NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Mwenye nguvu zaidi ni Waziri mkuu, ndie kiongozi wa shughuli za Serikali, Executive power ipo kwa Waziri Mkuu, pia akiwa kama kiongozi wa chama chenye majority Bungeni hii ni nguvu ya ziada kuwa na legislative power
Mfalme yupo zaidi kama figure head lakini real power ipo kwa Waziri Mkuu.
Mfalme yupo zaidi kama figure head lakini real power ipo kwa Waziri Mkuu.