Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uganda hawana akili kama za kwetu.Kupiga marufuku mitumba ni utoto.Mambo mengine ni magumu mno lakini ndio hivyo Ulimwengu Huu unaelekea Mwisho unakuja Ulimwengu wa 6G yaani 666
Waganda hawa tuliowakomboa mikononi mwa Nduli ndio wa kutuzidi sisi Kweli?
Jumaa Mubarak 😀
V8 za mawaziri ni mitumba?
Aliyeruhusu kuagizwa mabehewa na vichwa mitumba ni Sa100, mwigu anafuata maelekezo.Hili hata mimi sikubaliani nalo kabisa.
Kitu ambacho tunaweza kukopeshwa vipya kabisa. Hatuna uharaka huo wa kuwa na mitumba kabisa.
Aliyeruhusu kuagizwa mabehewa na vichwa mitumba ni Sa100, mwigu anafuata maelekezo.
Wanunue na mav8 na magari ya misafara ya viongozi used Ili tuwe sawa.
Inaongelewa sheria mpya ambayo jana imejadiliwa. Sheria hata kupitishwa bado.Aliyeruhusu kuagizwa mabehewa na vichwa mitumba ni Sa100, mwigu anafuata maelekezo.
Wanunue na mav8 na magari ya misafara ya viongozi used Ili tuwe sawa.
Kwani wakati sa100 anaruhusu kuagizwa vichwa na mabehewa used SHERIA ilikuwa inaruhusu?Inaongelewa sheria mpya ambayo jana imejadiliwa. Sheria hata kupitishwa bado.
Wewe unaongelea utumbo gani?
Kuna machine zimetumika kilomita nyingi lkn ziko vzr tu mara nyingi watu hupigwa kny eneo hili na unaweza kuta machine ndogo klm chache ila imechoka sana.Sheria ya upigaji, ni jinsi Gani uta thaminisha kilicho tumika na kitu kingine maana kutumika kuna weza kuwa miaka mitatu lakini kilometa zikatofautiana. N.k na kina Maisha miaka mingapi baada ya hapo