Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Unaota wewe,soma hiyo 👇.4.5T zinamwagwa mtaani kuchochea uchumiMwigulu Nchemba anakuharibia maana hakuna sehemu amewahi kuwepo na kufanya jambo la maana zaidi ya kujenga chuki na mwisho wa siku lawama zinaenda kwa aliyemteua.
Mwigulu anayafanya haya akifikiri anakufurahisha lakini sidhani kama anakufurahisha bali anakupa mtihani katika Serikali yako.
Kama Serikali imeweza kuwasamehe wahujumu uchumi mabilioni ya fedha waliyoiibia Serikali inakuwaje Serikali hiyohiyo inakwapua kile kidogo cha mwananchi wa kawaida tena kimabavu kabisa.
Mh Rais SSH huyu waziri Mwigulu Lameck Nchemba hapaswi kuwepo katika ofisi yoyote ya Umma.
Dua la kuku,hizo kelele zenu ni za wiki 2 kwisha kama mafuta umeona nini kimebadilika?Kwani kulikuwa na lazima ya kubadili Kila kitu muonekane mnaenda kinyume na Mwendazake? Mmeyafukunyua Sasa, yetu macho na bado la corona ndo litawacost zaidi.
Nyie ndo wapotoshaji wakubwa mmemeza theory tu,hamjui uhalisia ni kitu kingine.Hiyo hell hata ukiiachia kwenye mzunguko itamsaidia Nini mwananchi anayesubiri mvua inyeshe alime avune asubiri mwaka mwingine,na ndo wananchi waliowengi.Dua la kuku,hizo kelele zenu ni za wiki 2 kwisha kama mafuta umeona nini kimebadilika?
Saizi serikali inachanja mbugha na maendeleo
View attachment 1855528
View attachment 1855529
View attachment 1855530
View attachment 1855531
Wewe ndio mjinga. Kila mtu akibakiwa na vihela vyake kidogo havina tija kwa Taifa kama vikikusanywa kwa pamoja ndio maana utaona zitajenga barabara,zitajenga shule,zitaleta,maji na hospital..Hiyo sio msaada?Nyie ndo wapotoshaji wakubwa mmemeza theory tu,hamjui uhalisia ni kitu kingine.Hiyo hell hata ukiiachia kwenye mzunguko itamsaidia Nini mwananchi anayesubiri mvua inyeshe alime avune asubiri mwaka mwingine,na ndo wananchi waliowengi.
Huku Bei ya bedhaa dukani imepaa juu,Bei ya mbolea juu,nauli juu,gharama za mitandao juu.Kila Kona watu wanalaani wewe unakuja na porojo.
Hovyo kabisa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe ndio mjinga. Kila mtu akibakiwa na vihela vyake kidogo havina tija kwa Taifa kama vikikusanywa kwa pamoja ndio maana utaona zitajenga barabara,zitajenga shule,zitaleta,maji na hospital..Hiyo sio msaada?
Kwenye pombe ni mbinu ya kiuchumi kwamba mtakunywa Sana na gvt itapata pesa zaidi yaani wanawarudishia furaha.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haya mchumi hodari unapunguza Kodi kwenye kubeti,pombe vyitu luxury,unaongeza Kodi kwenye mafuta kitu ambacho ni Cha lazima,Bibi yako kijijini anahitaji mafuta ya taa,bodaboda nk.labda Kama umekulia Masaki,ila Kama ni huyu mchunga ng'ombe mwenzangu asingefanya upuuzi huu.