Waziri Mwigulu: Serikali imeomba msaada au mkopo wa trilioni 7

Hakuna asiekopa,ila kwa sasa habari za selikari zinazungumziwa zaid kuliko kipindi cha awamu iliopita,hii ni kwa sababu uhuru wa kuzungumza umekuwa huru sana,tofauti na hapo awali

Nop yaani ndani ya kipindi cha miezi 9 amekopa zaidi ya 10% ya fedha yote ya mkopo tokea awamu ya kwanza
 
Ukitoka huo mkopo ina maana ndani ya miezi 9 tutakua tumekopa 17trilion kama deni la nje. Hio trend unaona nzuri? Magufuli alikopa kwa akili na vitu alivyofanya vimeonekana.

Hiyo lugha ya vitu vimeonekana naona iliwaingia sana, sasa ndio mnatulisha wote, hivyo vitu vinaendana na alichokopa?
 
Mkuu ndiyo maana wanasema tenda mema ukiwa hai ili ukisepa watu wakuongelee mazuri. Hata Nyerere mpaka leo anaongelewa, ishu ni kuwa unaongelewa kwa mabaya au mazuri. Jiwe alikuwa muuaji na muongo sana ndiyo maana anaongelewa kwa mabaya.
Muuaji alimuua nani? Uongo upi alioufanya? Acheni chuki na propaganda za kipumbavu Kwa kipindi cha Miaka 5, Magu amefanya Maendeleo makubwa kuliko awamu zote. Kama alikopa basi kilichofanyika kinaonekana kwa macho. Meli zimejengwa kwenye maziwa yote, SGR, Stieglers Gorge, lami mpaka Barabara za mitaani tena zenye viwango, madaraja, magati kwenye Bandari zetu, mambo ni mengi sana.
 

 
Na kitendawili cha mama wameshindwa kukitegu!"KUNA KIJUGU CHAPWAGA BILA YA MOTO JIKONI,SASA SIJUI KITAPWAGA NA NINI?" Kifupi nchi haina fedha za kuikamilisha miradi na chungu ni lazima kipwage.
 
https://www.bloomberg.com › articles
Tanzania to Get $3 Billion in Loans, Grants From Arab Lender


11 Dec 2021 — The decision was reached following talks between Tanzania's Finance Minister Mwigulu Nchemba and the lender's Director-General Sidi Ould Tah ...


16 December 2021
Abu Dhabi, UAE

FEDHA ZAIDI ZA KUKAMILISHA MRADI MZIMA WA UJENZI WA RELI MPYA SGR ZASAKWA

Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba na ujumbe wake wapo Abu Dhabi UAE kusaka fedha za kugharamia miundo mbinu ikiwemo michepuko ya mtandao wa reli mpya SGR kama kipande cha Tabora Kigoma n.k ( Source ITV Tanzania news)
Pia waziri huyo wa fedha wa Tanzania alifika katika Kasri ya Al Watan (Qasr Al Watan) na kuwasilisha Salaam kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kwenda kwa mwana wa mfalme wa Abu Dhabi His Highness Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan aliye pia naibu amiri jeshi mkuu wa majeshi (Crown Prince of Abu Dhabi and Deputy Supreme Commander of the Armed Forces).




His Highness Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan, Crown Prince of Abu Dhabi and Deputy Supreme Commander of the Armed Forces, received a written message from Her Excellency Samia Suluhu Hassan, President of Tanzania, regarding the development of relations between the two countries.
The message was received by His Highness Sheikh Mansour bin Zayed Al Nahyan, Deputy Prime Minister and Minister of Presidential Affairs, when His Highness received today at Qasr Al Watan His Excellency Mwigulu Nchemba, Minister of Finance and Planning of Tanzania.
During the meeting between His Highness and the Tanzanian delegation, they discussed the friendly relations between the UAE and Tanzania, development opportunities, economic partnership and enhancing trade exchange between the two countries .

Source : Mohamed bin Zayed receives Tanzanian President's note
 
Bunge lilishapitisha kitambo.
 
Mama muhuni huyu
 
Ukiambiwa na nani kwamba tozo no kwa ajili ya madarasa tuu? Shida serikali inapo table bajeti huwa mko busy kusikiliza ujinga na umbea wa machadema.

TOzo ina Kazi nyingi kama barabara Vijijini,maji,vituo vya afya na madarasa pia.
Mama anataka kufikisha Til 2.5 kwa mwezi
Very stupid pato la taifa limeshuka makusanyo yameshuka ndiyo sababu anategemea mikopo hadi jana makusanyo ya mwezi yamepungua na kuwa 46% tukifika mwezi wa 8 mwaka huu makusanyo ya mwezi yatakuwa 30% tu
 
Magufuli ameacha deni la sh. Ngapi? Na mbna waziri wa Fedha kipindi hicho alikua anatoa takwimu za deni la Taifa? Ukiona jambo linaongelewa sana ujue kuna shida- Akili mtu Wangu
Ndani ya miezi 9 amevuka nusu ya deni la JPM la miaka 6…hili unaliongeleaje..
Na Magufuli ambae ndani ya miaka mitano amekopa kiasi sawa na alichokopa Jakaya kwa miaka kumi nalo unaliongeleaje?
 
Mama anataka kufikisha Til 2.5 kwa mwezi
Very stupid pato la taifa limeshuka makusanyo yameshuka ndiyo sababu anategemea mikopo hadi jana makusanyo ya mwezi yamepungua na kuwa 46% tukifika mwezi wa 8 mwaka huu makusanyo ya mwezi yatakuwa 30% tu
Kwa upande wa makusanyo kushuka chanzo cha data zako ni nini?
Acha uongo.

TRA wanazungumzia kuvunja record wewe nae unakuja na yako.

Zungumzia kukopa labda utakuwa na ufahamu maana mama Hana siri anaweka wazi mikopo yake.
 
1:Watu wasiojulikana
2:Mauaji
3:Uongo
4:Wizi
5:Ukabila na ukanda
6:Utekwaji
Hayo ni machache, kama uko Tanzania basi waweza ongezea
Hizi ndiyo sababu ya kukopa trillions ndani ya muda mfupi?
 
Hawa wanasiasa wa Lumumba is beyond me.

Week aijaisha toka speaker wa bunge kujiuzulu kwa sababu ya kulaumu mikopo.

Na kuna watu wengi wanaodhani alikuwa na hoja; ata vuguvugu alijatulia waziri anapost akikimbizia mkopo wa trillioni 7. Huku sasa si ku justify speaker alikuwa sahihi.

Kuna ulazima kweli wa kuutangazia umma kila mara serikali inapokopa.

Only in Tanzania
 
Matumizi mzee…huwezi kuwa unajenga halafu unaendelea kula bata na kwenda vacation…
Hapo sasa !! Ndio huwa tunasema kila mara kwamba sisi kama Taifa kwa udogo wetu haiwezekani eti tuwe tunafanya kazi na kula bata !! Wanasemaga eti " kazi na Bata " !! Haiwezekani haiwezekani hata siku moja !! Falsafa ya kazi na bata katika hizi nchi ambazo tunasema bado ni changa kiuchumi ! Kazi na bata ni sawasawa na kutwanga maji kwenye kinu !!
 
Magufuli alikopa kwa akili!
Kukopa kwa akili maana yake nini?

Magufuli alikopa halafu akawa anaturubuni kila Jambo analolifanya ni kwa pesa zetu ilihali deni la taifa linakuwa.

Kinachomgharimu mama ni uwazi si vinginevyo.
Magufuli alikuwa anakopa kutoka mabenki ya ndini zaid ya kutoka nje; unakumbuka hii hapa?

 
Hakuna asiekopa,ila kwa sasa habari za selikari zinazungumziwa zaid kuliko kipindi cha awamu iliopita,hii ni kwa sababu uhuru wa kuzungumza umekuwa huru sana,tofauti na hapo awali
Kukopa siyo tatizo tatizo lina kuja hatuo matumizi ya mkopo Bora magufur alikopa tumeviona vitu alivyo viacha ata tukiambiwa mnadaiwa mlikopa pesa mkajenga reli, bwawa la umeme, daraja la surrender, busisi, barabara Morocco, kimara tutakubali kulipa kwakuwa vutu vipo tuna viona na tuna vitumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…