kiumbempole
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 593
- 983
Anasema "
Over the last 24 hours I have developed mild symptoms and tested positive for coronavirus. I am now self-isolating, but I will continue to lead the government’s response via video-conference as we fight this virus."
#stay safe corona is real.
Huna kazi ya kufanya eh!Nimeumiza sana kichwa kukujua [emoji44][emoji44][emoji44][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
🤣🤣🤣tutaenda zetu chattle kuzikaKwenye mawe mawe yale
Watoto wa fb babeNani huyo anakuzingua?
Hivi hanijui nini
Najua ukiiona hii utanikumbuka "Dah! Nisave hata buku 10 mtu wangu"Huna kazi ya kufanya eh!
Mie mwenyew napumlia oxygen!Najua ukiiona hii utanikumbuka "Dah! Nisave hata buku 10 mtu wangu"
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
Anasema ulimuomba buku 10Mie mwenyew napumlia oxygen!
Wapotezee haoWatoto wa fb babe
Weka hiyo link, screenshot, audio, au video ambayo rais wa Russia alisema hivo. Nina hakika umeongea story za kahawa kutoka kijiweni kwako. Unadhani rais wa Urusi mbwatukaji kama yule mwingine.Hawa wazungu Acha wafe Tu hawana maana kabisa,hii ni zamu Yao kufa mbona huku Africa tunakufa Kwa malaria,ukimwi na kipindupindu lakini hatuleti taharuki?
Hawa jamaa wanajiona binadamu kuliko sisi.....
Raisi wa Russia alishawahi kusema Sisi waafrica tuna miili iliyojaa rutuba ya magonjwa.ndiyo maana tokea ugonjwa huu umeanza naona poa Tu Acha wafe Tu
🤣🤣🤣lini hyo??...lol...Anasema ulimuomba buku 10
Weka hiyo link, screenshot, audio, au video ambayo rais wa Russia alisema hivo. Nina hakika umeongea story za kahawa kutoka kijiweni kwako. Unadhani rais wa Urusi mbwatukaji kama yule mwingine.
Anaku provoke🤣🤣🤣lini hyo??...lol...
Putin hawezi kusema hivyo wanamsingizia.Weka hiyo link, screenshot, audio, au video ambayo rais wa Russia alisema hivo. Nina hakika umeongea story za kahawa kutoka kijiweni kwako. Unadhani rais wa Urusi mbwatukaji kama yule mwingine.
Afu mke wa Boris ana mimbaNa waziri wa Afya tayari
Sijui ni zile mbinu za waliojitenga huko ma celebs
Sent from my iPhone using Tapatalk
Wala sijali boss...serikali yenyewe inaomba nje sembuse mimi...! Nitoe basi na 50 boss nipate kula...!Anaku provoke
Njoo pm.Wala sijali boss...serikali yenyewe inaomba nje sembuse mimi...! Nitoe basi na 50 boss nipate kula...!
Apone kwa sababu yeye ni waziri mkuu?Atapona tu