Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una point lakini uandishi wako unahatarisha afya zetu. MWIGURU MWIGURU ndio utumbo ganiMwiguru anapaswa kuja na mpangonwa Serikali wa kupunguza matumizi, Hii Serikali ina matumizi makubwa sana.
Bajeti yenyewe % kubwa ni matumizi ya kawaida...
Kuna Shule zinakusanya watoto mpaka 1500 au 1000 na Shule haina maji wanaambiwa waende Shule na kidumu cha maji, sasa tunafanyaje ili maji yapatikane? ndio maana kuna uwepo wa kukatwa Tsh. tano kila unapotuma hela kwa ajili ya huu mfuko wa mshikamano"———Mwigulu via Clouds360
YaaniCCM mmekosa kabisa mtu wa kuongoza wizara ya fedha?
Majizi FundSolidarity fund na majizi, wahuni na mafisadi!?
Alikubaliana na wana DAR YOUNG AFRICANS (YANGA) pamoja na WAPIGA KURA wa Jimboni kwake!Amekubaliana na nani hilo jambo? Wananchi walikubali? Ipo siku CCM itaanguka.
Ni majangili tupuSolidarity fund na majizi, wahuni na mafisadi!?
Yaani mwenye kipato 10000 anachanga kama mwenye kipato 10m halafu mnaiita solidarity fund? Mshikamano gani huu wa kinyonyaji?"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”....
Umeongea point tupu mkuu maana gharama zipo hapo kwenye uendeshaji wa serikali ambayo ni kubwa snBadala ya kuvifuta vyeo vya kipuuzi kama vya wakuu wa mikoa na wilaya, kuondoa wabunge wa viti maalum na wale wa kuteuliwa! Kuondoa vyeo vya Ma Ras na Ma das, kupeleka mswada wa kupunguza posho nono wanazolipwa bungeni!...
Ndo maana hakuna justification yoyote ya kumtoza mfanyakazi PAYE kwenye mshahara wake wakati akija kununua bidhaa na kulipia huduma anakatwa VAT na sasa anaongezewa ungese mwingine wa solidarity fund, walishatuona mabwege mb.wa hawa.....Kwa nini katika hizi nchi masikini takataka pamoja na vichaa ndiyo wanakuwa viongozi?!
Kwa nini nikatwe kodi kwenye income ambayo tayari nilishakatwa kodi?Hela ambayo nataka nimtumie Mama yangu kule kijijini ni income ambayo tayari TRA walishachukua chao.Nawaambia tena,mtu mweusi ni Kima aliechangamka!🐒🐒🐒