Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Hamtaki kulipa kodi? Nyambaf zenu! Mnategemea hizo huduma mnazolilia zitoke wapi? yaani kuchangia 5000 tu ndiyo kelele zote hizo! Mlidekezwa sana na siasa za kijamaa za Nyerere. Samia nakushauri ongeza hizo kodi, asiyekubaliana na hili ahame nchi
 
Jamani ni muda wa BREAKFAST, tukanywe halafu turudi hapa kuendelea KULALAMIKA🤣🤣
 
Kodi balaa... yaan hata nguruka nao wamepanda bei duuuh
 
Umeandika mengi sana ndugu nikadhani mambo ya maana, kumbe unaandika history za miaka ya nyuma. mwalimu wako alikuwa na kazi ya ziada dada kwa kichwa hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kujua historia ya Dunia wewe ni mfu!!..funguka!

Sijui km umesoma ukaelewa.

Ok!! yanayo tokea somalia.Nigeria.kenya hapo karibu na kwenu ni historia???

Au najibizana na mlevi??? Aliyefundishwa na walevi wa kijiji??
 
Bila kujua historia ya Dunia wewe ni mfu!!..funguka!

Sijui km umesoma ukaelewa.

Ok!! yanayo tokea somalia.Nigeria.kenya hapo karibu na kwenu ni historia???

Au najibizana na mlevi??? Aliyefundishwa na walevi wa kijiji??
Huwa napenda nibishane na mtu mwenye uwezo anaeweza kusoma nakuelewa hoja ndio maana umeona nimekujibu juu juu sista. Hoja nilioleta hukuielewa yaani mimi niko kulia wewe uko kushoto. Soo kuwa mpole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lipa KODI wewe acha kubwabwaja.
Unafikiri barabara zinajijenga kwa mate?
 
Wanaomsaidia ndo wanatala tumuone ameshindwa
 
Umetapika Ujinga
Kumbea machawi mko mengi humu??!! Na badoOOOOO.

Tutawapeleka puta!! mpaka gujiwe gwenu gusikie ahera!! UKITAKA RIFUATE.utoweke

Kenge kabisa!!
 
Tulia ww kilaza....
uliporwa hela ww ama ulifungwa.....!?
unaongea ujinga
 
Huwa napenda nibishane na mtu mwenye uwezo anaeweza kusoma nakuelewa hoja ndio maana umeona nimekujibu juu juu sista. Hoja nilioleta hukuielewa yaani mimi niko kulia wewe uko kushoto. Soo kuwa mpole

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa mkali natisha wewe!!! Acha kabisa.
Kamwe Na hakika huwezi vumilia ukali wangu!! Ukibisha waulize Temeke Hospitals' staff.
 
Manyoko zako na wote waliokutuma
 
Tulia ww kilaza....
uliporwa hela ww ama ulifingwa.....
unaongea ujinga
Rione rinavoropoka utadhani jiwe!! Yaani sijui limmewaroga rile jamaaa!!

Ok!! lilishakufa kitambo!!but hamkujua..

Badala yake mliongozwa na msukule ule!! Ndo maana halikuwa na utu.bali ushetani flani hivi.
Nyie ni vishetani vidogo pia
 
Umeandika mengi sana ndugu nikadhani mambo ya maana, kumbe unaandika history za miaka ya nyuma. mwalimu wako alikuwa na kazi ya ziada dada kwa kichwa hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujasoma shule wewe?? Au ndo matokeo ya shuke za kata.....

kwani Historia ni mambo ya mbele??? au umekusudia kuropoka tuu??
 
Huwa napenda nibishane na mtu mwenye uwezo anaeweza kusoma nakuelewa hoja ndio maana umeona nimekujibu juu juu sista. Hoja nilioleta hukuielewa yaani mimi niko kulia wewe uko kushoto. Soo kuwa mpole

Sent using Jamii Forums mobile app
kumbeee!! Unabishana??? Yaani ubishi???? Pyutuuuu...

Mie naelimisha wasomaji! Tena buuure!!
 
Rione rinavoropoka utadhani jiwe!! Yaani sijui limmewaroga rile jamaaa!!

Ok!! lilishakufa kitambo!!but hamkujua..

Badala yake mliongozwa na msukule ule!! Ndo maana halikuwa na utu.bali ushetani flani hivi.
Nyie ni vishetani vidogo pia
Kichapo unakipata sshv ken.ge ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…