Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

Hao uganda hawajatuzid chochote hata ndizi uganda tunalima nyingi kuliko uganda
 
Mambo mengine ni magumu mno lakini ndio hivyo Ulimwengu Huu unaelekea Mwisho unakuja Ulimwengu wa 6G yaani 666

Waganda hawa tuliowakomboa mikononi mwa Nduli ndio wa kutuzidi sisi Kweli?

Jumaa Mubarak 😀
Uganda hawana akili kama za kwetu.Kupiga marufuku mitumba ni utoto.
 
Kwa kweli haingii akilini kama nchi inunue vichwa vya treni vya mitumba?. Tunaelezwa kuwa huko Ujerumani kuna vichwa vya treni vilivyochoka na sasa vinakarabatiwa na kuja kuonekana kama mpya kwa asilimia 85. Kweli?. Katika maisha yangu yote sijaona nchi inayonunua vitu vya mitumba. Kwa nini tusinunue idadi ndogo ya vichwa vya treni lakini viwe vipya. Nashauri tuachane na vitu vya mitumba kama nchi na hii inatushushia heshima.
 
Madalali tunakula nin sasa jaman?? rejea kaul ya Mama Abdul kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake

"Shule mlienda kusomea ujinga"
 
Ukiwa na akili ya mtumba ni lazima upende unavyofanana navyo tu.
ANYWAY (kizungu kidogo):Kwani hoja ya kupendekeza ununuaji wa mitumba imeelezwa faida yake ni nini?Au tunakwepa na kuokoa kitu gani hasa?
 
Umeme ulivyo wa mgao hivi hivyo vichwa hata vikija si kazi bure tu!
 
Hili hata mimi sikubaliani nalo kabisa.

Kitu ambacho tunaweza kukopeshwa vipya kabisa. Hatuna uharaka huo wa kuwa na mitumba kabisa.
 
Niliwahi kuandika hivi kuhusu Mwigulu:

 
Tatizo lipo kwenye madaraka makubwa ya Rais.

Tunaenda kama nyumbu kumfuata kiongozi mkuu bila kujali abatupeleka wapi!!
 
Hili hata mimi sikubaliani nalo kabisa.

Kitu ambacho tunaweza kukopeshwa vipya kabisa. Hatuna uharaka huo wa kuwa na mitumba kabisa.
Aliyeruhusu kuagizwa mabehewa na vichwa mitumba ni Sa100, mwigu anafuata maelekezo.

Wanunue na mav8 na magari ya misafara ya viongozi used Ili tuwe sawa.
 
Aliyeruhusu kuagizwa mabehewa na vichwa mitumba ni Sa100, mwigu anafuata maelekezo.

Wanunue na mav8 na magari ya misafara ya viongozi used Ili tuwe sawa.
 
Aliyeruhusu kuagizwa mabehewa na vichwa mitumba ni Sa100, mwigu anafuata maelekezo.

Wanunue na mav8 na magari ya misafara ya viongozi used Ili tuwe sawa.
Inaongelewa sheria mpya ambayo jana imejadiliwa. Sheria hata kupitishwa bado.

Wewe unaongelea utumbo gani?
 
Inaongelewa sheria mpya ambayo jana imejadiliwa. Sheria hata kupitishwa bado.

Wewe unaongelea utumbo gani?
Kwani wakati sa100 anaruhusu kuagizwa vichwa na mabehewa used SHERIA ilikuwa inaruhusu?

Baada ya kuvunja SHERIA, ndo wanaleta Leo Ili kuhalalisha BATILI.

Mwigu Hana kosa hapo. Tatizo lipo juu paleeee!!
 
Sheria ya upigaji, ni jinsi Gani uta thaminisha kilicho tumika na kitu kingine maana kutumika kuna weza kuwa miaka mitatu lakini kilometa zikatofautiana. N.k na kina Maisha miaka mingapi baada ya hapo
Kuna machine zimetumika kilomita nyingi lkn ziko vzr tu mara nyingi watu hupigwa kny eneo hili na unaweza kuta machine ndogo klm chache ila imechoka sana.
 
Back
Top Bottom