Waziri Mkuu wa UK adumisha tamaduni kabla ya kuingia ofisini

Waziri Mkuu wa UK adumisha tamaduni kabla ya kuingia ofisini

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Katika kudumisha tamaduni na asili yake, bila kujali umaarufu wa jina la taifa analoongoza au umaarufu wake mwenyewe binafsi, Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Rishi Sunak alifanya tukio hili la kitamaduni kabla ya kuingia katika ofisi yake mpya.

The new UK PM performing his spiritual/traditional rituals before entering his new office. We African have largely abandoned ours.

Source: This Is Africa
https://twitter.com/ThisIsAfricaTIA
 
Katika kudumisha tamaduni na asili yake, bila kujali umaarufu wa jina la taifa analoongoza au umaarufu wake mwenyewe binafsi, Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Rishi Sunak alifanya tukio hili la kitamaduni kabla ya kuingia katika ofisi yake mpya.
The new UK PM performing his spiritual/traditional rituals before entering his new office. We African have largely abandoned ours.

Source: This Is Africa
https://twitter.com/ThisIsAfricaTIA
jamaa anatambika mchana kweupe peee...anajipigilia misumari, wapende wasipende wazungu watampenda tu, kujiuzulu wasahau, hatajiuzulu
 
Katika kudumisha tamaduni na asili yake, bila kujali umaarufu wa jina la taifa analoongoza au umaarufu wake mwenyewe binafsi, Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Rishi Sunak alifanya tukio hili la kitamaduni kabla ya kuingia katika ofisi yake mpya.
The new UK PM performing his spiritual/traditional rituals before entering his new office. We African have largely abandoned ours.

Source: This Is Africa
https://twitter.com/ThisIsAfricaTIA
Uchawi mchana kweupeeeee
 
Ofisi ya waziri mkuu wa uingereza ukuta wake umebanduka rangi?
 
Back
Top Bottom