Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sheria hizo yeye ndio alizisimamia kabla hajaondolewa uwaziriNAPE ALIONDOLEWA UWAZIRI MWAKA 2017.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria hizo yeye ndio alizisimamia kabla hajaondolewa uwaziriNAPE ALIONDOLEWA UWAZIRI MWAKA 2017.
Oh kumbe kiongozi shida yako ni Samia. Pole sanaSo what? Clouds ina umuhimu gani kwa mazingira ya Tanzania with regard to Uhuru wa kuandika na kutangaza? All is Rubbish as long as hakuna uhuru wa kusema Tanzania! Huyu Clouds sana sana atatangaza mapambio ya Samia basi!....................sana sana
Nashangaa watu wanashangilia wakati zikiwa DStv haziwi bure, hela ikiisha zinakataShida ilikua kwa multichoice au serikali
Maana naona neno “kawarudishia” wakati ving’amuzi shindani vilikua na free local channels
I’m curious 😟😟
Halafu wanashangilia kama mazuzu 😎Hakuna wakati hizo mnaita 'Free Channels' ziliwahi kuwa BURE, kifurushi kikiisha zinapotea….. labda ianze SASA.
Aa wapi. Kifurushi kikiisha nazo hizo za kibongo wanaziondoa kabisa. Hata kwa azam ndivyo ilivyoNape anajitekenya na kucheka mwenyewe! Hivi Nape hajui kama DSTV ndio waligoma kuonesha channel bure yani king’amuzi kikiisha hizo channel kama TBC,ITVna TBC 1 zibaki zinaonesha ...
Lakini mwanzo ilikuwa kwamba Zote zinaonekana lakini kifurushi kikikata nazo zinakata!
Sasa serikali ikasema kuwa ni lazima channel zote zioneshwe bure hizo nne Dstv wakagoma kabisa..... na wakazitoa hizo channel!
Sasa hivi sijaelewa kama Dstv wamekubali kuonesha bure kabisa hizo channel kama lengo la serikali....?
Kwa hiyo DSTV ndio wamesurrender wataonesha Channel bure kabisa hazitakata hata kama kifurushi kikikata?
Sawa na issue ya wamachinga, yaani jamaa anasema yawezekana wanachoma masoko ili kuwavuta na kuwateka akili kuwatoa kwa mwendazk kuwa alikuwa anawajali na kuwapa nafasi but now machinga (kama kweli walikuwa wao) wamezama mpaka mjengoni ikulu na kunyweshwa juice plus ahadi na kutunukiwa, kesho ni vigeregere na chereko, huyu ndiye tulimtarajia halellujah..!Unda tatizo tatua tatizo
Shida ilikua kwa multichoice au serikali
Maana naona neno “kawarudishia” wakati ving’amuzi shindani vilikua na free local channels
I’m curious 😟😟
Sio kweli ni MWAKYEMBE.Sheria hizo yeye ndio alizisimamia kabla hajaondolewa uwaziri
Aa wapi. Kifurushi kikiisha nazo hizo za kibongo wanaziondoa kabisa. Hata kwa azam ndivyo ilivyo
Acha uongo! Azam hawaondoiAa wapi. Kifurushi kikiisha nazo hizo za kibongo wanaziondoa kabisa. Hata kwa azam ndivyo ilivyo
Na zile nyimbo za dini na sebene za akina Nyoshi na Tukuyu Sound Band bila kumsahau mzee wa zamadam 😃😃😃Hapa kwangu nasugua na TBC tu, vipindi nishazoea sasa, Shambani Shambani shambani, mazao bora shaaaambani. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Labda Kama hauna DStv decorder lakini hizo channel ukilipia unazipata Kama kawaida na ndio sheria ilivyokuwa inawataka wafanye hivyo na wasizirushe bure endapo kifurushi kitakata sasa wao walikuwa wanarusha ukilipia na usipolipia unaziona bado wakati leseni yao ilikuwa hairuhusu kurusha local channels bure.Hakuna wakati hizo mnaita 'Free Channels' ziliwahi kuwa BURE, kifurushi kikiisha zinapotea….. labda ianze SASA.