Waziri Nape atembelea Multichoice, awarudishia DSTV 'local channels' baada ya marekebisho ya kanuni

Waziri Nape atembelea Multichoice, awarudishia DSTV 'local channels' baada ya marekebisho ya kanuni

Just like That...!!!!

Rudisha; Ondoa....!!!! Urahisi huu wa kufanya maamuzi yenye effect kwenye Kampuni za watu inabidi yaishe..., kama ulikuwa uamuzi wa kipuuzi na kupelekea watu kupata shida nani atalipia hizo gharama na huo usumbufu....
 
Kama sikosei si kwamba DSTV ndio walizitoa hizo local channels wenyewe kutokana na sheria mpya ya wao kulipia leseni ya kuzirusha hizo local chanel huku wao wakitakiwa wazirushe free kwenda hewani. Naombeni kurekebishwa.. Kwani azam mbona zimekwemo? Oao Dstv wako chali ndo wanakukuruka saivi azam gari ishawaka iko high way
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba hao Dstv na kina azam ilikuwa kabla ya 2018 hizo chanel za ndani zinaonekana ukiwa na kifurushi tu, kikiisha na zenyewe zinakata isipokuwa tbc tu.

Nape akiwa waziri wa habari akaja na kanuni kwamba local chanels zote zinatakiwa kuonekana bure kwenye visimbusi vyote hapa nchini.

Azam, zuku na wengine wakakubali hayo masharti ya serikali ila DSTV wao waligoma ndio maana walifuta kabisa local chanel zote kwenye kisimbusi chao isipokuwa TBC pekee!

Sasa haya maamuzi ya NAPE ya leo hata sijayaelewa kabisa. Kwa sababu kilichosababisha hizo chanel kutolewa kwenye Dstv ni huo ubure.!
 
...tumeifanyia marekebisho ili kuruhusu Channel za TV ambazo hazilipiwi (mfano CloudsTV, ITV n.k) ziweze kuonekana kwenye king'amuzi cha DSTV" Nape
Vizuri !
Hao Dstv ni kichwa ngumu though!
Labda ifanywe lzm kuonyesha hizo local channels
 
kama skosei si kwamba dstv ndo walizitoa hizo local channels wenyewe kutokana na sheria mpya ya wao kulipia leseni ya kuzirusha hizo local chanel huku wao wakitakiwa wazirushe free kwenda hewani. naombeni kurekebishwa.. kwani azam mbona zimekwemo ? hao dstv wako chali ndo wanakukuruka saivi azam gari ishawaka iko high way
Mkuu sisi watz ni mambumbumbu sana!

Dstv ilitaka kila chanel ilipiwe lakini selikali ikagoma ndio maana waliondoa hizo chanel.

Kuna siku mimi nlipigiwa simu na hao dstv eti lipia kifurushi chako kimeisha, nikawajibu kwamba napata uvivu wa kulipia sababu chanel za ndani ya nchi yangu sizioni hivyo hata nisipolipia sawa tu.

Wakaanza mara hoo, tuko kwenye mchakato wa kuzirudisha, na wakome,!
 
Huyu kijana alivyoshikiwa bastola nilikasirika sana kwa vile tu nilimpenda Magufuli


👍👍🙏🙏
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba hao dstv na kina azam ilikuwa kabla ya 2018 hizo chanel za ndani zinaonekana ukiwa na kifurushi tu, kikiisha na zenyewe zinakata isipokuwa tbc tu.

Nape akiwa waziri wa habari akaja na kanuni kwamba local chanels zote zinatakiwa kuonekana bure kwenye visimbusi vyote hapa nchini.

Azam, zuku na wengine wakakubali hayo masharti ya selikali ila DSTV wao waligoma ndio maana walifuta kabisa local chanel zote kwenye kisimbusi chao isipokuwa tbc pekee,,!

Sasa haya maamuzi ya NAPE ya leo hata sijayaelewa kabisa. Kwa sababu kilichosababisha hizo chanel kutolewa kwenye dstv ni huo ubure.!
NAPE ALIONDOLEWA UWAZIRI MWAKA 2017.
 
Nape anajitekenya na kucheka mwenyewe! Hivi Nape hajui kama DSTV ndio waligoma kuonesha channel bure yani king’amuzi kikiisha hizo channel kama TBC,ITVna TBC 1 zibaki zinaonesha ...

Lakini mwanzo ilikuwa kwamba Zote zinaonekana lakini kifurushi kikikata nazo zinakata!

Sasa serikali ikasema kuwa ni lazima channel zote zioneshwe bure hizo nne Dstv wakagoma kabisa..... na wakazitoa hizo channel!

Sasa hivi sijaelewa kama Dstv wamekubali kuonesha bure kabisa hizo channel kama lengo la serikali....?

Kwa hiyo DSTV ndio wamesurrender wataonesha Channel bure kabisa hazitakata hata kama kifurushi kikikata?
 
Magufuli alikuwa analinda soko la ndani hasa Azam, tutegemee makubulu kuongeza faida zaidi kuliko wafanyabiashara wa ndani
 
Back
Top Bottom