Oscar Junior
New Member
- Sep 7, 2023
- 3
- 2
Tanzania nchi yangu ntakupenda kwa moyo woteeee ✌️🤣✌️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli mwenyewe alinunuwa Meli ya mtumba kinyume na sheria, haikufanya kazi iliyotarajiwa hata siku moja, akawapa jeshi wafe nayo.Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.
Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana ,ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!
Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 Km!! ,Suti zao brand new from italy!
Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa Taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.
Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.
Unategemea nn kwa hao watu humo mjengoni? Mule wana kaz moja tu nayo ni...... Piga meza makofi mpaka viganja vi turn red!!!!wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.
Hapana, semeni kweli.Viliagizwa na kikwete kwa dili ,una swali lingine
Namsikiliza Halima Mdee hapa, aliongea vizuri sana.Unategemea nn kwa hao watu humo mjengoni? Mule wana kaz moja tu nayo ni...... Piga meza makofi mpaka viganja vi turn red!!!!
Huyo mchawi wenu si ndo alinunua Bombadier za mtumba ilhali dheria inakataza?Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.
Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana ,ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!
Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 Km!! ,Suti zao brand new from italy!
Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa Taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.
Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.
Waleee! 🤔🤔 Noted ✔️Namsikiliza Halima Mdee hapa, aliongea vizuri sana.
Huyu angekuwa siyo waleee angekuwa wa maana sana.
Acha na sisi huku chini tuanze kununua mpaka pen usedMwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.
Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana, ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!
Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 km!!, suti zao brand new from Italy!
Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.
Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.
Mkuu kwani unaandika ukiwa wapi?Baada ya kusikil I za mswada na uchangiaj8nwa wabunge, binafsi siafik7 kabusa ununuwaji wa mitumba. Tunajidhqlilisha sana kama nchi.
Bogus kifungu kabisa, hicho cha mitumba. Ujinga wa hali ya juu.
Wanawanunulia wabongo mitumbaAlafu yeye akanunua bombadier na dreamliner mpya??
Ni ujinga wa hali ya juu kabisa. Hili la mitumba siliungi mkono hata kidogo.Aise mambo ya ajabu kabisa haya wanataka kufanya
Ova
Madelu katika ubora wake !! hutaki tangulia Burundi.
Inahusu nini?Mkuu kwani unaandika ukiwa wapi?
Ndege Dreamliner ni mtumba? Meli inayojengwa Mwanza ni mtumba? Ebu jaribu kutumia akili basiMagufuli mwenyewe alinunuwa Meli ya mtumba kinyume na sheria, haikufanya kazi iliyotarajiwa hata siku moja, akawapa jeshi wafe nayo.
Umesahau?
Maana umecharaza mwandiko kama treni ya mtumbaInahusu nini?
Wameniudhi, nimerekebisha.Maana umecharaza mwandiko kama treni ya mtumba
Kwani sheria inaletwa bungeni kabla ya kubarikiwa na baraza la mawaziri?Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.
Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana, ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!
Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 km!!, suti zao brand new from Italy!
Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.
Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.