Zile pesa zilikua za covid relief fund na hazina riba, sasa tr 1 utajenga reli kilometa ngapi alafu utakua umemsaidia vipi mwananchi kuondokana na athari za covid? Bwawa la umeme umesha ambia malipo yalisha kamilika. Watanzania daaIssue ni unakopa kufanya nini???????? Si unakopa kununua barakoa au kujenga madarasa bali unakopa kumalizia bwawa la umeme au SGR ili baadaye unachokifanya kiweze kuzalisha. Madarasa unatumia kodi au tozo au kama hazitoshi unatengeneza temporary Shelters watoto wanasoma wakati ukitafuta pesa ya kujenga madarsa. Kwanini hamuelewi ndugu zangu!!!!!!
Kitu hujui nyamaza! Mkopo bila riba nani kasema!Zile pesa zilikua za covid relief fund na hazina riba, sasa tr 1 utajenga reli kilometa ngapi alafu utakua umemsaidia vipi mwananchi kuondokana na athari za covid? Bwawa la umeme umesha ambia malipo yalisha kamilika. Watanzania daa
Hata kama una riba iyo tr 1 ungejenga reli kilometres ngapi alafu tubaki tuna angaliana?Kitu hujui nyamaza! Mkopo bila riba nani kasema!
Ndio mwisho wa maono yetu ulipofikia
Mikopo
Misaada
Nadhani raisi alikua na nia nzuri kuchukua mkopo ili watoto wetu wapate elimu tusiwe na watu wenye mawazo kama yakoKitu hujui nyamaza! Mkopo bila riba nani kasema!
Alivyokufa Maalim Seif ni mungu kuingilia kati pia kwa mabaya yake? Mnahusisha mungu kwa ujinga tuAcha kujivua nguo mkuu, haya yote ni athari za Jiwe, japo ni ngumu sana kwa wewe kuelewa, jamaa ameleta maafa makubwa sana nchini. Ndiyo maana hata Mungu akaingilia kati kwani bila hivyo taifa kama taifa tungefika pabaya sana. Ukitaka kumjua vizuri Jiwe angalia watu wake wa karibu kama Bashite, Saambaya,Gamboshi, Ndungai, mzee wa jalalani na wengine wengi tu.
Na Magufuli ambae ndani ya miaka mitano amekopa kiasi sawa na alichokopa Jakaya kwa miaka kumi nalo unaliongeleaje?
Hii ni sawa na kuambiwa dadako ameshatembea na wanaume 6 hapa mtaani we unatuma madada wengine waliotembea na zaidi ya wanaume 6 😅😅😅 endelea kulinganisha ujinga. Wenzio wanakopa kwenye vitu vinavyoingiza hela kama reli ulosema ya east afrca wewe unakopa kujenga shule za elimu bure.Nyie ni aina ya watu wenye akili mdogo na wajinga kabisa.
Kwa hiyo hizi Nchi hapa zilizokopa zaidi ni za kitumwa ambazo Tzn imezizidi Uchumi sio?
View attachment 2077696
View attachment 2077697
Awamu ya 5 iliua uchumi gani? Si ndo tulishuhudia kufikia uchumi wa kati!!Ndio ,kwa sababu no way uta finance miundombinu mikubwa na kuifungua Nchi yetu na ukubwa huu ma kulinganisha na Nchi jirani kwa kutegemea kudunduliza ndani.
Si tuu hutaweza kufanya hivyo bali ukifanya hivyo utaua uchumi na kuleta umaskini.Ndicho kilotokea kwenye awamu ya 5..
NChi zote zinafanya hivyo,hata Wew hapo dinduliza kisalary chako afu tuone hata kama utajenga,hata biashara lazima uikuze kwa mkopo hakuna kitu inaitwa cash ikakutoa.
Kabisa!Maana kama nchi kubwa zina mikopo,wewe masikini wa kutupwa unawezaje kuipinga mikopo kama kweli una akili nzuri?.
Mungu si katili kiasi hicho 😁😁 Maalim alifanya nini hadi mungu kumuondosha? Kufa kupo tu acha kumhusisha mungu na kifo cha magufuli. Hata wema hufa ila hatusemi ni hasira za munguMungu alipokasirika juu ya uovu wake na kumuondosha akaacha deni kubwa kwa Taifa. Sasa ndiyo tunalipa
Wakati magufuli anakopa ndugai ama wewe ulishawahi kuinua mdomo wako kusema lolote au ndio kunya anye kuku akinya bata kaharisha?Linganisha miradi ya maendeleo iliofanyika halafu utuelimishe km tuendelee kukopa maana ndio mmeshika tena nchi..
Speaker anaposhangaa ndio hapo na sisi huwa tunamshangaa yeye !! Kwani yeye miaka yote ile watu wanakopa yeye alikuwa wapi ?? Double standard haifai mzee !!Lini bunge la Tz, limekuwa likipitisha mikopo?kama spika tu mwenyewe kuna wakati anashangaa,
UCHUMI WA KATI ni jibu tosha.Hiyo lugha ya vitu vimeonekana naona iliwaingia sana, sasa ndio mnatulisha wote, hivyo vitu vinaendana na alichokopa?
Matumizi yanazidi kipato ndo sababu za kukosa fedha pia. Mnakimbilia kukopa tu eti ili kijugu kipate motoNa kitendawili cha mama wameshindwa kukitegu!"KUNA KIJUGU CHAPWAGA BILA YA MOTO JIKONI,SASA SIJUI KITAPWAGA NA NINI?" Kifupi nchi haina fedha za kuikamilisha miradi na chungu ni lazima kipwage.