Waziri Nape atembelea Multichoice, awarudishia DSTV 'local channels' baada ya marekebisho ya kanuni

Waziri Nape atembelea Multichoice, awarudishia DSTV 'local channels' baada ya marekebisho ya kanuni

Kutokana na maoni ya watu wengi nimegundua watanzania ni watu rahisi sana kuwatawala maana wanasahau mapema.
 
Wanapenda vya dezo huku wakipiga kelele ni haki yao. Wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali sana.
Kutokana na maoni ya watu wengi nimegundua watanzania ni watu rahis sana kuwatawala maana wanasahau mapema .
 
Wanapenda vya dezo huku wakipiga kelele ni haki yao. wakiambiwa ukweli wanakua wakali sana.
Hapo utasikia wanamsifia huyo waziri, ila wanamsahsu yule aliezui wao kuibiwa na DSTV wakashindwa kutii masharti akaona bora aziondoe
 
Kuscan chanel dstv
1.Fungua settings
2.Fungua satellite settings
3. Fungua Home network
4. Hakikisha bars za blue za signal status zipo kama hazipo hutoweza kupata chanel
5. Kama zipo chagua Scan all
6. Subiri mpaka imalize kuscan
Enjoy
Nadhan sio lazima ku-scan ila zinakuja zenyewe mana kwangu zimekuja clouds na channel ten bila ku-scan.
Naomba kuuliza, kifurushi kikiisha na hizo channel zinatoka na kubaki TBC tuu au.?
 
Guys kama kuna mtu anahitaji king'amuzi complete/full kit cha AZAM cha DISH ambacho ni kipya kabisa hakijamaliza hata mwezi na kimeshalipiwa chaneli zote kwa miezi mitatu. naomba anicheki DM tufanye biashara, kinapatikana kwa 165k (non-negotiable price)
 
StarTV inapatikana kwenye chaneli namba gani huko DSTV?
 
Waziri wa habari, Nape Nnauye ametangaza kurejeshwa kwa 'Free local channels' kwenye king'amuzi cha DSTV alipofika ofisi za Multichoice Tanzania akiyataja kama maagizo ya Rais Samia kurekebisha kanuni na Sheria.

Agosti 12, 2018 DSTV ililazimika kuondoa chaneli za FTA baada ya mamlaka ya mawasiliano nchini kuipiga mkwara wa uwezekano wa kuifutia leseni endapo itaendelea kwani ilikuwa hairuhusiwi kulipia chaneli hizo zinazopaswa kuwa bure.

Uamuzi huu pia iliwadhuru wote waliokuwa wanaendesha ving'amuzi kwa mfumo wa 'DHT' ambao iliwajumuisha pia Azam na Zuku ambao wenyewe waliamua kufata masharti na baadae kuruhusiwa.

Waziri wa mawasiliano wa wakati huo, Dkt. Mwakyembe akitoa sababu za kuzuia, alisema leseni ya kampuni hizo tatu ilikuwa na maudhui ya kulipia(Pay TV) hata kwa chaneli za FTA na pesa ikiisha zinazimwa kama luku. Pia alisema miundombinu yao ya urushaji matangazo haiko nchini.

Mwakyembe alisema waandaji wa maudhui(TV Stations) wana uhuru wa kuchagua TV zao ziwe za umma au kulipia na wakichagua za umma mapato yao yanatokana na matangazo ya biashara pekee bila kumtoza mteja kitu ambacho alisema DSTV walikiuka.

Pia, soma=> Waziri Mwakyembe: Azam, Zuku na DSTV walirusha maudhui ya ndani kinyume na leseni zao! Lazima warejeshe fedha zote walizowatoza Wananchi

View attachment 2102845View attachment 2102846View attachment 2102847
Mwanzo mzuri.
Bunge liwe live sasa….
 
Or kama kuna mtu ana king'amuzi cha DISH cha STARTIMES aje nimpe cha DISH cha AZAM then ataniongeza 60k (king'amuzi changu cha AZAM bado kipya na hakijamaliza hata mwezi tokea kinunuliwa na kimeshalipiwa miezi mitatu kwa chaneli zote )
 
Kweli Mkuu EPL Ghali Sana Aisee
Yaani Afrika nzima Ni DSTV na beIN Sports Tena Hapo beIN Sports siyo kampuni ya Kiafrika Bali ni kampuni ya Quatar kwa hyo anahudumia Ukanda wa Nchi za Afrika kaskazini na Middle East Yote

Kwa hiyo ukiongelea Kampuni ya Kiafrika inayo mudu Kuonesha EPL Ni DSTV Pekee..

Huko Nigeria' Algeria' Misri Ni nchi tajiri Sana kuliko Tanzania lakini kwa EPL wamenyoosha Mikono Juu...sembuse Azam?

Azam Kuonesha EPL Full Table wajipange Sana siyo kitoto..

DSTV wanaume.
Bara zima la Africa wanaonesha EPL ni Dstv na Bein Sport, inaonekana mkuu hujui kuhusu Canal Sport
 
Back
Top Bottom