wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Gauni kubwa na soksi za nailoni wamekuvisha sawa sawa umewekwa uchi na kanchi population yake kama Dar es salaam.
Yaani sisi wa kwenda kujifunza RWANDA wakati huyo MKULU wao katoka MONDULI tumemtrain wenyewe.
Mkuu hata tukianzisha kiwanda pale Manzese bado swala la Kodi kwa Tanzania ni Maumivu sana,
Tunazo bidhaa ambazo zinazalishwa hapahapa na viwanda vyetu lakini bei zake zipo juu sana,lakini bidhaa Hizo Hizo nchi Jirani wanachukua hapa na bei kwakule Kwao zipo chini sana.
Mfano:Saruji,Sukari,Mafuta ya Kula,n.k
Volkswagen nadhani hawakushauriwa vizuri soko la magari ya Volkswagen kushindana na Toyota Africa mashariki sio rahisi hasa kwa Tanzania
Soko la magari madogo Toyota ameshalishika.Na wanunuzi wengi wanapenda magari used ya Toyota hasa kwa sababu ya Bei rahisi na upatikanaji wa vipuri kila Kona kwa Bei rahisi na mafundi wa katengeneza wako kila Kona Hadi vichochoroni wakato magari Kama Benz , Volkswagen nk Ni ngumu sana
Yaani niache kuagiza japan ambako logistics zinakubali niagize rwanda? Bei nayo ikoje
Wanasema Wajerumani walitaka kuwekeza Tanzania katika uzalishaji wa magari type ya VW,lakini wakazungushwa wee na taasisi ya uwekezaji nchini mpaka wakakata tamaa, wakaona hisiwe taabu ndio wakakimbilia Rwanda ambako wawekezaji wanapokelewa kwa mikono miwili bila ya urasimu wa kijinga, ndani ya mwezi mmoja kila kitu kinakamilika - Kagame na uongozi wake wako dead serious kwenye masuala haya, akisikia mwekezaji anewekewa kauzibe anawatimuwa kazi wahusika on the spot na kifungo juu.
Mtu ungetegemea walao TTCL ingechangamkia kutafuta wabia wa kuwekeza kwenye ku-assemble simu janja nchini lakini wapi, hawataki kuchakalika Wachina walisha wajengea mkonga wa mawasiliano wa Taifa wamesambaza huduma mpaka nchi jirani wanaona ya nini kuangahika zaidi - ubunifu wa kumfikia the late mzee Mengi, hilo TTCL hawana kabisa!!
kabisa sasahivi tupo tupo tu bora kukuche Mungu atusaidie na kulinda Taifa la Tanzania.Tanzania ilipoteza Rais tarehe 17 March 2021
Huyu Mulamula mie namuona kituko sana. Hivi hajaona kwamba huko Rwanda wanaendesha magari upande wa kulia tofauti na Tanzania kabla hajatoa matamko kama haya?Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Hii ni fedheha, waziri Mulamula alikuwa Japan ambo wao wanatengeneza magari alipokuwa kule alikuwa anakula tende. These people need to be serious, ndio sababu JPM alikuwa anawachukia sana NGO's maana wanajaza ujinga kwa baadhi ya Watanzania.
Huyu Malamula mie namuona kituko sana. Hivi hajaona kwamba huko Rwanda wanaendesha magari upande wa kulia tofauti na Tanzania kabla hajatoa matamko kama haya?
Ningependa Malamulka aniambie kwa nini Tanzania tusinunue VW toka Kenya ambako nao wana kiwanda cha VW na wanatengeneza magari ya ya usukani kulia kuendana na kuendesha gari upande wa kushoto kwa namna ya barabara zetu
Kwa nini ujipe shida yote hiyo wakati Kenya ambayo nayo ni nchi ya East African Community ina assembly plant ya VW za RHD, na Rwanda na Kenya wote wana affiliation ya VW na South Africa?Hivi kuassamble LHD kwenda RHD umeambiwa ni ngumu kiasi gani?
Weka Balance of payment ya Tz vs Kenya na Tz vs Rwanda tupate somo hapa.
Mkuu sio kila kitu unakubali tu, unaweza kutuwekea masharti yake au mkataba ulikuwaje?Na ni wkt JPM ambako VW iliwekewa urasimu mpk ikaamua kwenda Rwanda.
Bora mkoloni ange baki tuMIE NILIDHANI TUTAANZA KUTENGENEZA na SISI MAGARI YETU tuna MIAKA 60 ya UHURU[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu sio kila kitu unakubali tu, unaweza kutuwekea masharti yake au mkataba ulikuwaje?
Kwa nini ujipe shida yote hiyo wakati Kenya ambayo nayo ni nchi ya East African Community ina assembly plant ya VW za RHD, na Rwanda na Kenya wote wana affiliation ya VW na South Africa?
Halafu jiulize gharama ya kutoa gari Kigali kuja Dar na kuitoa Nairobi kuja Dar.
Kwa hiyo hiyo gap ya balance of payments tunaipunguza kwa kuingiza magari toka Rwanda badala ya Kenya?Hivi hata maana ya balance of payment unaijua lkn?
Unajua kuendelea kununua bidhaa kenya hilo gap la ‘unfavourable ‘ linavyokua?
Kwa hiyo hiyo gap ya balance of payments tunaipunguza kwa kuingiza magari toka Rwanda badala ya Kenya?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooooh mama mbavu zangu!!!!!!!!