Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana, ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!

Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 km!!, suti zao brand new from Italy!

Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.

Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.
Kwanini wasinunue ma V8 used?
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana, ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!

Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 km!!, suti zao brand new from Italy!

Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.

Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.
Sheria ya upigaji, ni jinsi Gani uta thaminisha kilicho tumika na kitu kingine maana kutumika kuna weza kuwa miaka mitatu lakini kilometa zikatofautiana. N.k na kina Maisha miaka mingapi baada ya hapo
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana, ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!

Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 km!!, suti zao brand new from Italy!

Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.

Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.
😆😆😆😆😆
 
We si unajua hao wabunge 95%hawakushinda kihalali bali walishindishwa na shujaa
Kama hawakushinda kihalali,mbona sijasikia hata kesi moja ya kupinga angalau jimbo moja tu. Mnapiga domo tupu tu kwa kitu hamna ushahidi nacho. Chaguzi zilizopita mlikuwa mkienda mahakamani na majimbo mengine yalikuwa yakitenguliwa au mkipewa ushindi. Au wale mawakili wenu wasomi hawapo tena? Au pesa za kulipia kesi mmezitafuna?
 
Kama hawakushinda kihalali,mbona sijasikia hata kesi moja ya kupinga angalau jimbo moja tu. Mnapiga domo tupu tu kwa kitu hamna ushahidi nacho. Chaguzi zilizopita mlikuwa mkienda mahakamani na majimbo mengine yalikuwa yakitenguliwa au mkipewa ushindi. Au wale mawakili wenu wasomi hawapo tena? Au pesa za kulipia kesi mmezitafuna?
Uko sahihi
 
Mambo mengine ni magumu mno lakini ndio hivyo Ulimwengu Huu unaelekea Mwisho unakuja Ulimwengu wa 6G yaani 666

Waganda hawa tuliowakomboa mikononi mwa Nduli ndio wa kutuzidi sisi Kweli?

Jumaa Mubarak 😀

Sisi unataka tupige marufuku mitumba, je tuna viwanda vingapi vya ndani vyenye kutengeneza nguo?
 
Mambo mengine ni magumu mno lakini ndio hivyo Ulimwengu Huu unaelekea Mwisho unakuja Ulimwengu wa 6G yaani 666

Waganda hawa tuliowakomboa mikononi mwa Nduli ndio wa kutuzidi sisi Kweli?

Jumaa Mubarak 😀
Una uhakika kuwa Idd amani hakutakiwa na Waganda au hakutakiwa na Nyerere?
 
Back
Top Bottom