Waziri Mkuu: Wanaolalama kupata ongezeko la 20,000 ni wale wenye mishahara mikubwa

Waziri Mkuu: Wanaolalama kupata ongezeko la 20,000 ni wale wenye mishahara mikubwa

Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa amesema wengi wanaolalamika kupata ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa. Ametolea mfano wa mawaziri kuwa wako baadhi ambao ongezeko lao ni 0.02%

Amewaomba watumishi kuwaamini viongozi wa vyama vya wafanyakazi. Amesema wengi waliopata ongezeko kubwa ni wale watumishi waliokuwa wanapata mishahara midogo.

Pia amesema wananchi wanapaswa kushukuru kwa ongezeko hilo ambalo miaka kadhaa iliyopita haikuwepo
Tangu kifo Cha Hayati Dr.John Pombe Magufuli huyu baba huwa simsikilizi alisema Mhe Rais yupo anachapa kazi.
 
We taahira kweli , unadhani TGS D ni kiasi gani? Hao ndio watumishi wengi wenye degree wako hapo.
Unapenda kutukanwa,nimekuwa taahira tena?Niliuliza ni wapi kima cha chini Tsh 710,000/= inalipwa?Hayo ma TGS D na degree sifahamu umeyatoa wapi?
Kwani kima cha chini kwa wasio na degre ni bei gani hapa Tanganyika?
 
Tusiwafanye watumishi kuwa mazuzu na vyama vya wafanyakazi wasiburuzwe kizembe!

Binafsi mkewangu aliye mwalimu kaongezwa 3.7% ya mshahara wake sasa waeleze ukweli sio blah blah za kisiasa kutafuta masifa yasiyo stahili. Nchi za wenzetu walitangaziwa percentage ya nyongeza na ikatimizwa bila makelele sisi wanasiasa wanawazuga watumishi nakuleta janjajanja na maneno meeengi kisa nini!!! Kwanini nchi hii inaujinga mwiiingi? WHY?

Serikali iwe open na ifanye kazi kisomi na kistaarabu bila hila.
Swali, mishahara imeongezwa kwa asilimia ngapi?

Kama viongozi serikalini nao hawajui waseme waache kudanganya wafanyakazi kama watoto!!
Kama kipindi marehemu anaumwa mtu huyu alijitokeza na kudanganya wananchi kuwa haumwi yuko kazini mpaka kifo kilipowaumbua atashindwa nini kudanganya wafanyakazi kuhusu mishahara??? Sijawahi kumuamini huyu katelephone!! Aende akadanganye watoto wake, wafanyakazi ni wasomi na welewa kuliko yeye...SHAME!! asifanye tumwite MR. BIG LIER
"Wanataka Rais atoke aende magomeni au kariakoo". Wahenga walisema hata ukmya ni busara.
 
Hapo umeelewa vyema mama anataka kuwainua wenye mishahara midogo na sio wenye mishahara ya mil5
Yaani 78% ya wafanyakazi wa Tanganyika ni kima cha chini?
Ina maana 78%ya wafanyakazi wetu ni darasa a VII C na wameajiriwa kwa sifa za certificate na siyo degree!Je,hiyo siyo sababu tosha kwa serikali dhalimu kuachia madaraka?Hivi kwa jinsi hiyo kuna sababu ya kumtafuta mchawi wa maendeleo ya nchi yetu?
Tumeajiri wafanyakazi wa elimu za chini wengi kwa sababu ya ukosefu wa fedha za kuwalipa wasomi?
Wasomi wasipoweka lamination vyeti vitachakaa pamoja na bahasha za kubebea kutafuta ajira na msipate.Rejea kauli ya Dr Kishimba!
 
Kama una mshahara wa 700K maana yake, Nyongeza yako siyo pungufu ya Tsh 42,000 ( take home ) kwa mwezi ambayo Ni sawa na Tsh Laki 5+ kwa mwaka.
"Kukaa kimya ni bora kuliko kuongea usichokijua", tafakari usinijibu
 
Endelea kuota ndoto za alinacha kama hutakuja kukimbia wewe na mke aako na watoto wako!

Kwa hivyo ndivyo watawala wanavyo wachukulia waTanzania kuwa hawawezi kuamua maamuzi mazito.

Hii ni kutokana na historia ya kipekee ndefu ya raia waTanzania iliyo tofauti na nchi zingine duniani ambazo raia wake waliweza kujitokeza kupaza sauti kudai haki na maslahi bora ya maisha..

How One Powerful Family Destroyed A Country


Source : ColdFusion
 
Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa amesema wengi wanaolalamika kupata ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa. Ametolea mfano wa mawaziri kuwa wako baadhi ambao ongezeko lao ni 0.02%

Amewaomba watumishi kuwaamini viongozi wa vyama vya wafanyakazi. Amesema wengi waliopata ongezeko kubwa ni wale watumishi waliokuwa wanapata mishahara midogo.

Pia amesema wananchi wanapaswa kushukuru kwa ongezeko hilo ambalo miaka kadhaa iliyopita haikuwepo
Haujui maisha tunayoishi huku mtaani kuanzia kula, nauli ya kila siku, Tozo, umeme, maji ya kuinunua yaani haya ni kidogo.
Hao mawaziri na wengine wengi mnao usafiri na malipo ya vikao, petrol! Lini mlikula Lunch Kwa mantilie??
 
majaliwa siku zote ni mjanja mjanja tu.alafu hauwezi kumdhania
 

Attachments

  • IMG_20220725_163649.jpg
    IMG_20220725_163649.jpg
    56 KB · Views: 6
Nikienda kuchukua mshahara wangu zote zinakatwa kwenye tozo la serilaki na ka

Hapo nimeuchukua wote kwa mkupuo kama nitachukua kwa kidogo kidogo basi makato yataenda hadi 50k
 
Yaani 78% ya wafanyakazi wa Tanganyika ni kima cha chini?
Ina maana 78%ya wafanyakazi wetu ni darasa a VII C na wameajiriwa kwa sifa za certificate na siyo degree!Je,hiyo siyo sababu tosha kwa serikali dhalimu kuachia madaraka?Hivi kwa jinsi hiyo kuna sababu ya kumtafuta mchawi wa maendeleo ya nchi yetu?
Tumeajiri wafanyakazi wa elimu za chini wengi kwa sababu ya ukosefu wa fedha za kuwalipa wasomi?
Wasomi wasipoweka lamination vyeti vitachakaa pamoja na bahasha za kubebea kutafuta ajira na msipate.Rejea kauli ya Dr Kishimba!
78% yqvwatumishi ni darasa la saba? Sijui hizi takwimu mnatoa wapi.
Maybe zamani but now mambo yako tofauti kidogo
 
Unapenda kutukanwa,nimekuwa taahira tena?Niliuliza ni wapi kima cha chini Tsh 710,000/= inalipwa?Hayo ma TGS D na degree sifahamu umeyatoa wapi?
Kwani kima cha chini kwa wasio na degre ni bei gani hapa Tanganyika?
Baki hivyo hivyo
 
limeisha hilo.
ufafanuzi umeeleweka vizuri sana, anayetaka achape kazi asiye taka akalime.
kazi iendeleee.
Mama ashukuriwe kwa jitihada alizo zifanya kama Waziri Mkuu alivyo fafanua;

1. Mama amelipa Madeni/malimbikizo ya mishahara yote ya zamani ambayo watumishi walikuwa wakidai miaka nenda miaka rudi.

2. Amewapandisha Madaraja watumishi wengi amabao miaka mingi hawajawahi kupanda, sambamba na ongezeko la mishahara yao.

3. Amepunguza Payee/Kodi kwenye mishahara.

4. Mikopo ya elimu ya juu.

5. Bima za afya kwa wategemezi umri umeongezwa.

6. Riba za mikopo kwenye mabenki zimepunguzwa kwa maelekezo ya Serikali.

n.k
Yote hayo yamefanywa kwa pamoja ili kumpunguzia ugumu ktk maisha ya kila siku.

hayo yote ameyafanya Mhe. Rais Samia ndani ya kipindi chake cha mwaka 1 tu, je ndani ya miaka 10 itakuwaje! hakika mtafika mbali sana, jambo la msingi ni kuwa wavumilivu na subira, maana hata Roma haikujengwa siku moja, waswahili wanasema ;
Polepole ndio mwendo.
 
Sawa mawaziri wapo walioongezewa 0.02% kwenye mshahara, ila kaongezewa per dem kutoka 120,000 mpaka 250,000, na mtu wa mshahara wa chini kapanda 23% na hao wapewao laki tisa au milioni wasio na per dem ndo waongeewe 20,000??
 
Yaani 78% ya wafanyakazi wa Tanganyika ni kima cha chini?
Ina maana 78%ya wafanyakazi wetu ni darasa a VII C na wameajiriwa kwa sifa za certificate na siyo degree!Je,hiyo siyo sababu tosha kwa serikali dhalimu kuachia madaraka?Hivi kwa jinsi hiyo kuna sababu ya kumtafuta mchawi wa maendeleo ya nchi yetu?
Tumeajiri wafanyakazi wa elimu za chini wengi kwa sababu ya ukosefu wa fedha za kuwalipa wasomi?
Wasomi wasipoweka lamination vyeti vitachakaa pamoja na bahasha za kubebea kutafuta ajira na msipate.Rejea kauli ya Dr Kishimba!
Mkuu na wewe unaamini hiyo takwimu, hapo ni propaganda tu imepigwa........yaani 78% ya watumishi wa umma wana elimu ya kiwango cha chini kabisa. Tukitumia logic kidogo tu, kima cha chini wanaweza wasifike hata 5% ya watumishi wote.
 
Hivi hawa wanasiasa wanasaligi Kwa jina la Mungu huyuhuyu?
 
Mimi huwa nashindwa kuelewa mtu ana ulinzi anakula vizuri ila wanachoongea kama vile anakosa baadhi ya mahitaji yanayoweza kumfanya akakosa ufikiri mzuri milioni moja mtu anakatwa makato yote ndio aite Mshahara Mkubwa...Tanzania imejaa wabinafsi sana kwa kweli.
 
Nyongeza ya 23 % ililenga kima cha chini tu, hili ndilo halikueleweka na wengi.
Siyo kwamba watu hawakuelewa labda wale ambao wameajiriwa miaka michache iliyopita au ambao hawafanyi kazi serikalini. Miaka yote asilimia inayotangazwa huwa inahawahusu kima cha chini na huwa inapungua kadri mshahara unavyokuwa mkubwa. Mfano mara nyingi kima cha chini wakiongezewa 20% wengine utakuta 18%, 15%, 10% hadi wale wenye mishahara mikubwa unaweza kukuta wameongezewa 5%. Sasa huyu kafanya uhuni 23.3%, 16% hadi 0.2% si heri wangeacha tu!!! Tena hao anaodai ni 78% ni uongo usio na kifuniko. Wafanyakazi wengi wako vima vya kati wasiopata hata 1M nao wamepewa 1.2%.
 
Back
Top Bottom