Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

Mambo mengine ni magumu mno lakini ndio hivyo Ulimwengu Huu unaelekea Mwisho unakuja Ulimwengu wa 6G yaani 666

Waganda hawa tuliowakomboa mikononi mwa Nduli ndio wa kutuzidi sisi Kweli?

Jumaa Mubarak 😀
Wanatuzidi pia kwa 'kuwachuma Mashoga' na kupigwa ban ya kuletewa ARV kutoka Marekani
 
Una uhakika kuwa Idd amani hakutakiwa na Waganda au hakutakiwa na Nyerere?
Hakutakiwa na 'Obote' ambae alikua rafiki wa 'Nyerere' ndio 'Nyerere' akaenda kumfurusha ili rafiki yake 'Obote' aendelee kuitawala Uganda hadi pale Mu7 alipochukua madaraka
 
Mambo mengine ni magumu mno lakini ndio hivyo Ulimwengu Huu unaelekea Mwisho unakuja Ulimwengu wa 6G yaani 666

Waganda hawa tuliowakomboa mikononi mwa Nduli ndio wa kutuzidi sisi Kweli?

Jumaa Mubarak [emoji3]

Sio tu mitumba…

Uganda inaviwanda vya mawese ambayo walichukua tanzania kwenda kupanda na kisha kujenga viwanda sisi tunaagiza korie

Uganda ndyo wenye jeshi la kisasa na lenye siraha nyingi Africa mashariki

Uganda kumekucha siku nyingi
 
Baada ya muda mfupi tu, kama miezi sita hadi mwaka tutakuwa tunaenda kununua nguo Uganda. Baada ya miaka kadhaa akili itatukaa sawa na sisi tutapiga marufuku mitumba.
 
Uganda hata swala la ushoga Katia neno kuwa hataki mambo ya ajabu huku hata sielewi elewi...😂
Muulize muanzisha uzi, mbona hakuilaumu serikali ya Tanzania kutofuata msimamo mkali wa Uganda kuhusu ushoga? Yeye kaona tumitumba tu.
 
Waganda hatukuwakomboa tuliwaondolea kiongozi mchapa kazi aina za kina Magufuli ,huo ndio ukweli,japo mchunga.
Fikiri mara mbili ulicho kiandika mkuu. Labda ulikuwa hajazaliwa ( 1971-1979) au ulikuwa mdogo au umeamua tu kumpenda Idd Amin. Hakuna nchi inayoweza kukaa kimya iwapo meter moja ya ardhi yake ita chukuliwa kinguvu, kama alivyo fanya Amin kufanya mto Kagera Ndiyo mpaka mpya wa Uganda na Tanzania. Achilia mbali mamia kama si maelfu ya Watanzania walio uwawa katika zoezi lake hilo.
 
Mkuu kama wewe huvai mitumba wengine ndio nguo zao na mitumba imeajiri vijana wengi mnooo
Xx ikipigwa marufuku utawapa kazi au ndio utaja fungua uzi vijana hawapendi kujiajir
 
Back
Top Bottom