Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
No no.
Asife bwana. Inabidi waongeze nguvu ili wapate chanjo mapema.
Wenzetu kinga yao nadhan dhaifu...sasa hawa kipindupindu ingekuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No no.
Asife bwana. Inabidi waongeze nguvu ili wapate chanjo mapema.
AminaMungu msaidie kamanda mbowe
Achana na huyo jamaaa.I dont understand mutherfvk donkey.
Whats wrong with you when I start a thread?
"Ni nini inakuwasha washa?"
Yaani.Wenzetu kinga yao nadhan dhaifu...sasa hawa kipindupindu ingekuwaje?
Haha nilikuwa sijui. Kumbe ningekapotezea tu
du kama viongozi wa dunia ya kwanza wanapatwa na ugonjwa huo na kila kitu kwao kipo . kweli mdudu corona hana mchezo kabisa na mtu yeyoteWaziri mkuu wa UK boris Johnson test positive
Yupo kajifungia "carenteen"Amsaidie kaomba wap msaada
Lakini hajaomba msaada km anavyosrma huyo mccmYupo kajifungia "carenteen"
Hii itafika CHAMWINO DODOMA soonWaziri mkuu wa UK boris Johnson test positive
Hii itafika CHAMWINO DODOMA soon
Mimi namuombea asipate corona sababu yupo karantini sasa.... Sasa sijui wewe ndio Mungu au Mbowe mwenywe au matatizo binafsiAmsaidie kaomba wap msaada
Mimi namuombea asipate corona sababu yupo karantini sasa.... Sasa sijui wewe ndio Mungu au Mbowe mwenywe au matatizo binafsi
Wewe inaonekana unatafuta watu....hayaLakini hajaomba msaada km anavyosrma huyo mccm
Sanga's SonI dont understand mutherfvk donkey.
Whats wrong with you when I start a thread?
"Ni nini inakuwasha washa?"
Kama huwez zuia hisia zako jukwaa za siasa pita hivi!/.naona unajihami sana...sitakureply tenaWewe inaonekana unatafuta watu....haya