CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Bado mkuu, hapa naona TBC tuMnaopata hizo channel tuelekezen mlivyofanya na sisi tuzipate maana mi bado nina kifurushi ila sizipati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mkuu, hapa naona TBC tuMnaopata hizo channel tuelekezen mlivyofanya na sisi tuzipate maana mi bado nina kifurushi ila sizipati
Ni mentality tu ndg, lkn Dstv nao wameshusha sana gharama zao
Yes Mkuu, ni mentality ndio inayosumbua wengi. DSTv hawana gharama za kutisha kama wengi wanavyodhaniNi mentality tu ndg, lkn Dstv nao wameshusha sana gharama zao
Rescan kisha lipia hakuna bure mkuuMpaka sasa bado hazijarudi tuu
Kwako zinaonyesha?Rescan kisha lipia hakuna bure mkuu
Mwanzo kabla sijalipia zilikuwa hazioneshi now nimelipia zinaoneshaKwako zinaonyesha?
Yaani uko right kabisa, DSTV walijisahau sana wakajitengenezea "ka-dunia" fulani hivi yaani ilibidi uwe wa hali fulani hivi kiuwezo ndo uwe mteja wao,,, wakati mfumo wa biashara yao unahitaji kuwa na namba kubwa ya wateja ambayo inafanya gharama za malipo ipungue..... sasa wanahaha kushusha vifurushi na bei ya Decorder wakati kumekucha MPAKA wanabebwa na NAPE.... wamebaki na PREMIER LEAGUE na UEFA CHAMP. LG ndo zinawabeba... nawafananisha na TTCL...Nadhani wewe ndiyo hujaelewa nilichomaanisha, Ni Bora Kama comment ya mdau hujaelewa vizuri Ni haki yako kuomba ufafanuzi au busara kukaa kimya. Mfano nikikwambia. Azam amefanikiwa kwa kucapitalize mapungufu ya DSTV unanielewa?. For your information, kuwa na DSTV siyo utajiri Kama unavyodhani, na Wala kuwa na Azam na wengineo si Umaskini. Huo Ni muono wako. Ila Mimi kwa maoni yangu na mtazamo wangu, DSTV walijipotezea soko na Sasa wanakumbuka shuka kumekucha, na ndiyo maana Sasa wamekuja strategy za kuwavutia customer Kama panda tukupandishe na vifurushi vya kuanzia tzs 9,000/=, wanajaribu kujinasua walipokwamia.
Mkuu naomba unielekeze jinsi ya kuscan hizo channelsRescan kisha lipia hakuna bure mkuu
UKO SAHIHI CHIEF AZAM WANAWATOA JASHO AISEE DSTVNadhani wewe ndiyo hujaelewa nilichomaanisha, Ni Bora Kama comment ya mdau hujaelewa vizuri Ni haki yako kuomba ufafanuzi au busara kukaa kimya. Mfano nikikwambia. Azam amefanikiwa kwa kucapitalize mapungufu ya DSTV unanielewa?. For your information, kuwa na DSTV siyo utajiri Kama unavyodhani, na Wala kuwa na Azam na wengineo si Umaskini. Huo Ni muono wako. Ila Mimi kwa maoni yangu na mtazamo wangu, DSTV walijipotezea soko na Sasa wanakumbuka shuka kumekucha, na ndiyo maana Sasa wamekuja strategy za kuwavutia customer Kama panda tukupandishe na vifurushi vya kuanzia tzs 9,000/=, wanajaribu kujinasua walipokwamia.
Sawa mkuu nitakupa mwongozoMkuu naomba unielekeze jinsi ya kuscan hizo channels
Lipia mkuu zitafungukaHadi sasa bila bila. Chanel za FTA hazionekani mbali na TBCCM ambayo nayo siku izi chenga tuuu
Kuscan chanel dstvMkuu naomba unielekeze jinsi ya kuscan hizo channels
Kwahyo kwako wewe unazipata baada ya kuscan...!Kuscan chanel dstv
1.Fungua settings
2.Fungua satellite settings
3. Fungua Home network
4. Hakikisha bars za blue za signal status zipo kama hazipo hutoweza kupata chanel
5. Kama zipo chagua Scan all
6. Subiri mpaka imalize kuscan
Enjoy
Inategemea na uwezo wako wa LughaWakirudisha hizo local channel waondoe TBC na safari channel.
Raha ya Dstv ni michezo zingine kelele
NdiyoKwahyo kwako wewe unazipata baada ya kuscan...!
Mimi nimescan hakuna channel yoyote iloongezeka nachukia tu navyoiona tbc1 paleNdiyo