Waziri Mkuu wa Uingereza ndiye mwenye nguvu zaidi kuzidi Mfalme/Malkia

Waziri Mkuu wa Uingereza ndiye mwenye nguvu zaidi kuzidi Mfalme/Malkia

Akili za kukalili hizi, siku huzi unaweza hata kutafuta habari mitandaoni, we andika hapo kwenye simu yako, ni kiongozi gani mwenye madaraka na nguvu za kiuatawala uingereza? Narudia tena, nguvu ya utawala sio utendaji.

Hata hapa Tanzania waziri mkuu utamuona kwenye shughuli nyingi za utendaji, lakini sio mkuu wa nchi wala, mtawala mwenye nguvu.

Kwa kukusaidia tu, malkia au mfalme wa uingereza pia ni mkuu wa nchi ya Canada, Jamaica, Australia nk

Nguvu au utawala wa malkia auhojiwi popote, na yoyote. Hakuna kuchaguliwa au kuteuliwa na yoyote... ni urithi wa familia. Ndio maana tukiwaambia neno democracy ni ujinga wa kuitawala Africa msiwe mnabisha.
Malkia au mfalme wa uingereza ana nguvu za kutawala kwenye makaratasi tu ila ki uhalisia familia ya ki falme ya uingereza wanajua kabisa siku wakijaribu kutumia hayo madaraka yao ndo utakua mwisho wa ufalme wao. Waziri mkuu na bunge ndo kila kitu kwa uingereza.
 
Wenzetu hawana mambo ya kipumbavu, et uhamiaji wanataka origin ya babu yako ili iweje. Ulaya na Marekani hakuna mtu hapendi kuishi kule. Serikali inajali, Lloyd Austin secretary wa ulinzi wa Marekani ni pure black. Sasa njoo hapa Afrika utasikia Babu zake wawe Raia wa kuzaliwa.
Nadhim amezaliwa Iraq nae yumo kachaguliwa tena kuwa Waziri bila wizara
Waafrika tuna roho mbaya sana
Ndio maana hatupendani halafu umasikini wa kutupa
 
Licha ya yote hayo lakini mwislamu hawezi kuwa waziri mkuu Uingereza mpaka mwisho wa dahari.
Hahaha [emoji38] [emoji23]
Huwa mnasema lazima awe Mkiristo kuwa PM
Sasa kapewa Hindu na kwa taarifa tu kuna Wabunge 19 waislam na wapo wengi wasomi katika system
Na kuwa PM sio hoja ya dini tena ni kichwa
Hata akiwa Muislam kuna wengine watasema kwanza he doesn't practice Islam yaani hasali
Hao ni baadhi
Screenshot_20221025-190843_Chrome.jpg
 
Mwislamu hawezi kuwa Waziri mkuu wa Uingereza, hata mkristo mkatoliki ni Tony Blair tu ndio alifanikiwa, vipo vya kubisha lakini siyo hili.

Dini rasmi ya UK ni Anglican.
Nani alijua Mjukuu wa Malkia ataoa msichana mweusi
Mambo yanaenda kasi sana mkuu hata sisi tumebadilika mtoto anaamua anachotaka
 
Ndio maana tukiwaambia neno democracy ni ujinga wa kuitawala Africa msiwe mnabisha.


Nakazia MKUU
Nikishamsikia MTU anajenga hoja zake za kulinda Demokrasia basi NAMTOA AKILI kabisa. Hafai hata kujadiliana na watoto wake juu ya Ustawi wa Taifa.
 
Wewe akili unazo,unapata wapi mamlaka ya kumtoa mtu akili?
Kama unafikiri hakuna hayo mamlaka wewe umewezaje kuhoji juu ya kama Nina akili ama laa?
Lakini pia unapaswa kutafakari maana ya kauli ya KUMTOA MTU AKILI.

Kama nawe u miongoni mwao basi umekidhi vigezo.
 
Nikishamsikia MTU anajenga hoja zake za kulinda Demokrasia basi NAMTOA AKILI kabisa. Hafai hata kujadiliana na watoto wake juu ya Ustawi wa Taifa.
Demokrasia ni.muhimu sema ukichaa wenu wa kuamin demokrasia ya kupewa mkonon., hakuna sehem mamb yataenda kwa kusikiliza na kufuata bila kujadiliana mkakubaliana
 
Habari za Form one hizo . Ana nguvu ya kiutendaji japo kuna kuomba baraka za mfalme . Westminster system
Kwani bila kusema ni habari za form one, maoni yasingependeza? Lazima ukashifu kwanza?
 
Akili za kukalili hizi, siku huzi unaweza hata kutafuta habari mitandaoni, we andika hapo kwenye simu yako, ni kiongozi gani mwenye madaraka na nguvu za kiuatawala uingereza? Narudia tena, nguvu ya utawala sio utendaji.

Hata hapa Tanzania waziri mkuu utamuona kwenye shughuli nyingi za utendaji, lakini sio mkuu wa nchi wala, mtawala mwenye nguvu.

Kwa kukusaidia tu, malkia au mfalme wa uingereza pia ni mkuu wa nchi ya Canada, Jamaica, Australia nk

Nguvu au utawala wa malkia auhojiwi popote, na yoyote. Hakuna kuchaguliwa au kuteuliwa na yoyote... ni urithi wa familia. Ndio maana tukiwaambia neno democracy ni ujinga wa kuitawala Africa msiwe mnabisha.
Hongera mkuu naamni amekuelewa
 
Kama unafikiri hakuna hayo mamlaka wewe umewezaje kuhoji juu ya kama Nina akili ama laa?
Lakini pia unapaswa kutafakari maana ya kauli ya KUMTOA MTU AKILI.

Kama nawe u miongoni mwao basi umekidhi vigezo.
Ulisomea ujinga chukua kombe Super cup ni lako
 
Malkia au mfalme wa uingereza ana nguvu za kutawala kwenye makaratasi tu ila ki uhalisia familia ya ki falme ya uingereza wanajua kabisa siku wakijaribu kutumia hayo madaraka yao ndo utakua mwisho wa ufalme wao. Waziri mkuu na bunge ndo kila kitu kwa uingereza.
Hahah eti siku wakijaribu... yaani wapo madarakani toka miaka ya 1600s alafu unasema wakijaribu.
Familia za kifalme pale ulaya zote ni ndugu, soma na fuatilia... wao ndio kila kitu.

Huyo waziri mkuu anapigwa chini mda na saa yoyote, aliyepita hana hata miez 2... sasa niambie nani anaweza kuhoji mamlaka ya ufalme, achilia mbali kuwatoa.
 
Enzi ya Ufalme au Umalkia umepitwa na wakati, sijui ni kwa nini taifa kubwa kama Wingereza bado wanaendeleza. Waziri mkuu ndiye kiongozi wa serikali, mfalme ni kubariki tu.
 
Mleta uzi, ufafanuzi wako una makosa matupu!

Anayekalia kiti cha ufalme wa Uingereza ndiye mkuu wa nchi yote ya Uingereza pamoja na nchi zingine 14 katika Jumuiya ya Madola. Ukuu wake ni kama alama ya utaifa (national identity) katika nchi husika na kazi zake nyingi ni "ceremonial". Hazihusiani na mamlaka makubwa ya kiutawala ama kiserikali.

Waziri mkuu wa Uingereza ni mkuu wa serikali ya Uingereza pekee. Maamuzi yote yanayohusu utawala wa kiserikali (government) yako chini yake.

Jibu sahihi ni kuwa; malkia ama mfalme hivi sasa ni "head of state", wakati PM ni "head of government". Kila mmoja ana nguvu katika mipaka yake ya kazi, ingawa mipaka ya mfalme au malkia ni mipana zaidi.
 
Hahah eti siku wakijaribu... yaani wapo madarakani toka miaka ya 1600s alafu unasema wakijaribu.
Familia za kifalme pale ulaya zote ni ndugu, soma na fuatilia... wao ndio kila kitu.

Huyo waziri mkuu anapigwa chini mda na saa yoyote, aliyepita hana hata miez 2... sasa niambie nani anaweza kuhoji mamlaka ya ufalme, achilia mbali kuwatoa.
Inaonekana wewe ndiye ambaye husomi na hufuatilii mambo vizuri.

Pitia historia kuhusu aliyekuwa Mfalme Charles wa Kwanza miaka ya 1600. Fuatilia, bunge lilimfanya kitu gani pale alipokiuka mipaka yake ya madaraka.

Tangu siko hiyo, hakuna mfalme au malkia wa Uingereza aliyekiuka katiba au maamuzi ya bunge la Uingereza.
 
Wewe acha akili zako za kukariri,ile familia ya Bibi Ni noma sana
 
Back
Top Bottom