Waziri Mohamed Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI, aenda kuhiji Makkah

Waziri Mohamed Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI, aenda kuhiji Makkah

Umra ni ibada ya Kiislamu inayojumuisha ziara takatifu katika mji wa Makka, ikihusisha matendo kama vile kufanya Tawafu (kuzunguka Al-Kaaba mara saba) na Sa'ee (kukimbia baina ya Safa na Marwa), ambayo inaweza kufanywa wakati wowote wa mwaka na si ya lazima kama Hijja.
We unaishia kuzuru uyole na tukuyu, afu baadae unaenda kunajis vitoto
 
Vitu kama hivi vimepelekea watu kuanza kuamka na kuona mambo ya Mungu ni simulizi tu
Wanasababisha tukufuru hebu fikiria walivyomteka na kumuua Ali Kibao halafu mama mkwe wa Mchengerwa anasema kifo cha kawaida. Kesho wanaenda hija, kweli God thing is a joke
 
Mwizi wa kura na fisadi mkubwa kaenda huko anakoamini ndiko makao makuu ya Mungu wake, kumuombea mama mkwe wake aliyemtumia atekeleze uhalifu huo
Ili azidi kupendwa na mkwe anaweza akapewa uwaziri mkuu
 
Yaani mtu asimamie hovyo - uchaguzi - kasimamia wizi wa kura..halafu anaenda kumdhikaki Mungu..nyie kuna watu Mungu atawanyoosha sio mchezo..
Cha pili binadamu ni mtumwa kwa mtu anayempa ugali - imagine anasema amemuombea Rais Samia - [ hatukatai] - but why haanzi kusema nimewaombea Baba, Mama yangu,mke,watoto wangu- familia yangu.[family first- ndo watu wetu wa karibu kupita kawaida]....duuh...kuna mambo utumwa kabisa...Kama vipi angekausha tuasiseme kaomba nini- watu tunatofautiana sana
CCM imetengeneza wajinga na mfumo wa uchawa kiasi wote wamekuwa wajinga, Mwigulu alipata ajali wakati wa Magufuli alipotoka hospitali aluanza kumshukuru Magufuli kabla ya Muumba wake. Angalia chawa wa mama anaupiga mwingi walivyojaa.

Wenye akili wanakuwa wajinga kuna member wa JF baada ya uchaguzi farce alikimbilia kuandika makala ndefu kupongeza CCM humu jukwaani, ujinga na CCM vina undugu
 
Matendo ya kiongozi a public figure yasiwe habari kwenye jamii anayoiongoza, are you serious?
Duuh kwanini iwe habari? Kaenda kama Kiongozi? Au kaenda kama wengine wanavyoonekana hapo kwenye picha?.


Nadhan ingekua habari, Vyombo vya habari vikuu hapa nchini vingempa angalau dakika Moja tu.


Hilo ni suala Binafsi la Imani yake , angeamua kutokwenda pia bado Watanzania wasingemsema.
 
Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.

Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani

=====

📍Makkah

🕌🕋🤲🏾

Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,

Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.

Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Dini imekuwa uhuni mkubwa, hizi dini ni ujambazi mtupu.
 
Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.

Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani

=====

📍Makkah

🕌🕋🤲🏾

Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,

Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.

Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Saudi Arabia wanajuwa namna ya kucheza na akili za watu. hapa hamna lolote zaidi ya utalii tu. Atarudi Tanzania huyu na ataendeleza uchawi kama kawaida, si mwaka wa uchaguzi huu?
 
Hija ya maonesho!!

KWa ule usnenzi aliojfanya kwenye uchaguzi, bado anaona ana uwezo wa kuendelea kuwahadaa watu!!
 
Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.

Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani

=====

📍Makkah

🕌🕋🤲🏾

Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,

Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.

Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Hamna lolote hapo, msubiri arudi nchini...uchawi pale pale tu.
 
Ukimchunguza kwa makini huyu jamaa tofauti yake yeye na Nape ni ndogo sana
 
Keleleee nyingi lkn tunawajua unafiki UYesu ndio unawasumbua chuki imewajaa mngesikia kaenda kuhiji ISRAEL mngemsifia mlivo weupe vichwani!!! Uchaguzi kafanyaje mmekosa tuhuma za kumshutum mmedakia Uchaguzi toka tunavyama vingi nchi hii Wapinzani awajawai kuweka wagombea kwa 100% niCCM tu ndio inaweka 100% wapinzani Siasa zao za kubet wanatafuta seem kidogo kuna ishala ya Upinzani ndio wanaweka mtu wao huu mwaka tu Wapinzani wote wameweka wagombea 35% tu manake CCM ilishashinda kwa 65% na uchaguzi bado kufanyika ulipofanyika kugombea iyo 35% CCM ikashinda 33% upinzani 2% sasa kiakili ya kawaida mh Mchengerwa anausikaje apo wapinzani wenyewe awajaweka wagombea nchi nzima lkn wanakuja kupotosha nyumbu wao mitandaoni kuwa uchaguz umechafuliwa lkn tungeshinda!!!!!!!!!! Sasa unashindaje na ukugombea kwa 100% Nyumbu poleni sana mmebabe mzigo mzito vichwani!!
 
Back
Top Bottom