johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.
Chanzo: ITV habari
Pia soma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangililia baada ya kujua mkataba ukoje. Acheni kuwa mazuzu.Safiii Samia na Maendeleo
Samia hadi 2035
Kipindi fulani kwenye issue za negosition kama hizo unakuta timu kama wakina Dr. Chamuriho ambae aliongoza timu ya negosition mradi wa SGR, Ununuzi wa ndege pamoja Bwawa la Mwalimu Nyerere ila kwasasa anaonekana hafanyi kazi vizuri chini ya Rais Samia, pembeni ungemkuta Marehemu Mfugale, wingi ya kulia ungemkuta Engineer Kakoko then unakuta watu wa Tanroads, watu sheria, etc na hao wote walikuwepo kwenye ile team ya mwendazaje iliyosema kwa masharti haya hapana kama vipi ya kwetu ni haya hamtaki rudini mkajipange tena.Usiwaamini hawa watu.
Sawa amezipitia, swali ni je, ana utaalamu wa mikataba na maswali mengine ya kitaalamu?
Kama ambavyo Mbowe sio gaidi, na sisi wananchi sio wajinga.
Na wewe ponda baada ya kujua mkataba upoje. Msiwe mazuzu pia na nyie!Shangililia baada ya kujua mkataba ukoje. Acheni kuwa mazuzu.
Who is Dr. Chamuriho....unaambiwa mkataba haukuwepo unaleta undezi hapa simama katika HOJA.Kipindi fulani kwenye issue za negosition kama hizo unakuta timu kama wakina Dr. Chamuriho ambae aliongoza timu ya negosition mradi wa SGR, Ununuzi wa ndege pamoja Bwawa la Mwalimu Nyerere ila kwasasa anaonekana hafanyi kazi vizuri chini ya Rais Samia...
Umeambiwa hakuna mkataba ni minutes za vikao tu!Usiwaamini hawa watu.
Sawa amezipitia, swali ni je, ana utaalamu wa mikataba na maswali mengine ya kitaalamu?
Kama ambavyo Mbowe sio gaidi, na sisi wananchi sio wajinga.
Hahahaaaa.......!Who is Dr. Chamuriho....unaambiwa mkataba haukuwepo unaleta undezi hapa simama katika HOJA.
Hapa Kiwete alizindua ujenzi wa bandari ya bagamoyo bila kusaini mkataba wowote?Waziri wa uwekezaji Mr Mwambe amesema hakuna mkataba wowote uliosainiwa hapo awali kuhusu bandari ya Bagamoyo zaidi ya minutes tu za vikao.
Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.
Source: ITV habari
Utaajiriwa na nani?Nafarijika sana naposikia maamuzi yenye tija kama haya yanafanyika. Bandari ya Bagamoyo ni mkombozi kwa ajira za vijana wetu wanaomaliza ngazi mbalimbali za elimu
Mwita Gachuma lazima awemo!Kipindi fulani kwenye issue za negosition kama hizo unakuta timu kama wakina Dr. Chamuriho ambae aliongoza timu ya negosition mradi wa SGR, Ununuzi wa ndege pamoja...
Mnhhh.....Waziri wa uwekezaji Mr Mwambe amesema hakuna mkataba wowote uliosainiwa hapo awali kuhusu bandari ya Bagamoyo zaidi ya minutes tu za vikao.
Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.
Source: ITV habari