Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
- Thread starter
- #21
Haya mambo mda mwingine hayaitaji kuongea ongea sanaa ni kuimplement tu, wakiweka mguu 1 sie tuweke 2 , sasa nashangaa tuna bembelezana
Na jino kwa jino inakubalika sana kwenye medani za diplomasia, japo haishauriwi sana kutumika.