Mbona unalazimisha watu kwa fedha wanazo tafuta wenyewe, maana kama design unawakalipia kwa kutumia hela zao watakavyo.Nimeshangaa baada ya watu kulalamika humu eti wamepandishiwa vifurushi vya azam tv kumbe kuna watu bado mnatumia huu uchafu aisee huku masaki tulishasau huu uchafu aisee kweli watanzania bado masikini azam ilivyo na quality mbovu hivo bado watu WANATUMIA wakati Kuna unyama DSTV quality bora inayolingana na pesa unayolipa wakimbieni hao mnaibiwa watanzania tote hayo Ili kuhangaika na timu za waganga wa kariakoo ambazo zinacheza mpira kama wanalima mnafanya nini watanzania ushamba utaisha lini aisee unanunua azam kisa uchafu wa simba na yanga
Tafuta pesa halafu punguza hasira azam ni ya kuangalia masikini kama weweMbona unalazimisha watu kwa fedha wanazo tafuta wenyewe, maana kama design unawakalipia kwa kutumia hela zao watakavyo.
Huyo DSTV anaenda kupotea polepole siku hizi kuna Router hizi,kwa 100k+ unapata speed ya kitosha link kibao za kucheck EPL,UEFA na ligi zote za ulaya.
Mjue pia usd inapanda kwa speed ya rocket lazima gharama zipande la sivyo atapata hasara sana.
Sasa mimi na wewe nani ana hasira,hela ya kwakwe mwache aamue Azam TV au Star times unataka kuwapangia watu cha kuangalia si upunguani huo.Tafuta pesa halafu punguza hasira azam ni ya kuangalia masikini kama wewe
Hasira unazo wewe ungekua huna hasira ungeupita huu uziSasa mimi na wewe nani ana hasira,hela ya kwakwe mwache aamue Azam TV au Star times unataka kuwapangia watu cha kuangalia si upunguani huo.
Mimi nina Azam na nina Router ya Voda si hitaji DSTV na natizama mechi zote, sina njaa kama ulizokuwa nazo wewe. King'amuzi cha DSTV sijui hata kipo wapi.
Azam sio king'amuzi ni takatakaWewe unafikiri kuleta Camera ya milioni 500 na VIKURE(VAR) gharama yake ni kidogo? Kifurushi cha juu 35000 hakijaguswa,wamegusa vya chini tu.
Bora Azam ndiyo ya bei rahisi ,hata Startimes nayo bei kubwa tu ila baba yao ni DSTV jini hilo beio zao si rafiki.
Una mimba yake?Lisu yuko kimya
Lalamikia serikali yako yeye kapandishiwa kodi unataka afanye nini?
Sio inapendwa bali sababu haiba mbadala ya kuonyesha ligi ya Bongo,ukija kwenye tamthiliya za kibongo na movie za majuu wameachwa mbali sana na Dstv.Azam waache kuwanyonya wananchi eti kisa ni kampuni inayopendwa na wananchi ndio mnawakandamiza?
Hakuna ubishi kuwa Azam Media ndio baba lao. Sasa msitumie advantage kisa mnarusha tamthila nzuri zinazopendwa na watu kisha kuwaumiza kwenye bei za vifurushi.
Ndiyo kina wateja wengi TZ.Azam sio king'amuzi ni takataka
Sio inapendwa bali sababu haiba mbadala ya kuonyesha ligi ya Bongo,ukija kwenye tamthiliya za kibongo na movie za majuu wameachwa mbali sana na Dstv.Azam waache kuwanyonya wananchi eti kisa ni kampuni inayopendwa na wananchi ndio mnawakandamiza?
Hakuna ubishi kuwa Azam Media ndio baba lao. Sasa msitumie advantage kisa mnarusha tamthila nzuri zinazopendwa na watu kisha kuwaumiza kwenye bei za vifurushi.
Ni kwa sababu waTZ wengi ni takataka pia.Ndiyo kina wateja wengi TZ.
Hiyo ni biashara kama biashara zingine, muuzaji anataka faida na mnunuaji anataka huduma, ikiwa utaona ni gharama kubwa bora utafute mwenye kutoa huduma mwingine.Ndugu Mteja, kuanzia 1/8/24 kutakuwa na mabadiliko ya bei. Kifurushi cha 25000 kuwa 28000; 17000 kuwa 19000; 10000 kuwa 12000; 6000 kuwa 7000 na 3000 kuwa 4000.
Azam decoder hawana Ubora kuzidi Dstv, Wanatumia kigezo cha kutuonyesha mipira Ili kuchaji gharama zaidi, ongezeko hilo ni kama blackmailing, hakuna media nyingine wanaowapa ushindani kwenye mpira kwa Sasa. Ongezeko hilo sio halisia na maisha ya wananchi, ajabu Mzawa mwenzetu anatunyonya kuliko wageni wawekezaji.
Mmesubiri home boy apigwe chini ndio mlete ongezeko! Waziri nakusihi, liangalie kwa jicho la wananchi wanyonge..
Ni kwa sababu waTZ wengi ni takataka pia.