Licha ya yote hayo lakini mwislamu hawezi kuwa waziri mkuu Uingereza mpaka mwisho wa dahari.
Si kweli!Nguvu au utawala wa malkia auhojiwi popote, na yoyote. Hakuna kuchaguliwa au kuteuliwa na yoyote... ni urithi wa familia.
Mwislamu hawezi kuwa Waziri mkuu wa Uingereza, hata mkristo mkatoliki ni Tony Blair tu ndio alifanikiwa, vipo vya kubisha lakini siyo hili.
Dini rasmi ya UK ni Anglican.
Wapo madarakani kwasababu bunge limewaruhusu kuwepo. Mara ya mwisho mfalme kujihusisha na jambo lolote la kisiasa ni zaidi ya miaka 300 iliopita huko. Sio kila kitu lazima ubishe unaweza ku google tu nini kilimkuta mfalme wa wa mwisho aliejaribu kupingana na bunge la uingereza utaelewa kwanini hawa jamaa hawataki kutumia hayo madaraka yao. Hii familia almost kila kitu wanapangiwa na bunge.Hahah eti siku wakijaribu... yaani wapo madarakani toka miaka ya 1600s alafu unasema wakijaribu.
Familia za kifalme pale ulaya zote ni ndugu, soma na fuatilia... wao ndio kila kitu.
Huyo waziri mkuu anapigwa chini mda na saa yoyote, aliyepita hana hata miez 2... sasa niambie nani anaweza kuhoji mamlaka ya ufalme, achilia mbali kuwatoa.
Subhanallah!🙄Licha ya yote hayo lakini mwislamu hawezi kuwa waziri mkuu Uingereza mpaka mwisho wa dahari.