Waziri Mkuu wa UK adumisha tamaduni kabla ya kuingia ofisini

Waziri Mkuu wa UK adumisha tamaduni kabla ya kuingia ofisini

Tatizo kwa sisi waafrika hatueleweki, hatuaminiki. Maslahi mbele. Anaweza mtu kufanya rituals kumbe ananunia wote muwe mabwege mbele yake awapeleke puta. Ni kama CCM na mwenge wao, lengo kufanya watanganyika makondoo.
 
alafu wanapenda zile za kufilana ili wawaharibu watoto
 
Baadhi sasa wewe ukiweka wa kisukuma mimi niweke wa kiluguru mwingine wa kimakonde itakua nini hio?
Itakuwa fresh, mbona zipo nyuzi za maudhui kibao tu hulalamiki?
Huyu anaongelea michepuko, yule anaongelea kula tunda kimasihara, yule anaongelea kusalitiwa, yule anaomba mbinu za kutongoza, mwingine anataka dawa ya nywele, mwingine anamsifia samia, mwingine anampondea samia.

Kwahyo kwenye mamilioni ya nyuzi zinazoanzishwa kila siku jF, zikiongezeka nyuzi chache za lugha zetu za asili nini kitabadilika?
 
India ni moja ya taifa endelevu sana duniani,licha ya ushirikina wao.kalaghabhaho na ubhozi wako.muafria akisoma huwa shda sana.ALISIKIKA MEMBER MMOJA WA JF
 
Ni Ushirikina Mtupu hilo limoto!!!

Ndio maana CCM hawako tayari kuachia madaraka, maana wao ndio wamerithishwa hilo tambiko la nchi hii. Bila machafuko CCM hawatatoka madarakani kwani wanajua chama kingine kikichukua nchi kitaachana na hilo tambiko, na kwa mujibu wa imani zao chafu wanaamini nchi itapata mikosi bila huo mwenge. Inshort nchi iko kwenye maagano machafu sana ya mazimu, na huo mwenye ndio ishara yao.
 
Africa tumedanganywa na kuacha kila kitu walichodumisha mababu na kuaminishwa ni uchawi na kurithi tamaduni za kigeni, hatimae tumekuwa wa mwisho kwenye kila tu tunasindikiza wenzetu.
 
Dini waga zina misingi ya wale waasisi wake kwa hiyo anachofanya huyo bwana hakina cha kushangaza.
 
Back
Top Bottom