ghetopuzzle
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 440
- 504
Zinarud lini Sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio tajiri ila nakushangaa weye unaeiponda DSTVHongera wewe tajiri.
Naona walikua wanakupa package then wanakupa na nyongeza ya local channels😅😅Wao walikuwa wanazitoa baada ya kifurushi kuisha, ilikuwa inabaki TBC na ZBC
Tayari, angalia king'amuzi chako vizuri.Zinarud lini Sasa?
Nadhani wewe ndiyo hujaelewa nilichomaanisha, Ni Bora Kama comment ya mdau hujaelewa vizuri Ni haki yako kuomba ufafanuzi au busara kukaa kimya. Mfano nikikwambia. Azam amefanikiwa kwa kucapitalize mapungufu ya DSTV unanielewa?. For your information, kuwa na DSTV siyo utajiri Kama unavyodhani, na Wala kuwa na Azam na wengineo si Umaskini. Huo Ni muono wako. Ila Mimi kwa maoni yangu na mtazamo wangu, DSTV walijipotezea soko na Sasa wanakumbuka shuka kumekucha, na ndiyo maana Sasa wamekuja strategy za kuwavutia customer Kama panda tukupandishe na vifurushi vya kuanzia tzs 9,000/=, wanajaribu kujinasua walipokwamia.Mimi sio tajiri ila nakushangaa weye unaeiponda DSTV
Mbona hazionekanTayari, angalia king'amuzi chako vizuri.
Search automaticMbona hazionyeshi bado
mpaka sasa hamna kitu au ndobado lipo kwenye tangazoNdio imetangazwa Asubuhi hii.
Kwahiyo haiwezekani zikarejeshwa saa hiyo hiyo.
elaborate pleaseSearch automatic
Acha upimbi, kwani kila mtu anapenda mpira? Halafu ukute hata kupiga danadana kumi huwezi [emoji12]Wakirudisha hizo local channel waondoe TBC na safari channel.
Raha ya Dstv ni michezo zingine kelele
Kwa AZAM kikikata unaendelea kuona Bure hizo localsHakuna wakati hizo mnaita 'Free Channels' ziliwahi kuwa BURE, kifurushi kikiisha zinapotea….. labda ianze SASA.
Anamaanisha ufanye km una scan then zitafunguka ..thow sina uhakika km n kwelmpaka sasa hamna kitu au ndobado lipo kwenye tangazo
Safari TV ni nzuri sanaa WasiiondoeWakirudisha hizo local channel waondoe TBC na safari channel.
Raha ya Dstv ni michezo zingine kelele