Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Wanatuzidi pia kwa 'kuwachuma Mashoga' na kupigwa ban ya kuletewa ARV kutoka MarekaniMambo mengine ni magumu mno lakini ndio hivyo Ulimwengu Huu unaelekea Mwisho unakuja Ulimwengu wa 6G yaani 666
Waganda hawa tuliowakomboa mikononi mwa Nduli ndio wa kutuzidi sisi Kweli?
Jumaa Mubarak 😀