Waziri Mwigulu: Serikali imeomba msaada au mkopo wa trilioni 7

Zile pesa zilikua za covid relief fund na hazina riba, sasa tr 1 utajenga reli kilometa ngapi alafu utakua umemsaidia vipi mwananchi kuondokana na athari za covid? Bwawa la umeme umesha ambia malipo yalisha kamilika. Watanzania daa
 
Hiyo nafuu ina maana gani ? Nafuu yake huenda kwa sisi walipaji / wakamuliwaji ikawa ni shubiri
 
Zile pesa zilikua za covid relief fund na hazina riba, sasa tr 1 utajenga reli kilometa ngapi alafu utakua umemsaidia vipi mwananchi kuondokana na athari za covid? Bwawa la umeme umesha ambia malipo yalisha kamilika. Watanzania daa
Kitu hujui nyamaza! Mkopo bila riba nani kasema!
 
Duh, hili jamaa naona km vile linaikomoa nchi kwa kupiga maana likikumbuka kipindi liko benchi linachunga mbuzi.basi ni kupiga tu isitokee tena.
Hapo kumshauri bi swaumu ni we mama kopa tu.
Mchumi,mchumia tumbo
 
Alivyokufa Maalim Seif ni mungu kuingilia kati pia kwa mabaya yake? Mnahusisha mungu kwa ujinga tu
 
Na Magufuli ambae ndani ya miaka mitano amekopa kiasi sawa na alichokopa Jakaya kwa miaka kumi nalo unaliongeleaje?

Linganisha miradi ya maendeleo iliofanyika halafu utuelimishe km tuendelee kukopa maana ndio mmeshika tena nchi..
 
Nyie ni aina ya watu wenye akili mdogo na wajinga kabisa.

Kwa hiyo hizi Nchi hapa zilizokopa zaidi ni za kitumwa ambazo Tzn imezizidi Uchumi sio?

View attachment 2077696

View attachment 2077697
Hii ni sawa na kuambiwa dadako ameshatembea na wanaume 6 hapa mtaani we unatuma madada wengine waliotembea na zaidi ya wanaume 6 😅😅😅 endelea kulinganisha ujinga. Wenzio wanakopa kwenye vitu vinavyoingiza hela kama reli ulosema ya east afrca wewe unakopa kujenga shule za elimu bure.
 
Awamu ya 5 iliua uchumi gani? Si ndo tulishuhudia kufikia uchumi wa kati!!
 
Namuona Bashe nae katuna hahh...Shemeji bana huyo na sasa fulu Waziri wa Kilimo cha Mirungi😁
 
Kabisa!Maana kama nchi kubwa zina mikopo,wewe masikini wa kutupwa unawezaje kuipinga mikopo kama kweli una akili nzuri?.

Wenzako wanakopa ili wazalishe…wewe unakopa unawekeza kwa vitu visivyozalisha…ni sawa?!
 
Mungu alipokasirika juu ya uovu wake na kumuondosha akaacha deni kubwa kwa Taifa. Sasa ndiyo tunalipa
Mungu si katili kiasi hicho 😁😁 Maalim alifanya nini hadi mungu kumuondosha? Kufa kupo tu acha kumhusisha mungu na kifo cha magufuli. Hata wema hufa ila hatusemi ni hasira za mungu
 
Linganisha miradi ya maendeleo iliofanyika halafu utuelimishe km tuendelee kukopa maana ndio mmeshika tena nchi..
Wakati magufuli anakopa ndugai ama wewe ulishawahi kuinua mdomo wako kusema lolote au ndio kunya anye kuku akinya bata kaharisha?
 
Lini bunge la Tz, limekuwa likipitisha mikopo?kama spika tu mwenyewe kuna wakati anashangaa,
Speaker anaposhangaa ndio hapo na sisi huwa tunamshangaa yeye !! Kwani yeye miaka yote ile watu wanakopa yeye alikuwa wapi ?? Double standard haifai mzee !!
 
Na kitendawili cha mama wameshindwa kukitegu!"KUNA KIJUGU CHAPWAGA BILA YA MOTO JIKONI,SASA SIJUI KITAPWAGA NA NINI?" Kifupi nchi haina fedha za kuikamilisha miradi na chungu ni lazima kipwage.
Matumizi yanazidi kipato ndo sababu za kukosa fedha pia. Mnakimbilia kukopa tu eti ili kijugu kipate moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…