[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wana nyimbo zao kila siku hizo hizo tu. Chereko, Zamadamu, ku lile tangazo limeisha sasa HUU NI MWEZI WA MAMA.Na zile nyimbo za dini na sebene za akina Nyoshi na Tukuyu Sound Band bila kumsahau mzee wa zamadam [emoji2][emoji2][emoji2]
Wallah DStv ikikata unajikuta lazima ununue tu maana ufala unaofuata ni TBCCM mwanzo mwisho mara ufundi sijui VETA, mara usalama barabarani, ungese mtupu haujakaa sawa unaona wanakata matangazo wanaleta Habari mubashara kutoka mkutano wa CCM yaani ilimradi wakukere tu.
Wao walikuwa wanazitoa baada ya kifurushi kuisha, ilikuwa inabaki TBC na ZBCShida ilikua kwa multichoice au serikali
Maana naona neno “kawarudishia” wakati ving’amuzi shindani vilikua na free local channels
I’m curious [emoji45][emoji45]
Sasa kama na kwa kina azam ni hivyo hivyo kwanini alizitoa Dstv? Watuache hatujawahi lalamikia kuhusu kulipaAa wapi. Kifurushi kikiisha nazo hizo za kibongo wanaziondoa kabisa. Hata kwa azam ndivyo ilivyo
Hahah, Kuna wakati nilibaki alone nyumbani familia ilisafiri basi kifurushi kikaisha nikawa kila nikirudi nimelewa zangu lakini kila nikiwasha TV nakutana na vipindi vilevile nikakaa nikajiuliza hivi ninakuwaga naota au wanarudia vipindi mwezi mzima.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wana nyimbo zao kila siku hizo hizo tu. Chereko, Zamadamu, ku lile tangazo limeisha sasa HUU NI MWEZI WA MAMA.
[emoji3][emoji3][emoji3] Yule mzee anayetembelea vyanzo vya maji yaan hana sura ya kuonekana kwenye TV. Ana mbwembwe sanaHahah, Kuna wakati nilibaki alone nyumbani familia ilisafiri basi kifurushi kikaisha nikawa kila nikirudi nimelewa zangu lakini kila nikiwasha TV nakutana na vipindi vilevile nikakaa nikajiuliza hivi ninakuwaga naota au wanarudia vipindi mwezi mzima.
Yani sikuwa na mpango wa kuweka kifurushi maana hakuna wa kuangalia ilinilazimu kuweka maana ilikuwa kero ile muda nataka kuangalia TV inakuwa shida.
Shambani shambani, au Kuna jamaa mmoja anatembeleaga misitu anaongea kwa makeke mengi yaani anakera.
TBCCM imejaa waandishi fulani wana viherehere kama walokole dizaini especially wa kiume wamekaa ki-four sana
Ananikeraga aisee huwa natamani kumzaba kelebu. Uso mkavu na anaongelea misitu mtu anataka mti halafu utasikia serikali ya mama Samia sasa unajiuliza mti na serikali wapi na wapi?[emoji3][emoji3][emoji3] Yule mzee anayetembelea vyanzo vya maji yaan hana sura ya kuonekana kwenye TV. Ana mbwembwe sana
Afu anaunganishi MITO NA VIJITO kwa ajili ya BWALA LA MWAL NYERERE. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ananikeraga aisee huwa natamani kumzaba kelebu. Uso mkavu na anaongelea misitu mtu anataka mti halafu utasikia serikali ya mama Samia sasa unajiuliza mti na serikali wapi na wapi?
Anaongeaga maneno mengi mno atakuwa na kiherehere sana [emoji2]
Jamaa unamfuatilia sana mshkaji wako 😃😃😃😃😃 Kuna wakati mpaka anatamani kujirusha kwenye maji anajifanya anayapenda sana anausifia mradi wa umeme kutokana na hiyo mito unaweza kuhisi anamuongelea mkewe 😃😃 huwa wakati mwingine naangalia TBCCM basi tu ili nipate viroja vyao 😃😃Afu anaunganishi MITO NA VIJITO kwa ajili ya BWALA LA MWAL NYERERE. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ukiwa umepumzika nyumbani na huna hela ya kifurushi basi unajiwekea CHEREKO.Jamaa unamfuatilia sana mshkaji wako [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Kuna wakati mpaka anatamani kujirusha kwenye maji anajifanya anayapenda sana anausifia mradi wa umeme kutokana na hiyo mito unaweza kuhisi anamuongelea mkewe [emoji2][emoji2] huwa wakati mwingine naangalia TBCCM basi tu ili nipate viroja vyao [emoji2][emoji2]
Habari ipo clear kabisa, sema sisi watanzania tulio wengi hatupendi kusoma maelekezo marefu, tukisoma Aya kadhaa tu unajijengea taarifa yako mwenyewe kichwani na kukimbilia kwenye comments ili na wewe usipitwe...Kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba hao Dstv na kina azam ilikuwa kabla ya 2018 hizo chanel za ndani zinaonekana ukiwa na kifurushi tu, kikiisha na zenyewe zinakata isipokuwa tbc tu.
Nape akiwa waziri wa habari akaja na kanuni kwamba local chanels zote zinatakiwa kuonekana bure kwenye visimbusi vyote hapa nchini.
Azam, zuku na wengine wakakubali hayo masharti ya serikali ila DSTV wao waligoma ndio maana walifuta kabisa local chanel zote kwenye kisimbusi chao isipokuwa TBC pekee!
Sasa haya maamuzi ya NAPE ya leo hata sijayaelewa kabisa. Kwa sababu kilichosababisha hizo chanel kutolewa kwenye Dstv ni huo ubure.!
Better niwache Bluetooth niunge laptop niangalie movie.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ukiwa umepumzika nyumbani na huna hela ya kifurushi basi unajiwekea CHEREKO.
Mmmh nadhan kama ikiwa hivo basi na wengine kama kina Azam lazima watalalamika. Iweje wengine walazmishwe zioneshwe bure halafu kwa DSTV zilipiweNashangaa watu wanashangilia wakati zikiwa DStv haziwi bure, hela ikiisha zinakata
Ndo ninachojiuliza na mm...itakua sio fair kwa wengine kwa kweli.Kwao hawa TING, STARTIMES, AZAM na wengine waliongia gharama kwenye mitambo ya kurusha matangazo ili waendane na SHERIA NA TARATIBU za nchi kwenye mawasiliano ni WAENDA NA WAZIMU.... Kwahiyo SHERIA imerekebishwa kwa ajili ya DSTV peke yake???
Mi naangalia movie mpaka nachoka, nazima bluetooth naangalia Chereko, Shambani, Ngoma 5 Kali, Nyota wa wiki, NSSF, na hii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] UBU usalama barabarani na URAIAAAAAAAAABetter niwache Bluetooth niunge laptop niangalie movie.
Mkuu siyo kwa DSTV peke yao Ni Ving'amuzi vyote...Seema tu Ni kwamba Tangazo limetolewa akiwa DSTVNdo ninachojiuliza na mm...itakua sio fair kwa wengine kwa kweli.
Umechanganya mkuu,Labda Kama hauna DStv decorder lakini hizo channel ukilipia unazipata Kama kawaida na ndio sheria ilivyokuwa inawataka wafanye hivyo na wasizirushe bure endapo kifurushi kitakata sasa wao walikuwa wanarusha ukilipia na usipolipia unaziona bado wakati leseni yao ilikuwa hairuhusu kurusha local channels bure.
What was happening watu labda wanachanganya kidogo, ilikuwa kifurushi kikiisha basi hizi channels za bure ambazo ni local zinabaki kuonekana ila ukilipia utaona channels za ziada za DStv.
Mwakyembe akasema DStv hawana kibali cha kuonyesha local channels bure sababu wao leseni yao ni tofauti. Hata hivyo hhi ilikuwa ni vita ya kibiashara kati ya wauza visimbuzi especially Azam by that time alikuwa amebanwa hawezi kuuza visimbuzi vyake sababu DStv walikuwa wamemiliki sana soko.
Ilipoondolewa channel za bure ambazo ilikuwa hata usipolipia unazipata, hata TBCCM ilikuwa haionekani walikuwa DStv wanazima inabaki channel 100 tu ya matangazo matupu ya kwao.
Baadae naona wakailazimisha DStv waonyeshe TBCCM kwenye channel za bure ambapo sasa ndipo ikabaki pekee kama hauna kifurushi unaangalia mapambio mwanzo mwisho.
Sasa naona Azam ameshapata soko lake wanaamua kubadilisha kanuni ili DStv nao waonyeshe za bure ambazo hata kama utaishiwa kifurushi utabaki nazo hizo za bure Kama zamani au kama Azam na wengine.
Hii ilikuwa Vita tu, sasa naona DStv wameongea na Nape ili nao wawe sawa na Azam na wengine although bei ya vidurushi na visimbuzi wanatofautiana lakini at least itasaidia na wengine tulishidlndwa kuwa na decorder nyingi mtu ana nyumba moja Ila decorder nne madishi yananing'inia juu ya bati kama mpo wapangaji kumi kumbe unaishi familia moja tu.
So itakua kama zamani,bando ikiisha huoni local channelsMkuu siyo kwa DSTV peke yao Ni Ving'amuzi vyote...Seema tu Ni kwamba Tangazo limetolewa akiwa DSTV