Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025

Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025

Kwa nilifuatilia uchambuzi wa Finance Bill yao nikaona ngoja Leo nimsikilize Waziri wao akiwasilisha bajeti

Hali yao ni Ngumu sana

Nilikuwa naangalia Citizen tv🐼
 
Swala ajira kwa vijana limekuwa changamoto kwa sababu vijana wengi hawana ubunifu...wanakariri walivyo fundisw!! Pia elimu yetu aiendani na soko la dunia..
 
Back
Top Bottom