JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Katika kudumisha tamaduni na asili yake, bila kujali umaarufu wa jina la taifa analoongoza au umaarufu wake mwenyewe binafsi, Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Rishi Sunak alifanya tukio hili la kitamaduni kabla ya kuingia katika ofisi yake mpya.
The new UK PM performing his spiritual/traditional rituals before entering his new office. We African have largely abandoned ours.
Source: This Is Africa
https://twitter.com/ThisIsAfricaTIA
Source: This Is Africa
https://twitter.com/ThisIsAfricaTIA