Tusiwafanye watumishi kuwa mazuzu na vyama vya wafanyakazi wasiburuzwe kizembe!
Binafsi mkewangu aliye mwalimu kaongezwa 3.7% ya mshahara wake sasa waeleze ukweli sio blah blah za kisiasa kutafuta masifa yasiyo stahili. Nchi za wenzetu walitangaziwa percentage ya nyongeza na ikatimizwa bila makelele sisi wanasiasa wanawazuga watumishi nakuleta janjajanja na maneno meeengi kisa nini!!! Kwanini nchi hii inaujinga mwiiingi? WHY?
Serikali iwe open na ifanye kazi kisomi na kistaarabu bila hila.
Swali, mishahara imeongezwa kwa asilimia ngapi?
Kama viongozi serikalini nao hawajui waseme waache kudanganya wafanyakazi kama watoto!!
Kama kipindi marehemu anaumwa mtu huyu alijitokeza na kudanganya wananchi kuwa haumwi yuko kazini mpaka kifo kilipowaumbua atashindwa nini kudanganya wafanyakazi kuhusu mishahara??? Sijawahi kumuamini huyu katelephone!! Aende akadanganye watoto wake, wafanyakazi ni wasomi na welewa kuliko yeye...SHAME!! asifanye tumwite MR. BIG LIER