Waziri Mwigulu Nchemba, nani kakutuma umchonganishe Rais na wananchi wake? Hautafanikiwa...

Waziri Mwigulu Nchemba, nani kakutuma umchonganishe Rais na wananchi wake? Hautafanikiwa...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na mambo mengine, ni mkuu wa nchi na mkuu wa Serikali. Kuongoza nchi na Serikali ni kuongoza watanzania wote: furaha na karaha zao huelekezwa kwa Rais. Mazuri yao na mabaya kwao wananchi husemwa kuwa yametokana na uongozi wa Rais aliye madarakani. Kwasasa, Rais wetu mpendwa ni Mama Samia Suluhu Hassan. Yeye ndiye dira yetu, nguzo yetu, tegemeo letu na nembo yetu.

Katika kutekeleza majukumu yake, Rais huwa na wasaidizi wake. Wapo wanaochaguliwa; wanaoteuliwa na hata anaowakuta anapoingia madarakani. Mawaziri ni kati ya wasaidizi wa Rais. Wao hubeba na kuzitekeleza ajenda/sera za Rais katika Wizara zao na kuzisimamia. Mawaziri ni mikono ya Rais. Mikono hiyo inapofurahisha, wananchi humfurahia Rais. Inapoumiza, wananchi humlalamikia na 'kumchukia' Rais.

Waziri wa Fedha, Daktari wa Falsafa Mwigulu Nchemba amekuwa gumzo lenye mzozo na kodi zake za miamala ya fedha kimtandao na hata kupanda kwa tozo kwenye mafuta na bidhaa nyinginezo. Amekosolewa na anaendelea kukosolewa kwa sauti kuu ya wananchi pamoja na kuziita kodi hizo kuwa ni kodi za kizalendo. Ajue kuwa uzalendo huwa haulazimishwi. Uzalendo ni uhiyari na utayari. Kulazimisha kodi si kulazimisha uzalendo. Ni kuubomoa.

Waziri Nchemba ameteleza. Amekosea pakubwa kwenye kodi husika. Amekaribisha madhara makubwa ikiwemo kupanda kwa gharama za maisha na hasara yenye hasira kwa wahusika wa huduma za kifedha. Wananchi wanaweza kuwa na 'mgomo' kwenye matumizi ya huduma hizo. Huduma zitaathirika na hata kufa. Uwekezaji utaathirika. Hasira na chuki kwa Rais. Uchonganishi. Bidhaa na huduma zitapanda bei. Maisha yatakuwa magumu. Hasira kwa Rais. Uchonganishi.

Nani hasa amekutuma huku akihema Waziri Nchemba umchonganishe Rais na wananchi wake? Kwa lengo lipi? Kwa faida ya nani? Ili iweje? Waziri Nchemba, amini nakwambia, hautafanikiwa. Rais Samia hatakubali kuchonganishwa na wananchi wake kupitia kodi na tozo. Atachukua hatua. Atajilinda. Atajitetea. Ataibuka mshindi. Lengo lako limeshajianika, halitafanikiwa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na mambo mengine, ni mkuu wa nchi na mkuu wa Serikali. Kuongoza nchi na Serikali ni kuongoza watanzania wote: furaha na karaha zao huelekezwa kwa Rais. Mazuri yao na mabaya kwao wananchi husemwa kuwa yametokana na uongozi wa Rais aliye madarakani. Kwasasa, Rais wetu mpendwa ni Mama Samia Suluhu Hassan. Yeye ndiye dira yetu, nguzo yetu, tegemeo letu na nembo yetu.

Katika kutekeleza majukumu yake, Rais huwa na wasaidizi wake. Wapo wanaochaguliwa; wanaoteuliwa na hata anaowakuta anapoingia madarakani. Mawaziri ni kati ya wasaidizi wa Rais. Wao hubeba na kuzitekeleza ajenda/sera za Rais katika Wizara zao na kuzisimamia. Mawaziri ni mikono ya Rais. Mikono hiyo inapofurahisha, wananchi humfurahia Rais. Inapoumiza, wananchi humlalamikia na 'kumchukia' Rais.

Waziri wa Fedha, Daktari wa Falsafa Mwigulu Nchemba amekuwa gumzo lenye mzozo na kodi zake za miamala ya fedha kimtandao na hata kupanda kwa tozo kwenye mafuta na bidhaa nyinginezo. Amekosolewa na anaendelea kukosolewa kwa sauti kuu ya wananchi pamoja na kuziita kodi hizo kuwa ni kodi za kizalendo. Ajue kuwa uzalendo huwa haulazimishwi. Uzalendo ni uhiyari na utayari. Kulazimisha kodi si kulazimisha uzalendo. Ni kuubomoa.

Waziri Nchemba ameteleza. Amekosea pakubwa kwenye kodi husika. Amekaribisha madhara makubwa ikiwemo kupanda kwa gharama za maisha na hasara yenye hasira kwa wahusika wa huduma za kifedha. Wananchi wanaweza kuwa na 'mgomo' kwenye matumizi ya huduma hizo. Huduma zitaathirika na hata kufa. Uwekezaji utaathirika. Hasira na chuki kwa Rais. Uchonganishi. Bidhaa na huduma zitapanda bei. Maisha yatakuwa magumu. Hasira kwa Rais. Uchonganishi.

Nani hasa amekutuma huku akihema Waziri Nchemba umchonganishe Rais na wananchi wake? Kwa lengo lipi? Kwa faida ya nani? Ili iweje? Waziri Nchemba, amini nakwambia, hautafanikiwa. Rais Samia hatakubali kuchonganishwa na wananchi wake kupitia kodi na tozo. Atachukua hatua. Atajilinda. Atajitetea. Ataibuka mshindi. Lengo lako limeshajianika, halitafanikiwa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Watu walipe kodi.Acheni lia lia
 
The fish rots from the head down
- Chinese proverb -

Kutokufanikiwa kwa malengo ya kampuni au nchi, uongozi hauwezi kukwepa lawama, wao ndio chanzo.

Waziri ni sehemu ndogo tu ya tatizo kubwa zaidi.
 
Tatizo ni wabunge wetu wanaodhani wanakipigania chama kwanza badala ya wananchi kwanza. Hata tunayoyaona leo yameanza na mapendekezo ya wabunge hasa Zungu . Ipo clip nashindwa kuiapload humu. Wabunge wetu ni wabaya sana labda kwa kuwa wanaogelea mamilioni wanafikiri wananchi wote wako kama wao.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na mambo mengine, ni mkuu wa nchi na mkuu wa Serikali. Kuongoza nchi na Serikali ni kuongoza watanzania wote: furaha na karaha zao huelekezwa kwa Rais. Mazuri yao na mabaya kwao wananchi husemwa kuwa yametokana na uongozi wa Rais aliye madarakani. Kwasasa, Rais wetu mpendwa ni Mama Samia Suluhu Hassan. Yeye ndiye dira yetu, nguzo yetu, tegemeo letu na nembo yetu.

Katika kutekeleza majukumu yake, Rais huwa na wasaidizi wake. Wapo wanaochaguliwa; wanaoteuliwa na hata anaowakuta anapoingia madarakani. Mawaziri ni kati ya wasaidizi wa Rais. Wao hubeba na kuzitekeleza ajenda/sera za Rais katika Wizara zao na kuzisimamia. Mawaziri ni mikono ya Rais. Mikono hiyo inapofurahisha, wananchi humfurahia Rais. Inapoumiza, wananchi humlalamikia na 'kumchukia' Rais.

Waziri wa Fedha, Daktari wa Falsafa Mwigulu Nchemba amekuwa gumzo lenye mzozo na kodi zake za miamala ya fedha kimtandao na hata kupanda kwa tozo kwenye mafuta na bidhaa nyinginezo. Amekosolewa na anaendelea kukosolewa kwa sauti kuu ya wananchi pamoja na kuziita kodi hizo kuwa ni kodi za kizalendo. Ajue kuwa uzalendo huwa haulazimishwi. Uzalendo ni uhiyari na utayari. Kulazimisha kodi si kulazimisha uzalendo. Ni kuubomoa.

Waziri Nchemba ameteleza. Amekosea pakubwa kwenye kodi husika. Amekaribisha madhara makubwa ikiwemo kupanda kwa gharama za maisha na hasara yenye hasira kwa wahusika wa huduma za kifedha. Wananchi wanaweza kuwa na 'mgomo' kwenye matumizi ya huduma hizo. Huduma zitaathirika na hata kufa. Uwekezaji utaathirika. Hasira na chuki kwa Rais. Uchonganishi. Bidhaa na huduma zitapanda bei. Maisha yatakuwa magumu. Hasira kwa Rais. Uchonganishi.

Nani hasa amekutuma huku akihema Waziri Nchemba umchonganishe Rais na wananchi wake? Kwa lengo lipi? Kwa faida ya nani? Ili iweje? Waziri Nchemba, amini nakwambia, hautafanikiwa. Rais Samia hatakubali kuchonganishwa na wananchi wake kupitia kodi na tozo. Atachukua hatua. Atajilinda. Atajitetea. Ataibuka mshindi. Lengo lako limeshajianika, halitafanikiwa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)



Yaani hapa unamaanisha Waziri amefanya maamuzi ya kuongeza kodi bila rais kujua?
Unawazaje hivyo lakini🤣 Pole lakini
 
IMG-20210715-WA0094.jpg
Swala lilianzia huku, tukakaa kimyaaaa sasa limeshapita ndio tunalia

 
Ni upumbavu na ujinga kumtenga Rais na maamuzi haya ya kodi!

Kila kitu lazima kipitie kwenye balaza la mawaziri!

Sifikiri kama Mwigulu kajiamulia tu
 
Ni upumbavu na ujinga kumtenga Rais na maamuzi haya ya kodi!

Kila kitu lazima kipitie kwenye balaza la mawaziri!

Sifikiri kama Mwigulu kajiamulia tu
Umeongea vizuri mkuu..kuna trend humu ya kumdekia rais kila sehemu anayopita na viatu vichafu,sijui ni chuki dhidi ya mtangulizi wake au wanamuona dhaifu sana
 
Msimsingizie Mwigulu! Jambo kama la kodi mpaka linaletwa bungeni kwenye vikao vya baraza la mawaziri lishapitishwa!

Huyo Rais alimteua mshauri wake wa masuala ya kiuchumi anafanya kazi gani? Au anakula mshahara wa bure?
Hii bajeti iliandaliwa na Namba 2, Mwigulu aliisoma tu, maana aliikuta ndio maana anakosa pointi za kueleweka kuitetea.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na mambo mengine, ni mkuu wa nchi na mkuu wa Serikali. Kuongoza nchi na Serikali ni kuongoza watanzania wote: furaha na karaha zao huelekezwa kwa Rais. Mazuri yao na mabaya kwao wananchi husemwa kuwa yametokana na uongozi wa Rais aliye madarakani. Kwasasa, Rais wetu mpendwa ni Mama Samia Suluhu Hassan. Yeye ndiye dira yetu, nguzo yetu, tegemeo letu na nembo yetu.

Katika kutekeleza majukumu yake, Rais huwa na wasaidizi wake. Wapo wanaochaguliwa; wanaoteuliwa na hata anaowakuta anapoingia madarakani. Mawaziri ni kati ya wasaidizi wa Rais. Wao hubeba na kuzitekeleza ajenda/sera za Rais katika Wizara zao na kuzisimamia. Mawaziri ni mikono ya Rais. Mikono hiyo inapofurahisha, wananchi humfurahia Rais. Inapoumiza, wananchi humlalamikia na 'kumchukia' Rais.

Waziri wa Fedha, Daktari wa Falsafa Mwigulu Nchemba amekuwa gumzo lenye mzozo na kodi zake za miamala ya fedha kimtandao na hata kupanda kwa tozo kwenye mafuta na bidhaa nyinginezo. Amekosolewa na anaendelea kukosolewa kwa sauti kuu ya wananchi pamoja na kuziita kodi hizo kuwa ni kodi za kizalendo. Ajue kuwa uzalendo huwa haulazimishwi. Uzalendo ni uhiyari na utayari. Kulazimisha kodi si kulazimisha uzalendo. Ni kuubomoa.

Waziri Nchemba ameteleza. Amekosea pakubwa kwenye kodi husika. Amekaribisha madhara makubwa ikiwemo kupanda kwa gharama za maisha na hasara yenye hasira kwa wahusika wa huduma za kifedha. Wananchi wanaweza kuwa na 'mgomo' kwenye matumizi ya huduma hizo. Huduma zitaathirika na hata kufa. Uwekezaji utaathirika. Hasira na chuki kwa Rais. Uchonganishi. Bidhaa na huduma zitapanda bei. Maisha yatakuwa magumu. Hasira kwa Rais. Uchonganishi.

Nani hasa amekutuma huku akihema Waziri Nchemba umchonganishe Rais na wananchi wake? Kwa lengo lipi? Kwa faida ya nani? Ili iweje? Waziri Nchemba, amini nakwambia, hautafanikiwa. Rais Samia hatakubali kuchonganishwa na wananchi wake kupitia kodi na tozo. Atachukua hatua. Atajilinda. Atajitetea. Ataibuka mshindi. Lengo lako limeshajianika, halitafanikiwa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Kwamba unataka kusema Mwigulu anataka kumchafua Rais. Kwamba Rais naye alisaini muswada wa sheria ya fedha ya mwaka 2021 blindly bila kujua maudhui ya muswada husika!? If that is the case basi huyu Rais ni tatizo zaidi kuliko hata huyo Waziri wake. Kwa lugha nyingine hata yeye hafai vile vile kama ambavyo Ndugai alikuwa anauliza sheria mbaya inapitaje bungeni wakati yeye ndiye Spika.
NB: nilikuwa naamini wewe una akili kipindi kile cha utawala wa JPM, lakini naona dalili zote za akili za Cyprian Musiba zikiwa kwako pia
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na mambo mengine, ni mkuu wa nchi na mkuu wa Serikali. Kuongoza nchi na Serikali ni kuongoza watanzania wote: furaha na karaha zao huelekezwa kwa Rais. Mazuri yao na mabaya kwao wananchi husemwa kuwa yametokana na uongozi wa Rais aliye madarakani. Kwasasa, Rais wetu mpendwa ni Mama Samia Suluhu Hassan. Yeye ndiye dira yetu, nguzo yetu, tegemeo letu na nembo yetu.

Katika kutekeleza majukumu yake, Rais huwa na wasaidizi wake. Wapo wanaochaguliwa; wanaoteuliwa na hata anaowakuta anapoingia madarakani. Mawaziri ni kati ya wasaidizi wa Rais. Wao hubeba na kuzitekeleza ajenda/sera za Rais katika Wizara zao na kuzisimamia. Mawaziri ni mikono ya Rais. Mikono hiyo inapofurahisha, wananchi humfurahia Rais. Inapoumiza, wananchi humlalamikia na 'kumchukia' Rais.

Waziri wa Fedha, Daktari wa Falsafa Mwigulu Nchemba amekuwa gumzo lenye mzozo na kodi zake za miamala ya fedha kimtandao na hata kupanda kwa tozo kwenye mafuta na bidhaa nyinginezo. Amekosolewa na anaendelea kukosolewa kwa sauti kuu ya wananchi pamoja na kuziita kodi hizo kuwa ni kodi za kizalendo. Ajue kuwa uzalendo huwa haulazimishwi. Uzalendo ni uhiyari na utayari. Kulazimisha kodi si kulazimisha uzalendo. Ni kuubomoa.

Waziri Nchemba ameteleza. Amekosea pakubwa kwenye kodi husika. Amekaribisha madhara makubwa ikiwemo kupanda kwa gharama za maisha na hasara yenye hasira kwa wahusika wa huduma za kifedha. Wananchi wanaweza kuwa na 'mgomo' kwenye matumizi ya huduma hizo. Huduma zitaathirika na hata kufa. Uwekezaji utaathirika. Hasira na chuki kwa Rais. Uchonganishi. Bidhaa na huduma zitapanda bei. Maisha yatakuwa magumu. Hasira kwa Rais. Uchonganishi.

Nani hasa amekutuma huku akihema Waziri Nchemba umchonganishe Rais na wananchi wake? Kwa lengo lipi? Kwa faida ya nani? Ili iweje? Waziri Nchemba, amini nakwambia, hautafanikiwa. Rais Samia hatakubali kuchonganishwa na wananchi wake kupitia kodi na tozo. Atachukua hatua. Atajilinda. Atajitetea. Ataibuka mshindi. Lengo lako limeshajianika, halitafanikiwa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

Waendelee kuongeza zaidi hasa hizi kodi za kizalendo.

Si unaona sasa hata chawa mnaongea lugha zinazoeleweka?

Mheshimiwa Zungu - leta nyingine mhudumu anavyoleta kama tulivyo.
 
Back
Top Bottom