Waziri Mwigulu: Serikali imeomba msaada au mkopo wa trilioni 7

Waziri Mwigulu: Serikali imeomba msaada au mkopo wa trilioni 7

Speaker anaposhangaa ndio hapo na sisi huwa tunamshangaa yeye !! Kwani yeye miaka yote ile watu wanakopa yeye alikuwa wapi ?? Double standard haifai mzee !!
Tozo zinabust madarasa lakini kasi ya ukopaji inajenga madarasa pia 😁
 
Awamu ya 5 iliua uchumi gani? Si ndo tulishuhudia kufikia uchumi wa kati!!
Uchumi wa Kati tulifika toka 2015,,kilichokuwa kinasuniliwa ni kipindi cha matazamio tuu Ili kuitangaza rasmi,so hakuna cha awamu ya tano..

Pili mwenendo wa uchumi na biashara ilikuwa inashuka kila mwaka ,Tulikuwa tuwe kama Zimbabwe endapo Mwendazake angeendelea kuwa Rais.
 
Hii ni sawa na kuambiwa dadako ameshatembea na wanaume 6 hapa mtaani we unatuma madada wengine waliotembea na zaidi ya wanaume 6 😅😅😅 endelea kulinganisha ujinga. Wenzio wanakopa kwenye vitu vinavyoingiza hela kama reli ulosema ya east afrca wewe unakopa kujenga shule za elimu bure.
Cha ajabu hujui hata maana ya investment in Humana capital,umekariri madaraja na reli tuu eti ndio uwekezaji.

Mwisho kwa ujinga wenu unaotokana na ufinyu wa akili mlizonazo mumekuwa mkipinga serikali Kukopa kwa ajili miundombinu.Rais alisema atakopa kwa ajili ya miundombinu kama kawaida mkawa mnapinga yaani hamuelewi mnachotaka.
 
Wakati magufuli anakopa ndugai ama wewe ulishawahi kuinua mdomo wako kusema lolote au ndio kunya anye kuku akinya bata kaharisha?

Mzee tulikuwa hatuna shaka nae…maana aliingia kwa sera ya kubana matumizi ili tujenge nchi alifanya hivyo kwa vitendo na maneno makali na tulipomtizama machoni tukamuamini…kwahio alipokopa tuliamini inaenda kutumika ipasavyo…
 
Mama anataka kufikisha Til 2.5 kwa mwezi
Very stupid pato la taifa limeshuka makusanyo yameshuka ndiyo sababu anategemea mikopo hadi jana makusanyo ya mwezi yamepungua na kuwa 46% tukifika mwezi wa 8 mwaka huu makusanyo ya mwezi yatakuwa 30% tu
Hilo Pato na makusanyo labda vimeshuka kwenye kinyeo chako.

Tuna miradi mingi tunafanya ikiwemo iliyomshimda Mwendazake,sekta zote unazozijua wewe mambo yanaenda,imagine bajeti ya kila wizara muhimu iliongezeka mara mbili,ajira kila siku nk

Utaota Sana ndoto za kuwanga ila hakuna pa kusemea utapata.

Screenshot_20220107-064427.png


Screenshot_20220107-173944.png


Screenshot_20220107-064718.png


Screenshot_20220102-155444.png


Screenshot_20220102-155425.png


Screenshot_20220102-155026.png


Screenshot_20211224-144305.png


Screenshot_20211209-214614.png
 
Speaker anaposhangaa ndio hapo na sisi huwa tunamshangaa yeye !! Kwani yeye miaka yote ile watu wanakopa yeye alikuwa wapi ?? Double standard haifai mzee !!
Tozo zinabust madarasa lakini kasi ya ukopaji inajenga madarasa pia 😁
Cha ajabu hujui hata maana ya investment in Humana capital,umekariri madaraja na reli tuu eti ndio uwekezaji.

Mwisho kwa ujinga wenu unaotokana na ufinyu wa akili mlizonazo mumekuwa mkipinga serikali Kukopa kwa ajili miundombinu.Rais alisema atakopa kwa ajili ya miundombinu kama kawaida mkawa mnapinga yaani hamuelewi mnachotaka.
Kusema ukweli investment in HUMANA siijui. Lakini kinachowakosti ni ulambaji wa miguu na uchawa.
 
Tozo zinabust madarasa lakini kasi ya ukopaji inajenga madarasa pia 😁

Kusema ukweli investment in HUMANA siijui. Lakini kinachowakosti ni ulambaji wa miguu na uchawa.
Kina mcost nani na kivipi? Kama hujui tulia.

Pili kasi ya ukopaji ndio nini? Ndio hivyo sasa mwaka huu hakuna kuanza form 1 kwa mafungu wala kukaa chini,madarasa ya kutosha na Yako full equipment na furnitures
 
Hilo Pato na makusanyo labda vimeshuka kwenye kinyeo chako.

Tuna miradi mingi tunafanya ikiwemo iliyomshimda Mwendazake,sekta zote unazozijua wewe mambo yanaenda,imagine bajeti ya kila wizara muhimu iliongezeka mara mbili,ajira kila siku nk

Utaota Sana ndoto za kuwanga ila hakuna pa kusemea utapata.

View attachment 2078222

View attachment 2078223

View attachment 2078225

View attachment 2078226

View attachment 2078227

View attachment 2078228

View attachment 2078229

View attachment 2078230
Makolokolo meengi eti ajira kila siku. 😅😅 huna jipya tofauti na walamba miguu ya watawala.
 
Kina mcost nani na kivipi? Kama hujui tulia.

Pili kasi ya ukopaji ndio nini? Ndio hivyo sasa mwaka huu hakuna kuanza form 1 kwa mafungu wala kukaa chini,madarasa ya kutosha na Yako full equipment na furnitures
Na utawafundisha wewe kila darasa 😅😅 huna unachojua ni uchawa tu. Unafungua kiwanda huna man power? Trh 17 ni kesho tu, hayo madarasa mapya 1000+ ataingia mwalimu nani?
 
Sasa stress zako peleka kwa Mkeo,huyo ndio SSH sasa.Nikilamba miguu ya watawala wewe unawashwa wapi nikukune?
Ulambaji miguu kwa watawala mnauficha ukweli na hii imetukost kila awamu. Baya nalo akilifanya mkuu hawakosekani chawa wa kupraise 😁
 
Ukweli uweke wewe,Samia kawapa uhuru wa kuropoka.
Ungekuwepo uhuru wa kuropoka mngekuja na ngonjera kumsuta ndugai hadi kujiuzulu? Mbowe angekuwa anasota rumande na kupandshwa magari ya magereza kila siku? Hana uhuru ni porojo tu
 
Ungekuwepo uhuru wa kuropoka mngekuja na ngonjera kumsuta ndugai hadi kujiuzulu? Mbowe angekuwa anasota rumande na kupandshwa magari ya magereza kila siku? Hana uhuru ni porojo tu
Ya ccm waachie ccm,hata uhuru wa wewe kuropoka unatakiwa kumshukuru SSH,mlikuwa mumeolewa na Mwendazake nyie.
 
Tunaenda na hesabu miezi tisa mama keshakopa trillion 8.3 hizo ni ziliotangawa mjue
 
Ya ccm waachie ccm,hata uhuru wa wewe kuropoka unatakiwa kumshukuru SSH,mlikuwa mumeolewa na Mwendazake nyie.
Ya ccm tuwaachie ccm, 😅 alifanya magufuli akiwa ccm we uliyaacha? Mbona mpaka leo ashaenda zake lakini bado unamuongelea! Mikopo siyo ya ccm ni maslahi ya nchi kama ilivyo kwenye tozo. ACHA KULAMBA MIGUU YA WATU, ongelea maslahi mapana ya nchi kama katiba mpya na si ya 1977 iliyokufanya hadi umchukie Mwendazake
 
Back
Top Bottom