Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Anamshukuru Mungu kwa wizi mkubwa wa kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na Anajiandaa na wizi mkubwa wa kura kwenye uchaguzi mkuu ujao. 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mwenyezi Mungu ana huruma kwa wizi ule wa kura na kuuwa wagombea hii ni KUFRU.Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.
Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani
=====
📍Makkah
🕌🕋🤲🏾
Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,
Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.
Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Ndio tafsiri yake KUFRU kabisa hiiAnamshukuru Mungu kwa wizi mkubwa wa kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na Anajiandaa na wizi mkubwa wa kura kwenye uchaguzi mkuu ujao. 🤣
Amejipiga huyu huoni slivyopozi kwa pichaTusubiri tuone atakaporudi. Ni amejipiga au amepigwa na mapaparazi!?.
Lakini wao wanawatumua chawa kuwapamba kuwa wanaupiga mwingi na wanapendwaukisoma comments za wachangiaji hapa unaona wazi kwamba ipo chuki kubwa sana kati ya Watawala na wananchi. chuki ni kubwa,
Siyo utani mkuu wamepanajisi ule utukufu wake, zamani hata siye tunaoitwa wakorintho ukisikia katoka Makka unakuwa na heshima naeMambo aliyofanya uchaguzi wa serekali za mitaa bado ana ujasiri wa kwenda Mecca !.
Kuanzia leo nachukulia kwenda Mecca sawa na kwenda Serengeti.
Omba Mwijaku asikujueWakristo Toba ni faragha siyo na makamera kama mwijaku 😄😄
Kutukosea utukosee sisi msamaha ukamuombe Muumba, hii dhihakaAje awaombe wa tz msamaha hadharani, hicho anachokifanya ni propaganda TU
Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.
Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani
=====
📍Makkah
🕌🕋🤲🏾
Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,
Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.
Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Mkwe wa mama lazima afaidi kila kinachoweza kufaidiwa. Usicheze na kuoa mtoto wa mtukufu mama.Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.
Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani
=====
📍Makkah
🕌🕋🤲🏾
Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,
Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.
Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Mwenye kifua kipana akaonyesha jinsi alivyoweza kumudu kuiba, kuengua wapinzani sababu ya kifua chakeMkwe wa mama lazima afaidi kila kinachoweza kufaidiwa. Usicheze na kuoa mtoto wa mtukufu mama.
Kweli. Acha aende kutubia madhambi yake kwa anavyodhulumu taifa chini ya utawala mbovu wa kifamilia na kimalkia.Mwenye kifua kipana akaonyesha jinsi alivyoweza kumudu kuiba, kuengua wapinzani sababu ya kifua chake
Sifa za kuhiji Makka kwa hawa wapuuzi ni umaarufu ndio maana wanapiga mapicha na uwezo wa kupanda ndege kwenda hukoSifa za kujihi maka ni zipi, yaani mchengerwa huyuhuyu wa serikali za mitaa wajemani?
Hapo hakuna toba ameenda kujionyesha ndio maana kapiga picha wamuoneKweli. Acha aende kutubia madhambi yake kwa anavyodhulumu taifa chini ya utawala mbovu wa kifamilia na kimalkia.
Uko sahihi. Anawalenga wapiga kura wale wa upande ule wanaobudia kila kitu toka makka kwa ntume.Hapo hakuna toba ameenda kujionyesha ndio maana kapiga picha wamuone
Sasa si atafanya tena Mwaka huu 2025!Labda ameenda kutubu kwa yale waliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa vitongoji na vijiji