Waziri Mohamed Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI, aenda kuhiji Makkah

Waziri Mohamed Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI, aenda kuhiji Makkah

Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.

Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani

=====

📍Makkah

🕌🕋🤲🏾

Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,

Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.

Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Mwizi wa kura na fisadi mkubwa kaenda huko anakoamini ndiko makao makuu ya Mungu wake, kumuombea mama mkwe wake aliyemtumia atekeleze uhalifu huo
 
Yaani mtu asimamie hovyo - uchaguzi - kasimamia wizi wa kura..halafu anaenda kumdhikaki Mungu..nyie kuna watu Mungu atawanyoosha sio mchezo..
Cha pili binadamu ni mtumwa kwa mtu anayempa ugali - imagine anasema amemuombea Rais Samia - [ hatukatai] - but why haanzi kusema nimewaombea Baba, Mama yangu,mke,watoto wangu- familia yangu.[family first- ndo watu wetu wa karibu kupita kawaida]....duuh...kuna mambo utumwa kabisa...Kama vipi angekausha tuasiseme kaomba nini- watu tunatofautiana sana
 
Kuna haja ya kupiga picha na kutuonyesha unafiki wako? Unaomba msamaha kwa Muumba wako aliye sirini au kwa watu watakaoiona hiyo picha?

Unapoomba msamaha kwa Muumba wako ina maana unajutia madhambi yako ns unaacha. Akirudi ataacha kazi na kutubu kuiba kura na kuengua wapinzani na kuacha hiyo kazi?
Tusubiri tuone atakaporudi. Ni amejipiga au amepigwa na mapaparazi!?.
 
Huyu jamaa ana dini au ni abrakadabra tu? Tujuavyo hapo ni sehemu ya utalii tu wala hakuna utukufu wa Mungu
 
Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.

Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani

=====

📍Makkah

🕌🕋🤲🏾

Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,

Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.

Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Huyo angefia huko huko mshenzi mkubwa huyo
ukisoma comments za wachangiaji hapa unaona wazi kwamba ipo chuki kubwa sana kati ya Watawala na wananchi. chuki ni kubwa,
 
ukisoma comments za wachangiaji hapa unaona wazi kwamba ipo chuki kubwa sana kati ya Watawala na wananchi. chuki ni kubwa,
Na watawala ndiyo wanaitengeneza chuki hii kwa kutotenda haki.
 
Hahahah mkuu ni siasa tu au kuna mambo binafsi mmekosana.
Ule ushenzi aliofanya November 2024 otherwise sina chuki naye binafsi kwanza simfahamu zaidi ya kumuona kwenye vyombo vya habari. Lolote baya limkute. Ushenzi aliosimamia umesababisha watu kuuliwa na wengine kupotezwa.
 
Utapeli mtupu.

Huyo mungu mnayemuomba ndio huyo anawafundisha kuua watu na kuiba kura?
 
Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.

Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani

=====

📍Makkah

🕌🕋🤲🏾

Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,

Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.

Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Mambo aliyofanya uchaguzi wa serekali za mitaa bado ana ujasiri wa kwenda Mecca !.

Kuanzia leo nachukulia kwenda Mecca sawa na kwenda Serengeti.
 
atakuwa akiitwa Alhaj Mchengerwa, sounds very good,
 
Ule ushenzi aliofanya November 2024 otherwise sina chuki naye binafsi kwanza simfahamu zaidi ya kumuona kwenye vyombo vya habari. Lolote baya limkute. Ushenzi aliosimamia umesababisha watu kuuliwa na wengine kupotezwa.
Mhhh haya mkuu.
 
Back
Top Bottom