Waziri Mwigulu: Magari yetu ya Mizigo yanakwama sana Mpakani Horohoro, nitachukua hatua

Waziri Mwigulu: Magari yetu ya Mizigo yanakwama sana Mpakani Horohoro, nitachukua hatua

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Nimekutana na ujumbe wa Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, aliouchapisha kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii nikaona niulete hapa kama taarifa.

Ameandika:

"Nikiwa safarini kuelekea Mombasa kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, nimelazimika kusimama na kusikiliza changamoto niliyokutana nayo mpakani Horohoro ambapo nimekuta foleni kubwa sana ya magari ya mizigo upande wa Tanzania nikadhani shida iko upande wetu.

Katika kuongea na incharge wa KRA na TRA, nikagundua sababu kubwa ni ucheleweshwaji wa huduma ya forodha kutoka Kenya kwa kuwa bado hawajaanza kutumia mfumo wa pamoja wa huduma ya forodha (Single Custom Territory).

Magari yanayotoka Kenya, hayapati foleni kwa kuwa tayari Tanzania tumetumia mfumo wa pamoja wa forodha hivyo mizigo inayoingia nchini huwa inakuwa cleared upande wa Kenya kabla ya kufika mpakani hivyo kurahisisha mizigo kupita.

Nachukua hatua za kuzungumza na Waziri wa Fedha wa Kenya waanze ku-impliment mfumo wa pamoja wa forodha kwa kuwaleta Maafisa wa KRA nchini ili ku-clear mizigo kabla ya kufika Mpakani ili wafanyabiashara wasicheleweshwe mpakani."

20220513_003608.jpg

20220513_003614.jpg

20220513_003611.jpg

20220513_003617.jpg

Mwisho wa kunukuu.

My take: Hii itakuwa ni habari njema sana kwa madereva wa malori wanaopataga usumbufu pale Horohoro. Mpaka Waziri ameamua kwenda front, tutarajie Kenya watareciprocate vizuri hata kama kuna rafu majirani zetu walikuwa wanazicheza kwa makusudi. Kwa hili, Mhe Waziri anastahili pongezi.
 
Nimekutana na ujumbe wa Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, aliouchapisha kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii nikaona niulete hapa kama taarifa.

Ameandika:

"Nikiwa safarini kuelekea Mombasa kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, nimelazimika kusimama na kusikiliza changamoto niliyokutana nayo mpakani Horohoro ambapo nimekuta foleni kubwa sana ya magari ya mizigo upande wa Tanzania nikadhani shida iko upande wetu.

Katika kuongea na incharge wa KRA na TRA, nikagundua sababu kubwa ni ucheleweshwaji wa huduma ya forodha kutoka Kenya kwa kuwa bado hawajaanza kutumia mfumo wa pamoja wa huduma ya forodha (Single Custom Territory).

Magari yanayotoka Kenya, hayapati foleni kwa kuwa tayari Tanzania tumetumia mfumo wa pamoja wa forodha hivyo mizigo inayoingia nchini huwa inakuwa cleared upande wa Kenya kabla ya kufika mpakani hivyo kurahisisha mizigo kupita.

Nachukua hatua za kuzungumza na Waziri wa Fedha wa Kenya waanze ku-impliment mfumo wa pamoja wa forodha kwa kuwaleta Maafisa wa KRA nchini ili ku-clear mizigo kabla ya kufika Mpakani ili wafanyabiashara wasicheleweshwe mpakani."

View attachment 2222287
View attachment 2222288
View attachment 2222290
View attachment 2222291
Mwisho wa kunukuu.

My take: Hii itakuwa ni habari njema sana kwa madereva wa malori wanaopataga usumbufu pale Horohoro. Mpaka Waziri ameamua kwenda front, tutarajie Kenya watareciprocate vizuri hata kama kuna rafu majirani zetu walikuwa wanazicheza kwa makusudi. Kwa hili, Mhe Waziri anastahili pongezi.
Haya mambo mda mwingine hayaitaji kuongea ongea sanaa ni kuimplement tu, wakiweka mguu 1 sie tuweke 2 , sasa nashangaa tuna bembelezana
 
Nimekutana na ujumbe wa Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, aliouchapisha kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii nikaona niulete hapa kama taarifa.

Ameandika:

"Nikiwa safarini kuelekea Mombasa kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, nimelazimika kusimama na kusikiliza changamoto niliyokutana nayo mpakani Horohoro ambapo nimekuta foleni kubwa sana ya magari ya mizigo upande wa Tanzania nikadhani shida iko upande wetu.

Katika kuongea na incharge wa KRA na TRA, nikagundua sababu kubwa ni ucheleweshwaji wa huduma ya forodha kutoka Kenya kwa kuwa bado hawajaanza kutumia mfumo wa pamoja wa huduma ya forodha (Single Custom Territory).

Magari yanayotoka Kenya, hayapati foleni kwa kuwa tayari Tanzania tumetumia mfumo wa pamoja wa forodha hivyo mizigo inayoingia nchini huwa inakuwa cleared upande wa Kenya kabla ya kufika mpakani hivyo kurahisisha mizigo kupita.

Nachukua hatua za kuzungumza na Waziri wa Fedha wa Kenya waanze ku-impliment mfumo wa pamoja wa forodha kwa kuwaleta Maafisa wa KRA nchini ili ku-clear mizigo kabla ya kufika Mpakani ili wafanyabiashara wasicheleweshwe mpakani."

View attachment 2222287
View attachment 2222288
View attachment 2222290
View attachment 2222291
Mwisho wa kunukuu.

My take: Hii itakuwa ni habari njema sana kwa madereva wa malori wanaopataga usumbufu pale Horohoro. Mpaka Waziri ameamua kwenda front, tutarajie Kenya watareciprocate vizuri hata kama kuna rafu majirani zetu walikuwa wanazicheza kwa makusudi. Kwa hili, Mhe Waziri anastahili pongezi.
Atakuwa Mwigulu Bandia sijaamini kama ni yeye, ameacha wapi skafu??
 
Kiongozi mzuri na makini angeongea kiofisi, huyu kaongea kimagufuli. Mtaji wa kisiasa tu, hakuna cha maana hapa.
 
Kiongozi mzuri na makini angeongea kiofisi, huyu kaongea kimagufuli. Mtaji wa kisiasa tu, hakuna cha maana hapa.

Haya yanavyoonekana yalishaongelewa kiofisi na Tanzania ikaanza utekelezaji, imemshangaza kukuta kuna foleni tena ndipo ikabidi ashuke aulize vizuri. Pia si amesema atazungumza na Waziri wa Kenya? Ndio kiofisi nyingine hiyo.
 
Nawaza tu kama waziri asingepata safari na kuona iyo kero tatizo lisingejulikana,au asingeamua kusimama kupata maoni ya madereva tatizo lingeendelea!.
 
Nimekutana na ujumbe wa Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, aliouchapisha kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii nikaona niulete hapa kama taarifa.

Ameandika:

"Nikiwa safarini kuelekea Mombasa kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, nimelazimika kusimama na kusikiliza changamoto niliyokutana nayo mpakani Horohoro ambapo nimekuta foleni kubwa sana ya magari ya mizigo upande wa Tanzania nikadhani shida iko upande wetu.

Katika kuongea na incharge wa KRA na TRA, nikagundua sababu kubwa ni ucheleweshwaji wa huduma ya forodha kutoka Kenya kwa kuwa bado hawajaanza kutumia mfumo wa pamoja wa huduma ya forodha (Single Custom Territory).

Magari yanayotoka Kenya, hayapati foleni kwa kuwa tayari Tanzania tumetumia mfumo wa pamoja wa forodha hivyo mizigo inayoingia nchini huwa inakuwa cleared upande wa Kenya kabla ya kufika mpakani hivyo kurahisisha mizigo kupita.

Nachukua hatua za kuzungumza na Waziri wa Fedha wa Kenya waanze ku-impliment mfumo wa pamoja wa forodha kwa kuwaleta Maafisa wa KRA nchini ili ku-clear mizigo kabla ya kufika Mpakani ili wafanyabiashara wasicheleweshwe mpakani."

View attachment 2222287
View attachment 2222288
View attachment 2222290
View attachment 2222291
Mwisho wa kunukuu.

My take: Hii itakuwa ni habari njema sana kwa madereva wa malori wanaopataga usumbufu pale Horohoro. Mpaka Waziri ameamua kwenda front, tutarajie Kenya watareciprocate vizuri hata kama kuna rafu majirani zetu walikuwa wanazicheza kwa makusudi. Kwa hili, Mhe Waziri anastahili pongezi.
Ni hatua nzuri lakini hivi Tanzania hapa kuna functioning Institutions kweli?

Miaka yote hii Wizara ya fedha na biashara hazijui hili hadi Waziri aliposafiri?

Mbona Kazi ipo sasa.
 
Waziri wa feza mbovu kuwai kutokea tokea tupate uhuru .dahh
 
Kenyans wanajua, ila wanatengeneza ugumu wa biashara kwa Tz makusudi.
Kuishi na Kenyans inahitaji akili na nguvu

Kenya ni fulltime mabepari. Ndivyo mfumo wa kibepari ulivyo, huwezi kuwalaumu.
 
Back
Top Bottom