Waziri Nape atembelea Multichoice, awarudishia DSTV 'local channels' baada ya marekebisho ya kanuni

Waziri Nape atembelea Multichoice, awarudishia DSTV 'local channels' baada ya marekebisho ya kanuni

Ni mentality tu ndg, lkn Dstv nao wameshusha sana gharama zao

Waneshusha ili kuchukua wateja, StarTimes amewin soko kwa wengi wenye mentality za kudhani DsTV ni ghali.
 
Nadhani wewe ndiyo hujaelewa nilichomaanisha, Ni Bora Kama comment ya mdau hujaelewa vizuri Ni haki yako kuomba ufafanuzi au busara kukaa kimya. Mfano nikikwambia. Azam amefanikiwa kwa kucapitalize mapungufu ya DSTV unanielewa?. For your information, kuwa na DSTV siyo utajiri Kama unavyodhani, na Wala kuwa na Azam na wengineo si Umaskini. Huo Ni muono wako. Ila Mimi kwa maoni yangu na mtazamo wangu, DSTV walijipotezea soko na Sasa wanakumbuka shuka kumekucha, na ndiyo maana Sasa wamekuja strategy za kuwavutia customer Kama panda tukupandishe na vifurushi vya kuanzia tzs 9,000/=, wanajaribu kujinasua walipokwamia.
Yaani uko right kabisa, DSTV walijisahau sana wakajitengenezea "ka-dunia" fulani hivi yaani ilibidi uwe wa hali fulani hivi kiuwezo ndo uwe mteja wao,,, wakati mfumo wa biashara yao unahitaji kuwa na namba kubwa ya wateja ambayo inafanya gharama za malipo ipungue..... sasa wanahaha kushusha vifurushi na bei ya Decorder wakati kumekucha MPAKA wanabebwa na NAPE.... wamebaki na PREMIER LEAGUE na UEFA CHAMP. LG ndo zinawabeba... nawafananisha na TTCL...
 
Nadhani wewe ndiyo hujaelewa nilichomaanisha, Ni Bora Kama comment ya mdau hujaelewa vizuri Ni haki yako kuomba ufafanuzi au busara kukaa kimya. Mfano nikikwambia. Azam amefanikiwa kwa kucapitalize mapungufu ya DSTV unanielewa?. For your information, kuwa na DSTV siyo utajiri Kama unavyodhani, na Wala kuwa na Azam na wengineo si Umaskini. Huo Ni muono wako. Ila Mimi kwa maoni yangu na mtazamo wangu, DSTV walijipotezea soko na Sasa wanakumbuka shuka kumekucha, na ndiyo maana Sasa wamekuja strategy za kuwavutia customer Kama panda tukupandishe na vifurushi vya kuanzia tzs 9,000/=, wanajaribu kujinasua walipokwamia.
UKO SAHIHI CHIEF AZAM WANAWATOA JASHO AISEE DSTV

DSTV WALIANZA NA BEI 99,000
WAKAJA NA 79,000 SASA WAPO 59,000 NA OFFA KIBAO
 
Hii kitu iliwaathiri kiuchumi Sana dstv.

King'amuz chao walikishusha Bei ya JUMLA complete mpk elfu 49, lakin wapi kikawa Bado hakiuziki ukimlinganisha na azam..

Kwakweli,
Serikali ikiamua kukufanyia fitna, wallah kutoboa Ni KAZI Sana[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la msingi ni lini zitaanza kuonekana ...
 
Mkuu naomba unielekeze jinsi ya kuscan hizo channels
Kuscan chanel dstv
1.Fungua settings
2.Fungua satellite settings
3. Fungua Home network
4. Hakikisha bars za blue za signal status zipo kama hazipo hutoweza kupata chanel
5. Kama zipo chagua Scan all
6. Subiri mpaka imalize kuscan
Enjoy
 
Kuscan chanel dstv
1.Fungua settings
2.Fungua satellite settings
3. Fungua Home network
4. Hakikisha bars za blue za signal status zipo kama hazipo hutoweza kupata chanel
5. Kama zipo chagua Scan all
6. Subiri mpaka imalize kuscan
Enjoy
Kwahyo kwako wewe unazipata baada ya kuscan...!
 
Back
Top Bottom