Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

You are very very stupid. Nasty
You should also go and rot, where you belong, just as your provincial mentor.
Leave smart projects for the smart minded and forward thinking fellas, not backward provincial twits as you pitiful lot.
 
Hongera sana JK kweli mzee baba bado unaendesha nchi


2960505_Screenshot_20211011-1349292.png
 
At last, dalili za mradi wa Bandari ha Bagamoyo sasa zimeanza kuonekana.

Taarifa ya Habari ITV, saa mbili ya jioni hii Waziri wa Biashara na Uwekezaji , Ndg Mwambe, ametamka kuwa maongezi karibu yataanza juu ya utkelezaji wa agizo la Rais Samia kupitia mambo yote yaliyoongelewa katika hatua za awali na kama kulikuwepo na mkataba.

Waziri Mwambe amesema HAKUNA mkataba wowote uliokuwepo kati ya serikali na wawekezaji toka China, na mawasiliano yataendelea ili mradi huo ufikie hatua za utekelezaji.

MY TAKE
Tumerudi nyuma sana katika miaka hii sita iliyopita, tugange yajayo, yaani uchumi endelevu, yaliyipita si ndwele.
Kwa mswahili uliye Bagamoyo, tunza arhi yako kama mboni ya jicho,” Kurasini” ya pili yaja.
 
Hatuwezi kuishi kwa kuogopa maendeleo.
Biashara ni give and take.
Hayo maendeleo unategemea uletewe!? Historia ni mwalimu mzuri. Huko kwenye migodi madini yanasombwa bure, hiyo nguvu ya kujadiliana na wachina ili upate fair deal unaitoa wapi!? Nguvu ambayo Kenya, Angoka, Na Zambia wameikosa. Mhula wa tatu wa vasco da gama wa msoga huu.
 
Hayo maendeleo unategemea uletewe!? Historia ni mwalimu mzuri. Huko kwenye migodi madini yanasombwa bure, hiyo nguvu ya kujadiliana na wachina ili upate fair deal unaitoa wapi!? Nguvu ambayo Kenya, Angoka, Na Zambia wameikosa. Mhula wa tatu wa vasco da gama wa msoga huu.
Huyo hajielewi
 
Huu mradi masharti yake ya hovyo si yalisemwa hadharani mpaka viongozi waliokuwa kwenye huo mkutano wakaguna…sasa hv unafufuliwa tena?!

Hv jamani hii Tanzania ni yetu wote au ya watu wachache…tuwajue basi tuwaombee uhamisho wapate makazi mengine wale asali huko waendako km wanaitamani sana…watuachie Tanzania yetu tujikongoje taratibu…kuliko kuja kulishwa masumu na uwekezaji ambao hauna tija kwetu na ardhi yetu na dawa hospitalini hakuna…
Wewe uliyaona hayo masharti? Au umekariri maneno ya yule chizi jiwe? Jiwe alisema vile ili fedha zote ziende kijijini kwake Chato. Mpuuzi sana yule
 
Kazi Iendelee
Kazi Iendelee
Kazi Iendelee
Kazi Iendelee
Kazi Iendeleeeeeeeeeeeeee🔥🔥💪💪

#SiempreJMT
 
Mama piga chini Busisi.
Mama usikubali kukipatia k ijiji cha Chato hadhi ya kuwa mkoa. Usithubutu
 
Back
Top Bottom