Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Kwani kinachofanyika sasa ni nini? Si kilekile ambacho kilifanyika awamu ya 5 kikapingwa? Tena wamesema hata kama awamu iliyopita ulikataliwa lakini wataanza tena kule na sipo walipoishia awamu ya 5 ila ilipoishia awamu ya nne. Unajua hilo?Who is Dr. Chamuriho....unaambiwa mkataba haukuwepo unaleta undezi hapa simama katika HOJA.
Sent using Jamii Forums mobile app