Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Inasikitisha sana kuwa mtu kama huyu ndio waziri wa fedha na hayo ndio maelezo yake anayotoa kuhalalisha ujinga wao.
Yani kigezo cha kumtoza mtu zaidi ni kwa vile ana uwezo wa kutuma elfu 10? Alishajiuliza hiyo elfu 10 anayoona yeye ndogo huyo mtu kaipataje ama ina thamani gani kwake?
Shule hazina maji, hilo linakuaje suala la kubebeshwa mwananchi baada ya miaka zaidi ya 50 ya kuwa madarakani serikali hiyo hiyo moja?
Sio kweli kuwa Tanzania mafuta ni bei rahisi zaidi, aende Zambia tu hapo akaone bei ya mafuta na ajabu zaidi wanapitishia mafuta hayo hapa kwetu.
Hii nchi tumekalia udaku wa kina Mwijaku instagram wakati mambo ya msingi yanachukuliwa kiwepesi wepesi tu.
Yani kigezo cha kumtoza mtu zaidi ni kwa vile ana uwezo wa kutuma elfu 10? Alishajiuliza hiyo elfu 10 anayoona yeye ndogo huyo mtu kaipataje ama ina thamani gani kwake?
Shule hazina maji, hilo linakuaje suala la kubebeshwa mwananchi baada ya miaka zaidi ya 50 ya kuwa madarakani serikali hiyo hiyo moja?
Sio kweli kuwa Tanzania mafuta ni bei rahisi zaidi, aende Zambia tu hapo akaone bei ya mafuta na ajabu zaidi wanapitishia mafuta hayo hapa kwetu.
Hii nchi tumekalia udaku wa kina Mwijaku instagram wakati mambo ya msingi yanachukuliwa kiwepesi wepesi tu.