwa kutokuwepo,ujuwe kipo,ndio watu wengi wakakitaja kipo.Kisichokuwepo,hakitwaji kuwa hakikpo,kiliopo ndio hutajwa hakipo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Allah/Mungu hayupo. Habari za kuwepo kwake ni hadithi za watu tu.

Ukibisha, thibitisha yupo.
Hoja yako wala sio ngeni.

Sitokujibu bali nikuulize, wewe una akili au hauna? na kama unayo ipo wapi? na je ulishawahi kuiona?
 
Back
Top Bottom