Nilishasema haya nikaonekana mwehu haya yametimia hii ishu nilisema kabisa na Nape kapewa fungu na makampuni ya simu[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Waziri Nape Nnauye amesema hawajaibania Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini bali ni kuwa Kampuni hiyo inayomilikiwa ns tajiri Elon Musk haijakidhi vigezo ilivyowekewa na serikali ikiwamo kufungua ofisi nchini Tanzania.
Amesema vigezo hivyo vimewekwa na serikali ili kumlinda Watanzania watakotaka kutumia huduma hiyo.
====
Nilishasema haya nikaonekana mwehu haya yametimia hii ishu nilisema kabisa na Nape kapewa fungu na makampuni ya simu[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Na akitimiza hivyo vigezo watamuwekea vigezo vingine vigumu ili ashindwe.
Kuwa na viongozi wafanyabiashara ni shida sana.
Nilishasema haya nikaonekana mwehu haya yametimia hii ishu nilisema kabisa na Nape kapewa fungu na makampuni ya simu[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Tulilitegemea maneno mafafu haya , Vodacom, Airtel, ....,wameshampa X Bilion zake, Sijajua Rais anamwacha huyu kwa faida ya nani au kwa lipi analolifanya zaidi ya kuwa wakala wa mafisadi wa Airtel, Voda.... Huyu ni katiya watu wenye very low IQ kuwa waziri...
Voda , tigo airtel wametoa mpungu wa kufa mtu ili hiyo mipango ikwame .kwa sasa nape anaogelea kwenye utajiri wa kufa mtu .samia achukue maamuzi magumuNa akitimiza hivyo vigezo watamuwekea vigezo vingine vigumu ili ashindwe.
Kuwa na viongozi wafanyabiashara ni shida sana.
Kitu kinachonitia kichefuchefu kwenye serikali ya mama ni pamoja na huyu mtu anayeitwa NAPETulilitegemea maneno mafafu haya , Vodacom, Airtel, ....,wameshampa X Bilion zake, Sijajua Rais anamwacha huyu kwa faida ya nani au kwa lipi analolifanya zaidi ya kuwa wakala wa mafisadi wa Airtel, Voda.... Huyu ni katiya watu wenye very low IQ kuwa waziri...
Tungetegemea akina zito kulizungumzia hili badala yake wanapambana na marehem kiLa sikuNape kaisha tiwa mfukoni na hawa Voda na Tigo ambao wanajua akija Starlink mapato yao yatapungua sana!
Lkn niseme tu kusua sua kupewa leseni Starlink ambao wana bei nafuu na net bora ni matokeo ya akili mbovu za watz,ilipaswa tumlazimishe Nape asaini mkataba kwa nguvu ya UMMA
Sababu wanazo toa serikali ni za hovyo hovyo tu
Na ajira pia .sijui mama anakwama wapi kumtoa huyu kunguniNilijua watakuja na sababu dhaifu hao wenye ofisi mbona wanaiba data kila kukicha na wewe ndio unawatetea...kwani nini usiwape kwa kuwaangalia hata muda mchache kwanza mkiona wanafaa mnawapa kibali cha muda mrefu hamtaki kukuza mapato TRA wanawaangalia kwa majibu yenu hayo...
Nasikia kuna wafanyakazi tena wa ngazi ya chini walihongwa 10ml kila mmoja TCRA sasa watu kama nape watakuwa si wamehongwa mabillioni ya fedhaKampuni za simu zilizopo zinahonga fedha nyingi ili zibake zenyewe. Unajua siku hizi mapato makubwa ya hizi kampuni yanatokana na data, hivyo wanaogopa watapoteza soko.
Pia serikali inaogopa itapoteza udhibiti wa kidikteta kwa watumiaji wa intenet, ku-hack simu za watu na makandokando yote yanayoendana na uminyaji wa uhuru wa habari. Lakini ni suala la muda tu kwani Tanzania haiwezi kuwa kisiwa.
Tungekuwa na bunge imara hili lingekuwa nj hoja ya msingi sana .acha voda wazidi kutukamuaHuyu jamaa anatumiwa na makampuni ya simu yanayotukamua pesa nyingi kwa mb chach, sasa hii ni outright hujuma ya kutaka kulinda ulaji wao kwenye Mb. Hiyo sababu aliyotoa ni ya kitaahira kabisa.., unalinda vipi sasa kwa kuzuia kampuni ya huduma ya mawasiliano? Au hao wanatofauti gani na hizi kampuni zilizopo? Mfano Instagram ofisi zao zipo wapi hapa nchini?
Mambo ya katiba mpya peleka huko, tunazungumzia huduma ya data hapa.Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni jamani.
Nape bado ni yule yule mzee wa goli la mkono kama taifa hatuwezi kusahau hilo tukio la aibu.
Ila leo hii nimekuja na mawazo yake aliyo yasema jana kupitia EATV kuhusu kupata katiba mpya.
Amesema kuwa kupata katiba mpya bila UTASHI WA KISIASA kama taifa haitasaidia kitu.
Mimi nimenuelewa sana na akatoa mifano mingi iliyo hai naomba tumsikilize hapa alafu tupeane mawazo.
View attachment 2533330
Atakua na hoja ya Msingi huko kwenye Katiba mpya Waziri hawezi kuamua peke yake bila kushirikisha Wananchi kupitia Bunge huko wakiwa Imara wanakua na Kamati ambayo itatoa majibu sahihi sio hii ya kuaema wawe na Office baadae atasema nyumba ili mradi kuongeza vipengele Nchi nyingi zinatafuta hiyo fursa hutu mwananchi mmoja anaifukuza kwa maslahi yake binafsi na Makampuni sio watumiaji..Mambo ya katiba mpya peleka huko, tunazungumzia huduma ya data hapa.
Hata wasomi wanaotambua hizi mambo wangeweza kumjibu hata Wanasheria sasa Wanasheria wetu ndio hao Ndege kila kukicha inachukuliwa na wahuni kama yao wapo kimya tuu...Tungekuwa na bunge imara hili lingekuwa nj hoja ya msingi sana .acha voda wazidi kutukamua
Hoja ya msingi sanaWaziri Nape Nnauye amesema hawajaibania Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini bali ni kuwa Kampuni hiyo inayomilikiwa ns tajiri Elon Musk haijakidhi vigezo ilivyowekewa na serikali ikiwamo kufungua ofisi nchini Tanzania.
Amesema vigezo hivyo vimewekwa na serikali ili kumlinda Watanzania watakotaka kutumia huduma hiyo.
====
Hiyo sehemu inataka mtu kichwa sana sio sehemu ya kupeana hiyo..Na ajira pia .sijui mama anakwama wapi kumtoa huyu kunguni
Waziri Nape Nnauye amesema hawajaibania Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini bali ni kuwa Kampuni hiyo inayomilikiwa ns tajiri Elon Musk haijakidhi vigezo ilivyowekewa na serikali ikiwamo kufungua ofisi nchini Tanzania.
Amesema vigezo hivyo vimewekwa na serikali ili kumlinda Watanzania watakotaka kutumia huduma hiyo.
====