Waziri Mohamed Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI, aenda kuhiji Makkah

Waziri Mohamed Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI, aenda kuhiji Makkah

Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.

Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani

=====

📍Makkah

🕌🕋🤲🏾

Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,

Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.

Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Hakuna kosa au dhambi isiyosameheka mbele ya Mungu.
 
Hakuna kosa au dhambi isiyosameheka mbele ya Mungu.
Ukienda kuomba msamaha siyo kujipost na mapicha sehemu watu wanazoamini ni takatifu kwao, na post ndefu ya uchawa kwa mkwe aliyekupa mamlaka ya kuiba uchaguzi.
Acheni utani na huyo Mungu hataki machawa, mnapeleka uchawa hadi kwa Mungu
 
Ukienda kuomba msamaha siyo kujipost na mapicha sehemu watu wanazoamini ni takatifu kwao, na post ndefu ya uchawa kwa mkwe aliyekupa mamlaka ya kuiba uchaguzi.
Acheni utani na huyo Mungu hataki machawa, mnapeleka uchawa hadi kwa Mungu
Kama wewe ni mcha Mungu,niambie ni katika kitabu gani cha dini palipoandikwa kuwa kama dhambi imetendwa kwa makusudi haitasameheka ukitubu kwa dhati.
 
...kila mtu atalipwa kulingana na nia yake...

Kama ni show-off basi atalipwa nayo....hakika Allah hana hamnyimi mja wake,ata jambazi anapewa
 
Anatekeleza napi aliosema ukishafanya haramu na nusu haramu unaenda kutubu, wabongo wasahaulifu sana yani
 
Kama wewe ni mcha Mungu,niambie ni katika kitabu gani cha dini palipoandikwa kuwa kama dhambi imetendwa kwa makusudi haitasameheka ukitubu kwa dhati.
Nani aliyetubu kwa dhati sasa?
 
Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.

Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani

=====

📍Makkah

🕌🕋🤲🏾

Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,

Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.

Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
NETANYAHU kabla hujastafu hakikisha unalipua Huu mji hii ni dhihaka na ww upo usikubali hili suala Fanya Yako ISRAEL lipua lipua
 
Back
Top Bottom