Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apata maambukizi ya CoronaVirus

Na Waziri wa Afya wa nchi hiyo pia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeumiza sana kichwa kukujua [emoji44][emoji44][emoji44][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
Huna kazi ya kufanya eh!
 
Ulaji wa matunda na mboga zenye vitamin C, kuwa na JUA mwaka mzima ambapo tunapata vitamin D, pamoja na kutovuta sigara kwa wingi kutokana na hali zetu za kiuchumi, ndio inatulida Afrika.

(HAYA NI MAWAZO YANGU TU).
 
Weka hiyo link, screenshot, audio, au video ambayo rais wa Russia alisema hivo. Nina hakika umeongea story za kahawa kutoka kijiweni kwako. Unadhani rais wa Urusi mbwatukaji kama yule mwingine.
 
Na waziri wa Afya tayari
Sijui ni zile mbinu za waliojitenga huko ma celebs


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…