Waziri Mwigulu na wachumi wenzako mnalihujumu taifa, rudini mezani

Wakipiga risasi semeni maji
Mkifa sandeni semeni basi
Mkuu hii unanikumbusha mwamba mzee wa fiksi na saundi Kinjeketile Ngwale alivyowaingiza wadau chaka eti wakisema maji risasi zinayeyuka.

Maaamaeee kumbe vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka hewani kwa kasi ya ajabu na ya hatarii vikiingia tu mwilinini you got a severe room temperature challenges.

Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa!
 
Kwani kulikuwa na lazima ya kubadili Kila kitu muonekane mnaenda kinyume na Mwendazake? Mmeyafukunyua Sasa, yetu macho na bado la corona ndo litawacost zaidi.
 
Mwigulu Nchemba anakuharibia maana hakuna sehemu amewahi kuwepo na kufanya jambo la maana zaidi ya kujenga chuki na mwisho wa siku lawama zinaenda kwa aliyemteua.

Mwigulu anayafanya haya akifikiri anakufurahisha lakini sidhani kama anakufurahisha bali anakupa mtihani katika Serikali yako.

Kama Serikali imeweza kuwasamehe wahujumu uchumi mabilioni ya fedha waliyoiibia Serikali inakuwaje Serikali hiyohiyo inakwapua kile kidogo cha mwananchi wa kawaida tena kimabavu kabisa.

Mh Rais SSH huyu waziri Mwigulu Lameck Nchemba hapaswi kuwepo katika ofisi yoyote ya Umma.
 
Ww mzee wa mizimu hizo tozo ni za kawaida tu na mshambiwa zinaenda kusaidia watu wa vijijini
 
Kwa hiyo hoja yako ni ipi maana hueleweki.

Pili utafiti umefanywa na kujua volume ya transactions kwa mwaka ndio uamzi ukafikiwa.

Sijui mtoa mada wewe unataka kusema kwamba ukitozwa 3500 kwenye 250,000 uchumi wako utakufa? Acha kulia lia Mzee.
 
Kwenye mazingira ambayo uchumi ni ngumu na mambo yanatakiwa kwenda kodi kama hizi ni lazima ziwekwe maana hutozwi kwa lazima bali pindi utakapotumia miamala
 
Kijijini kwako kumenufaika Vipi na hizi kodi, mbona hakuna lami, maji na hata umeme tu, acha unafiki!
 
Alieshiba hamkumbuki mwenye njaa[emoji3525]
 
Mwigulu ni bonge la boya, nitamshangaa sana kama na yeye autaka uraisi 2025!
 
Subirini dawa iwaingie.
 
Neno moja "Financial inclusion". Kuna projects nyingi Sana zinafanywa na mashirika ya kifedha ya ndani na ya kimataifa kuhusu financial inclusion yaan kuleta awareness watu wengi hasa wa kipato Cha chini ambao hawafikiwi na Banks kuweza kujumuishwa kwenye sekta ya fedha..lakini tozo hizo zinarudisha nyuma badala ya kupush ..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
VP was the wrong choice.

Rais alihitaji mtu mzoefu kama VP sio huyu wa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…