Waziri Mwigulu na wachumi wenzako mnalihujumu taifa, rudini mezani

Waziri Mwigulu na wachumi wenzako mnalihujumu taifa, rudini mezani

Wakipiga risasi semeni maji
Mkifa sandeni semeni basi
Mkuu hii unanikumbusha mwamba mzee wa fiksi na saundi Kinjeketile Ngwale alivyowaingiza wadau chaka eti wakisema maji risasi zinayeyuka.

Maaamaeee kumbe vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka hewani kwa kasi ya ajabu na ya hatarii vikiingia tu mwilinini you got a severe room temperature challenges.

Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa!
 
Kwani kulikuwa na lazima ya kubadili Kila kitu muonekane mnaenda kinyume na Mwendazake? Mmeyafukunyua Sasa, yetu macho na bado la corona ndo litawacost zaidi.
 
Mwigulu Nchemba anakuharibia maana hakuna sehemu amewahi kuwepo na kufanya jambo la maana zaidi ya kujenga chuki na mwisho wa siku lawama zinaenda kwa aliyemteua.

Mwigulu anayafanya haya akifikiri anakufurahisha lakini sidhani kama anakufurahisha bali anakupa mtihani katika Serikali yako.

Kama Serikali imeweza kuwasamehe wahujumu uchumi mabilioni ya fedha waliyoiibia Serikali inakuwaje Serikali hiyohiyo inakwapua kile kidogo cha mwananchi wa kawaida tena kimabavu kabisa.

Mh Rais SSH huyu waziri Mwigulu Lameck Nchemba hapaswi kuwepo katika ofisi yoyote ya Umma.
 
Ww mzee wa mizimu hizo tozo ni za kawaida tu na mshambiwa zinaenda kusaidia watu wa vijijini
Nafikiri Waziri wa Fedha, Dr. Mwigulu Lameck Nchemba na wataalamu wenzake wameshindwa kufanya utafiti makini kujua sababu kuu ya Benki kuanguka huku soko la miamala ya mtandaoni likiimarika kwa kiwango kizuri. Wao kwa uelewa wao wameaminishwa kwamba miamala ya kibenki imepungua kwakuwa tozo za benki zilikuwa kubwa, na njia sahihi wakaona ni bora kupunguza tozo hizo za benki.

Hatua ya pili wakaona soko la miamala ya kimtandao limeimarika ambapo uchumi wa Tanzania kwa sehemu kubwa umeshikiliwa kwenye (Mpesa, Tigopesa, Halopesa, Airtel Money nk) hivyo ili kurudisha uhai wa bank wakaona bora wapandishe tozo huku mara mbili ya tozo za awali. Wakiamini watu watarudi kwenye bank. Hili ni kosa kubwa wamelifanya, hawakutaka kuumiza vichwa vya kujiridhisha ni uchumi wa aina gani hasa uko kwenye hii miamala ya kimtandao. Utafiti usio rasmi ni kuwa miamala ya simu inatumiwa na kundi kubwa la masikini katika nchi ambao vipato vyao ni chini ya mstari wa umasikini unaotambuliwa na Umoja wa Mataifa under poverty line wanaoishi chini ya dola 5.50 kwa siku.

Utafiti usio rasmi unaonyesha kuwa kwa miaka mingi Mabenki ya Tanzania ni adui wa masikini na kwa Tanzania masikini ni 91.80% ndio wanaishi chini 5.50 na ndio wanamiliki uchumi na miamala ya simu. Leo Bibi yangu Mgulwa kule kijijini Maduma hawezi kwenda bank wala hana uwezi wa kumiliki account ya benki ili nimtumie 10,000 ya sukari badala yake nitalazimika kugonga kokoto huku Mbutu ili nipate 15,000 nimtumie Bibi yangu kwa Tigo Pesa.

Kwa miaka 15 hivi huduma hii ya miama ya kimtandao imekuwa mkombozi wa kundi hili la masikini. Leo unawafungia huduma hii ili waende bank ambazo nyingi zimefunga matawi yake kutokana na utawala dharimu uliopita na sasa Benki hizo ziko Dar tu na huduma za kibenki zenyewe ni mbovu kupita maelezo. Unataraji ukuze uchumi au uangushe zaidi uchumi? Njia bora ilitakiwa Mabenki hayo yaingie kwenye ushindani na mitandao ya simu kwakubuni njia anuwai za kimasoko na si kutegemea mkono wa serikali iwabebe, biashara ni ushindani, serikali itafute vyanzo vingine vya mapato katika madini, misitu, uvuvi, bandari nk... Badala ya kuendelea kumnyonya huyu masikini wa chini.

View attachment 1854541View attachment 1854543View attachment 1854544View attachment 1854545
 
Nafikiri Waziri wa Fedha, Dr. Mwigulu Lameck Nchemba na wataalamu wenzake wameshindwa kufanya utafiti makini kujua sababu kuu ya Benki kuanguka huku soko la miamala ya mtandaoni likiimarika kwa kiwango kizuri. Wao kwa uelewa wao wameaminishwa kwamba miamala ya kibenki imepungua kwakuwa tozo za benki zilikuwa kubwa, na njia sahihi wakaona ni bora kupunguza tozo hizo za benki.

Hatua ya pili wakaona soko la miamala ya kimtandao limeimarika ambapo uchumi wa Tanzania kwa sehemu kubwa umeshikiliwa kwenye (Mpesa, Tigopesa, Halopesa, Airtel Money nk) hivyo ili kurudisha uhai wa bank wakaona bora wapandishe tozo huku mara mbili ya tozo za awali. Wakiamini watu watarudi kwenye bank. Hili ni kosa kubwa wamelifanya, hawakutaka kuumiza vichwa vya kujiridhisha ni uchumi wa aina gani hasa uko kwenye hii miamala ya kimtandao. Utafiti usio rasmi ni kuwa miamala ya simu inatumiwa na kundi kubwa la masikini katika nchi ambao vipato vyao ni chini ya mstari wa umasikini unaotambuliwa na Umoja wa Mataifa under poverty line wanaoishi chini ya dola 5.50 kwa siku.

Utafiti usio rasmi unaonyesha kuwa kwa miaka mingi Mabenki ya Tanzania ni adui wa masikini na kwa Tanzania masikini ni 91.80% ndio wanaishi chini 5.50 na ndio wanamiliki uchumi na miamala ya simu. Leo Bibi yangu Mgulwa kule kijijini Maduma hawezi kwenda bank wala hana uwezi wa kumiliki account ya benki ili nimtumie 10,000 ya sukari badala yake nitalazimika kugonga kokoto huku Mbutu ili nipate 15,000 nimtumie Bibi yangu kwa Tigo Pesa.

Kwa miaka 15 hivi huduma hii ya miama ya kimtandao imekuwa mkombozi wa kundi hili la masikini. Leo unawafungia huduma hii ili waende bank ambazo nyingi zimefunga matawi yake kutokana na utawala dharimu uliopita na sasa Benki hizo ziko Dar tu na huduma za kibenki zenyewe ni mbovu kupita maelezo. Unataraji ukuze uchumi au uangushe zaidi uchumi? Njia bora ilitakiwa Mabenki hayo yaingie kwenye ushindani na mitandao ya simu kwakubuni njia anuwai za kimasoko na si kutegemea mkono wa serikali iwabebe, biashara ni ushindani, serikali itafute vyanzo vingine vya mapato katika madini, misitu, uvuvi, bandari nk... Badala ya kuendelea kumnyonya huyu masikini wa chini.

View attachment 1854541View attachment 1854543View attachment 1854544View attachment 1854545
Kwa hiyo hoja yako ni ipi maana hueleweki.

Pili utafiti umefanywa na kujua volume ya transactions kwa mwaka ndio uamzi ukafikiwa.

Sijui mtoa mada wewe unataka kusema kwamba ukitozwa 3500 kwenye 250,000 uchumi wako utakufa? Acha kulia lia Mzee.
 
Kwenye mazingira ambayo uchumi ni ngumu na mambo yanatakiwa kwenda kodi kama hizi ni lazima ziwekwe maana hutozwi kwa lazima bali pindi utakapotumia miamala
 
Unachekesha sana!

Swali la kujiuliza kwani hayo makato yanaenda mfukoni mwa Mwigulu au yanaenda kusaidia ndugu zako walioko kijijini na mjini?

Waswahili wanasema nguo ya kuazima haifichi makalio. Maendeleo ya Watanzania yalikuwa yanategemea zaidi misaaada kutoka ktk kodi za mataifa mengine, sasa leo hii watanzania wanazoweshwa kujitegemea kwa kuchangia maendeleo yao wenyewe ww unaleta ngojera?

Kwa hiyo unataka maendeleo ya Watanzania yachangiwe na watu wa nchi za Ulaya? Ahhh! kweli ulizoea kitonga, sasa ndio mjue kwa nn wazungu wakali na pesa zao wanapo zitoa kama mikopo kwa mataifa ya kiafrika, ni kwa sababu Raia wao wanjinyima kutoka ktk makato ya kodi.

Sasa leo hii kodi kidogo tu tunaanza kulia, mbona nchi ikiwa inakopa kulimbikiza madeni hampigi kelele kuwa nchi yetu inakopa sana?!
safari hii Watanzania tumeamua kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe, Chadema kama hawataki wahame nchi.
Kijijini kwako kumenufaika Vipi na hizi kodi, mbona hakuna lami, maji na hata umeme tu, acha unafiki!
 
Unachekesha sana!

Swali la kujiuliza kwani hayo makato yanaenda mfukoni mwa Mwigulu au yanaenda kusaidia ndugu zako walioko kijijini na mjini?

Waswahili wanasema nguo ya kuazima haifichi makalio. Maendeleo ya Watanzania yalikuwa yanategemea zaidi misaaada kutoka ktk kodi za mataifa mengine, sasa leo hii watanzania wanazoweshwa kujitegemea kwa kuchangia maendeleo yao wenyewe ww unaleta ngojera?

Kwa hiyo unataka maendeleo ya Watanzania yachangiwe na watu wa nchi za Ulaya? Ahhh! kweli ulizoea kitonga, sasa ndio mjue kwa nn wazungu wakali na pesa zao wanapo zitoa kama mikopo kwa mataifa ya kiafrika, ni kwa sababu Raia wao wanjinyima kutoka ktk makato ya kodi.

Sasa leo hii kodi kidogo tu tunaanza kulia, mbona nchi ikiwa inakopa kulimbikiza madeni hampigi kelele kuwa nchi yetu inakopa sana?!
safari hii Watanzania tumeamua kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe, Chadema kama hawataki wahame nchi.
Alieshiba hamkumbuki mwenye njaa[emoji3525]
 
Mwigulu ni bonge la boya, nitamshangaa sana kama na yeye autaka uraisi 2025!
 
Sasahivi tuna serikali ya ujanja ujanja

Kodi zingekuwa zinatumika ipasavyo hakuna shida

Ila kwa matumizi haya ya Dar-Dodoma kila siku kujaza mafuta mawaziri kukimbizana tu hapana

Mimi pesa yangu yeyote kama unanidai kama hakuna account bank sikulipi pia na wewe usinilipe kama hauwezi kuniletea au kulipia bank!!
Subirini dawa iwaingie.
 
Nafikiri Waziri wa Fedha, Dr. Mwigulu Lameck Nchemba na wataalamu wenzake wameshindwa kufanya utafiti makini kujua sababu kuu ya Benki kuanguka huku soko la miamala ya mtandaoni likiimarika kwa kiwango kizuri. Wao kwa uelewa wao wameaminishwa kwamba miamala ya kibenki imepungua kwakuwa tozo za benki zilikuwa kubwa, na njia sahihi wakaona ni bora kupunguza tozo hizo za benki.

Hatua ya pili wakaona soko la miamala ya kimtandao limeimarika ambapo uchumi wa Tanzania kwa sehemu kubwa umeshikiliwa kwenye (Mpesa, Tigopesa, Halopesa, Airtel Money nk) hivyo ili kurudisha uhai wa bank wakaona bora wapandishe tozo huku mara mbili ya tozo za awali. Wakiamini watu watarudi kwenye bank. Hili ni kosa kubwa wamelifanya, hawakutaka kuumiza vichwa vya kujiridhisha ni uchumi wa aina gani hasa uko kwenye hii miamala ya kimtandao. Utafiti usio rasmi ni kuwa miamala ya simu inatumiwa na kundi kubwa la masikini katika nchi ambao vipato vyao ni chini ya mstari wa umasikini unaotambuliwa na Umoja wa Mataifa under poverty line wanaoishi chini ya dola 5.50 kwa siku.

Utafiti usio rasmi unaonyesha kuwa kwa miaka mingi Mabenki ya Tanzania ni adui wa masikini na kwa Tanzania masikini ni 91.80% ndio wanaishi chini 5.50 na ndio wanamiliki uchumi na miamala ya simu. Leo Bibi yangu Mgulwa kule kijijini Maduma hawezi kwenda bank wala hana uwezi wa kumiliki account ya benki ili nimtumie 10,000 ya sukari badala yake nitalazimika kugonga kokoto huku Mbutu ili nipate 15,000 nimtumie Bibi yangu kwa Tigo Pesa.

Kwa miaka 15 hivi huduma hii ya miama ya kimtandao imekuwa mkombozi wa kundi hili la masikini. Leo unawafungia huduma hii ili waende bank ambazo nyingi zimefunga matawi yake kutokana na utawala dharimu uliopita na sasa Benki hizo ziko Dar tu na huduma za kibenki zenyewe ni mbovu kupita maelezo. Unataraji ukuze uchumi au uangushe zaidi uchumi? Njia bora ilitakiwa Mabenki hayo yaingie kwenye ushindani na mitandao ya simu kwakubuni njia anuwai za kimasoko na si kutegemea mkono wa serikali iwabebe, biashara ni ushindani, serikali itafute vyanzo vingine vya mapato katika madini, misitu, uvuvi, bandari nk... Badala ya kuendelea kumnyonya huyu masikini wa chini.

View attachment 1854541View attachment 1854543View attachment 1854544View attachment 1854545
Neno moja "Financial inclusion". Kuna projects nyingi Sana zinafanywa na mashirika ya kifedha ya ndani na ya kimataifa kuhusu financial inclusion yaan kuleta awareness watu wengi hasa wa kipato Cha chini ambao hawafikiwi na Banks kuweza kujumuishwa kwenye sekta ya fedha..lakini tozo hizo zinarudisha nyuma badala ya kupush ..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
VP was the wrong choice.

Rais alihitaji mtu mzoefu kama VP sio huyu wa sasa.
 
Back
Top Bottom